< Ézéchiel 17 >

1 Et la parole de l'Éternel me fut adressée en ces mots:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Fils de l'homme, propose une énigme et une parabole à la maison d'Israël,
“Mwanadamu, tega kitendawili na sema fumbo kwa nyumba ya Israeli.
3 et dis: Ainsi parle le Seigneur, l'Éternel: Un grand aigle, ayant de grandes ailes et de longues pennes, couvert de plumes de toutes couleurs, vint sur le Liban et prit la cime des cèdres.
Sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tai mkubwa pamoja na mabawa makubwa na vipapatio virefu, mwenye kujaa manyoya, na aliyekuwa na rangi nyingi alienda Lebanoni na kuchukua kilele cha mti wa mkangazi.
4 Il cueillit la tête des tendres rameaux, et l'apportant dans un pays marchand, il la déposa dans une ville de commerce.
Akakata ncha za matawi na kuzichukua hata nchi ya Kanaani; akaipanda katika mji wa manahodha.
5 Et il prit un des rejetons du pays, et le déposa dans un sol fertile, le mit près d'une eau abondante, et dans un lit de terre il le planta.
Pia akachukua mbegu ya nchi na kuipanda katika udongo wenye rutuba. Akaiweka kando ya maji mengi kama mti umeao karibu na maji.
6 Et il poussa, et devint une vigne développée, dont la tige était basse, et les rameaux tournés vers l'aigle, et dont les racines demeuraient sous lui: il devint une vigne qui jeta des rameaux et produisit des pampres.
Kisha ukachipusha na mzabibu wenye kusambaa chini kwenye aridhi. Matawi yake yakamwelekea yeye, na mizizi yake ikakua chini yake. Hivyo ukawa mzabibu na kuzaa matawi na kutoa matawi.
7 Et il y avait un autre grand aigle, qui avait de grandes ailes et un épais plumage. Et voici, cette vigne portait avidement ses racines de son côté, et du lit de terre où elle était plantée, elle étendait ses sarments vers lui, afin d'être arrosée par lui.
Lakini kulikuwa na tai mwingine mkubwa wenye mabawa makubwa na manyoya mengi. Tazama! Huu mzabibu ukabadilisha mizizi yake kumwelekea tai, na ukasamabaza matawi yake kumwelekea tai kutoka mahali ulipokuwa umepandwa basi upate kumwagiliwa.
8 [Cependant] elle avait été plantée dans un bon sol, près d'abondantes eaux, pour pousser des rameaux et porter du fruit, pour devenir une vigne superbe.
Ulikuwa umepandwa kwenye udongo mzuri kando ya maji mengi hivyo ungezaa matawi na kuanza kutoa matunda, ili kuwa mzabibu mzuri kabisa.'
9 Dis: Ainsi parle le Seigneur, l'Éternel: Prospérera-t-elle? [L'autre aigle] n'arrachera-t-il pas ses racines, et n'enlèvera-t-il pas ses fruits, afin qu'elle sèche, et que le feuillage qu'elle a poussé, sèche? Et ce ne sera ni avec toute la force de son bras, ni avec un peuple nombreux, qu'il l'enlèvera de sa racine.
Waambie watu, 'Bwana Yahwe asema hivi: Je! huo utafanikiwa? Je! Haitaing'oa mizizi yake na kuyakata matunda yake ili kwamba unyauke, na majani yake yote mabichi yanyauke? Hakuna jeshi imara au watu wengi watahitajika kuivuta kwa mizizi yake.
10 Voici, elle est plantée, mais prospérera-t-elle! Si le vent d'Orient l'atteint, ne séchera-t-elle pas? Sur le lit de terre où elle pousse, elle séchera.
Basi tazama! Baada ya kuwa umepandwa, je utakuwa? Je hautanyauka wakati upepo wa mashariki utakapoupiga? Utanyauka kabisa katika kiwanja chake.”'
11 Et la parole de l'Éternel me fut adressée en ces mots: Dis à la race rebelle: Ignorez-vous ce que cela signifie?
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
12 Dis: Voici, le roi de Babel est venu à Jérusalem, et s'est saisi de son roi et de ses princes, et les a amenés auprès de lui à Babel.
“Waambie nyumba ya uasi, 'Je! hamjui haya mambo yana gana gani? Tazama! Mfalme wa Babeli amekuja Yerusalemu na kumchukua mfalme wake na wakuu wake na kuwaleta kwake mpaka Babebli.
13 Et il a pris un rejeton de la race royale, et traité alliance avec lui, et lui a fait prêter un serment, et a emmené les principaux du pays,
Kisha akauchukua ukoo wa kifalme, akafanya agano pamoja naye, na kumleta chini ya kiapo. Akawachukua watu wa nchi wenye nguvu,
14 voulant que le royaume fût humilié, afin qu'il ne s'enorgueillît pas, qu'il gardât son alliance, et qu'elle fût maintenue.
basi ufalme uwe duni na usijiinue wenyewe. Kwa kulitunza agano lake nchi itaokoka.
15 Mais il lui fut rebelle en envoyant ses députés en Egypte pour en obtenir des chevaux et dès hommes en grand nombre. Pourra-t-il réussir, échapper, celui qui fait de telles choses? Il a rompu l'alliance, et il échapperait!
Lakini mfalme wa Yerusalemu ameasi juu yake kwa kupeleka mabalozi kwenda Misri ili kujipatia farasi na jeshi. Je! Atafanikiwa? Je! yeye anayeyafanya haya mambo ataokoka?
16 Par ma vie, dit le Seigneur, l'Éternel, c'est dans la résidence même du roi qui l'a fait roi, dont il a méprisé le serment et rompu l'alliance, c'est auprès de lui, à Babel, qu'il mourra.
Kama niishivyo! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-atakufa hakika katika nchi ya mfalme aliyemfanya mfalme, yule mfalme ambaye aliyekidharau kiapo chake, na ambaye aliyevunja agano lake. atakufa kati ya Babeli.
17 Et avec une grande armée et un peuple nombreux, Pharaon ne fera rien pour lui durant la guerre, quand on élève des terrasses et bâtit des tours pour ôter bien des vies.
Farao na jeshi lake lenye nguvu na kusanyiko la watu wengi kwa ajili ya vita hawatamlinda katika vita, wakati jeshi la Wababeli watakapojenga tuta la ngome na kuta za ngome ili kuyaharibu maisha ya wengi.
18 Il a méprisé le serment et rompu l'alliance, et quoiqu'il eût promis de sa propre main, il a cependant fait tout cela; il n'échappera pas!
Kwa kuwa mfalme amedharau kiapo chake kwa kulivunja agano. Tazama, ameunyoosha kwa mkono wake ili kufanya ahadi na bado ameyafanya haya mambo yote. Hataokoka.
19 C'est pourquoi, ainsi parle le Seigneur, l'Éternel: Par ma vie, oui, c'est mon serment qu'il a méprisé, et mon alliance qu'il a rompue, et je ferai retomber cela sur sa tête.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kama niishivyo, Je! hiki hakikuwa kiapo changu kwamba alidharau agano langu alilo livunja? Basi nitaleta nitamwadhibu juu ya kichwa chake!
20 Et j'étendrai mon réseau sur lui, afin qu'il se prenne dans mon filet, et je l'amènerai à Babel, et là j'entrerai en débat avec lui sur le crime dont il s'est rendu coupable envers moi.
Nitausambaza wavu wangu juu yake, na atanaswa katika wavu wangu wa kutegea. Kisha nitamleta hata Babeli na kuzitekeleza hukumu juu yake huko kwa ajili ya uhaini wake alioufanya amenisaliti!
21 Et toute l'élite de tous ses bataillons tombera sous l'épée, et les survivants seront dispersés à tous les vents, et ainsi vous saurez que c'est moi, l'Éternel, qui ai parlé.
Wakimbizi wake wote katika majeshi yake yataanguka kwa upanga, na wale watakaobakia watatawanyika kila mahali. Kisha utajua yakwamba mimi ni Yahwe; nimesema hili litatokea.”
22 Ainsi parle le Seigneur, l'Éternel: Moi aussi je prendrai une cime des cèdres élevés, et je la placerai; au sommet de leurs rameaux je cueillerai un tendre rameau et le planterai moi-même sur une montagne haute et éminente.
Bwana Yahwe asema hivi, 'Basi mimi mwenyewe nitaichukua sehemu ya juu ya mti wa mkangazi, na nitaupanda mbali na matawi yake laini. Nitaukata, na mimi mwenyewe nitaupanda juu ya mlima mrefu.
23 C'est sur une haute montagne d'Israël que je le planterai, et il poussera des branches et portera du fruit, et deviendra un superbe cèdre, et toutes les espèces d'oiseaux et de volatiles viendront y faire leur demeure, ils feront leur demeure à l'ombre de ses rameaux.
Nitaupanda juu ya milima ya Israeli hivyo utazaa matawi na kuzaa matunda, na utakuwa mkangazi wa fahari ili kwamba kila ndege arukaye ataishi chini ya huo. Watajenga viota chini ya kivuli cha matawi yake.
24 Et tous les arbres des campagnes connaîtront que c'est moi, l'Éternel, qui aurai humilié l'arbre élevé et élevé l'arbre humble, que j'aurai fait sécher l'arbre vert et verdir l'arbre sec. Moi, l'Éternel, je l'ai dit et je le ferai.
Kisha miti yote ya shambani itajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeishusha miti mirefu na nimeiinua juu miti mifupi. Naunyausha mti mbichi na kuufanya mti mkavu kuchanua. Mimi Yahwe, nimesema hivyo hii itatokea; nami nimelifanya hili.'”

< Ézéchiel 17 >