< Habacuc 2 >
1 Je veux me tenir dans mon donjon et me placer sur la tour et observer pour voir ce qu'il me dira et ce que je répliquerai en sus de mon grief.
Nitasimama katika zamu yangu, na kujiweka mwenyewe juu ya maboma; nitatazama nione atakaloniambia, na ni jibu gani nitakalotoa kuhusu lalamiko hili.
2 Et l'Éternel me répondit et dit: Écris la vision et la grave sur des tables, afin que couramment on la lise.
Kisha Bwana akajibu: “Andika ufunuo huu, na ukaufanye wazi juu ya vibao, ili mpiga mbiu akimbie nao.
3 Car la vision a trait à un temps à venir, mais elle aspire au but, et ne mentira pas; si elle tarde, attends-la, car elle arrivera, elle n'y manquera pas.
Kwa kuwa ufunuo huu unasubiri wakati uliokubalika; unazungumzia mambo ya mwisho, na kamwe hautakosea. Iwapo utakawia, wewe usubiri; kwa hakika utakuja na hautachelewa.
4 Voici, son âme s'est enflée, elle n'est pas droite en lui, mais le juste par sa foi vivra.
“Tazama, amejaa majivuno; anavyovitamani si vya unyofu: lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake:
5 Oui, le vin est insolent, l'homme qu'il enorgueillit n'a point de repos; pareil à l'Enfer, il ouvre une large bouche, et il est comme la mort, et insatiable, et il s'empare de tous les peuples et accapare toutes les nations. (Sheol )
hakika mvinyo humsaliti; ni mwenye kiburi na hana amani. Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu na kama kifo kamwe hatosheki; anajikusanyia mataifa yote na kuchukua watu wote mateka. (Sheol )
6 Toutes ne diront-elles pas sur lui une chanson et des railleries et des sarcasmes, parlant ainsi: Malheur à qui accumulait ce qui n'était pas à lui! jusques à quand?… et à qui se chargeait d'emprunts à gages!
“Je, watu wote hawatamsuta kwa dhihaka na kumbeza, wakisema, “‘Ole wake yeye akusanyaye bidhaa zilizoibwa na kujifanyia utajiri kwa kutoza kwa nguvu! Ataendelea hivi kwa muda gani?’
7 Ne se lèveront-ils pas soudain, tes créanciers, et ne s'éveilleront-ils pas, tes oppresseurs? Et tu seras leur proie.
Je, wadai wako hawatainuka ghafula? Je, hawataamka na kukufanya utetemeke? Kisha utakuwa mhanga kwao.
8 Parce que tu pillas des peuples nombreux, tous les autres peuples te pilleront, à cause du meurtre des hommes et de l'outrage fait au pays, aux villes et à tous leurs habitants.
Kwa kuwa umeteka nyara mataifa mengi, watu waliobaki watakuteka nyara wewe. Kwa kuwa umemwaga damu ya mtu; umeharibu nchi na miji, na kila mmoja ndani yake.
9 Malheur à qui fait un gain inique pour sa maison, afin de placer son nid sur la hauteur pour se dérober au bras du malheur!
“Ole wake yeye ajengaye milki yake kwa mapato ya udhalimu, awekaye kiota chake juu, ili kukimbia makucha ya uharibifu!
10 Tu décidas l'opprobre de ta maison, la destruction des peuples nombreux, et tu as péché contre toi-même.
Umefanya shauri la maangamizi ya watu wengi, ukiaibisha nyumba yako mwenyewe, na kupotewa na maisha yako.
11 Car de la muraille la pierre crie, et de la charpente la poutre lui répond.
Mawe ya kuta yatapiga kelele, na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.
12 Malheur à qui bâtit une ville avec le sang, et fonde une ville avec l'iniquité!
“Ole wake yeye ajengaye mji kwa kumwaga damu na kuusimamisha mji kwa uhalifu!
13 Voici, n'est-ce pas de par l'Éternel des armées que les peuples se fatiguent pour un feu, et les nations se peinent pour le néant?
Je, Bwana Mwenye Nguvu Zote hakuonyesha kwamba kazi ya wanadamu ni mafuta tu kwa ajili ya moto, na kwamba mataifa yanajichosha bure?
14 Car la terre se remplira de la connaissance de la gloire de l'Éternel, de même que les eaux recouvrent la mer.
Kwa kuwa dunia itajazwa na maarifa ya utukufu wa Bwana, kama maji yaifunikavyo bahari.
15 Malheur à qui fait boire son prochain! à toi qui lui verses le feu de ton vin et l'enivres pour voir sa nudité!
“Ole wake yeye awapaye jirani zake kileo, akiimimina kutoka kwenye kiriba cha mvinyo mpaka wamelewa, ili apate kutazama miili yao iliyo uchi.
16 Tu seras rassasié d'opprobre au lieu de gloire; bois aussi toi-même et découvre ton prépuce! qu'elle arrive à toi la coupe de la droite de l'Éternel, et que l'ignominie couvre ta gloire!
Utajazwa na aibu badala ya utukufu. Sasa ni zamu yako! Kunywa na ujifunue! Kikombe kutoka kwenye mkono wa kuume wa Bwana kinakujia, na aibu itafunika utukufu wako.
17 Car la violence faite au Liban retombera sur toi, ainsi que la ruine des bêtes qu'elle épouvanta, à cause du meurtre des hommes et de la violence faite au pays, à la ville et a tous ses habitants.
Ukatili ulioifanyia Lebanoni utakufunika, na uharibifu uliowafanyia wanyama utakutisha. Kwa sababu umemwaga damu ya mtu; umeharibu nchi na miji na kila mmoja aliyeko ndani yake.
18 A quoi sert l'idole, pour que le sculpteur la taille? la statue et le docteur de mensonges, pour que le sculpteur se confie en sa sculpture en faisant des idoles muettes?
“Sanamu ina thamani gani, kwani mwanadamu ndiye alichonga? Ama kinyago kinachofundisha uongo? Kwa kuwa yeye aliyekitengeneza hutegemea kazi ya mikono yake mwenyewe; hutengeneza sanamu zisizoweza kuzungumza.
19 Malheur à qui dit au bois: « Éveille-toi! » « Lève-toi! » à la pierre muette, « qu'elle enseigne! » Voici, elle est plaquée d'or et d'argent, et il n'y a point d'esprit au dedans d'elle.
Ole wake yeye auambiaye mti, ‘Uwe hai!’ Ama asemaye na jiwe lisilo na uhai, ‘Amka!’ Je, linaweza kuongoza? Limefunikwa kwa dhahabu na fedha; hakuna pumzi ndani yake.
20 Mais l'Éternel est dans son temple saint! Que toute la terre se taise devant lui!
Lakini Bwana yuko katika Hekalu lake takatifu; dunia yote na inyamaze mbele yake.”