< 2 Chroniques 12 >

1 Et lorsque la royauté de Roboam se fut affermie, et qu'il fut devenu fort, il abandonna la Loi de l'Éternel, et tout Israël avec lui.
Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
2 Et dans la cinquième année du règne de Roboam, Sisac, roi d'Egypte, marcha avec mille deux cents chars et soixante mille hommes de cavalerie sur Jérusalem, parce qu'ils avaient été infidèles à l'Éternel;
Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
3 et innombrables étaient les troupes venues avec lui d'Egypte, des Libyens, des Suchites et des Éthiopiens:
Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
4 et il prit les places fortes appartenant à Juda, et parut devant Jérusalem.
Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
5 Mais Semaïa, le prophète, vint trouver Roboam et les princes de Juda qui s'étaient rassemblés à Jérusalem pour échapper à Sisac, et leur dit: Ainsi parle l'Éternel: Vous m'avez abandonné, et aussi je vous abandonne aux mains de Sisac.
Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
6 Alors les princes d'Israël et le roi s'humilièrent et dirent: L'Éternel est juste.
Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
7 Et lorsque l'Éternel vit qu'ils s'étaient humiliés, la parole de l'Éternel fut adressée à Semaïa, en ces termes: Ils se sont humiliés, je ne les détruirai pas, et dans peu je les dégagerai, et ma colère ne s'épanchera pas sur Jérusalem par la main de Sisac.
Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
8 Cependant ils lui seront assujettis, afin qu'ils sentent ce que c'est que m'être assujetti et être assujetti aux royaumes des autres pays.
Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
9 Sisac, roi d'Egypte, marcha donc sur Jérusalem; et il enleva les trésors du Temple de l'Éternel, et les trésors du palais royal; il enleva tout, et enleva les boucliers d'or qu'avait faits Salomon.
Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
10 Et pour les remplacer le roi Roboam fit des boucliers d'airain qu'il commit aux mains des chefs des coureurs, gardes de l'entrée du palais royal.
Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
11 Et toutes les fois que le roi venait au Temple de l'Éternel, les coureurs venaient les apporter, puis les reportaient dans la salle des coureurs.
Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
12 Comme donc il s'humilia, la colère de l'Éternel se détourna de lui, à l'effet de ne pas le détruire totalement: il y avait aussi dans Juda encore de bonnes choses.
Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
13 Et le roi Roboam s'affermit dans Jérusalem et régna. Roboam avait quarante-un ans à son avènement, et il régna dix-sept ans à Jérusalem, ville que l'Éternel avait choisie dans toutes les Tribus d'Israël, pour y placer son Nom. Or le nom de sa mère était Naama, l'Ammonite.
Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
14 Et il fit le mal parce qu'il ne dirigea pas son cœur vers la recherche de l'Éternel.
Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
15 Les actes de Roboam, les premiers et les derniers, sont d'ailleurs consignés dans les histoires de Semaïa, le prophète, et de Iddo, le Voyant, aux registres. Et il y eut constamment hostilité entre Roboam et Jéroboam.
Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
16 Et Roboam reposa à côté de ses pères et reçut la sépulture dans la Cité de David, et son fils Abia devint roi en sa place.
Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.

< 2 Chroniques 12 >