< 1 Chroniques 11 >

1 Et tous les Israélites formèrent assemblée auprès de David à Hébron et dirent: Voici, nous sommes tes os et ta chair.
Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
2 Déjà hier et avant-hier, déjà pendant le règne de Saül, c'était toi qui menais en campagne et ramenais Israël, et l'Éternel, ton Dieu, t'a dit: C'est toi qui seras le pasteur de mon peuple d'Israël, et c'est toi qui seras prince de mon peuple d'Israël.
Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
3 Ainsi se présentèrent tous les Anciens d'Israël au Roi en Hébron et David solennisa un pacte avec eux à Hébron devant l'Éternel; et ils oignirent David roi d'Israël aux termes de la parole de l'Éternel prononcée par l'organe de Samuel.
Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
4 Et David et tous les Israélites se portèrent sur Jérusalem, c'est- à-dire Jébus; or là vivaient les Jébusites habitants du pays.
Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
5 Et les habitants de Jébus dirent à David: Tu n'entreras pas ici. Mais David s'empara de la citadelle de Sion, c'est-à-dire, de la Cité de David.
Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
6 Et David dit: Le premier qui battra les Jébusites aura rang de chef et de général. Et le premier qui escalada fut Joab, fils de Tseruïa, et il devint chef.
Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
7 Et David habita la citadelle; c'est pourquoi elle reçut le nom de Cité de David.
Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
8 Et il éleva la cité dans son pourtour, à partir de Millo, et l'enceinte entière, et Joab restaura le restant de la ville.
Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
9 Et David allait toujours grandissant et l'Éternel des armées était avec lui.
Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
10 Suivent les principaux héros qu'avait David, qui lui prêtèrent main forte lors de son avènement, avec tout Israël, pour le faire roi selon la parole de l'Éternel concernant Israël.
Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
11 Et voici la liste des héros qu'avait David: Jasobeam, fils de Hachmoni, chef des trente, il brandissait sa lance sur trois cents hommes tués tout d'une haleine.
Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
12 Et après lui Eléazar, fils de Dodo, l'Ahohite; il était l'un des trois héros.
Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
13 C'est lui qui était avec David à Pas-Damim, lorsque les Philistins s'étaient concentrés là pour le combat. Et il y avait là une pièce de terre, pleine d'orge, et la troupe s'enfuit devant les Philistins;
Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
14 alors ils se postèrent au milieu du champ et le délivrèrent et battirent les Philistins, et l'Éternel accorda une grande victoire.
Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
15 Et ces trois qui faisaient partie des trente chefs, descendirent au rocher vers David dans la grotte d'Adullam, et le camp des Philistins était assis dans la vallée de Rephaïm.
Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
16 Or David se trouvait à ce moment sur la hauteur, et il y avait alors à Bethléhem un poste de Philistins.
Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
17 Et David fit un souhait et dit: Qui me fera boire de l'eau de la citerne de Bethléhem, qui est dans la porte?
Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
18 Alors les trois se firent jour à travers le campement des Philistins, et puisèrent de l'eau à la citerne de Bethléhem dans la porte, et ils l'apportèrent et l'offrirent à David; mais David ne voulut pas la boire et il la répandit en hommage à l'Éternel
Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
19 et dit: Mon Dieu me préserve de faire pareille chose! Boirais-je le sang de ces hommes qui ont risqué leur vie? Car c'est au péril de leur vie qu'ils l'ont apportée. Il ne voulut donc pas la boire. Tel est l'exploit des trois héros.
Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
20 Et Abisaï, frère de Joab: il était le chef des Trois, et il brandit sa lance sur trois cents tués et il avait un nom dans les Trois.
Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
21 Il était honoré par les Trois de la seconde série, et était leur chef, mais il n'atteignait pas aux Trois [premiers].
Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
22 Benaïa, fils de Joiada, fils d'un brave, illustre par ses exploits, du Cabtséel; c'est lui qui abattit les deux Ariels de Moab. C'est aussi lui qui descendit et abattit le lion dans la citerne un jour de neige.
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
23 C'est aussi lui qui terrassa l'homme d'Egypte, un homme ayant une stature de cinq coudées, et dans la main de l'Égyptien était une lance comme l'ensuble d'un tisserand, et il fondit sur lui avec le bâton, et arracha la lance de la main de l'Égyptien, qu'il tua avec sa lance.
Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
24 Tels sont les faits de Benaïa, fils de Joiada, et il avait avec un nom entre les Trois héros.
Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
25 Voici, il était honoré par les trente, mais il n'atteignait pas aux trois premiers. Et David le mit à la tête de sa garde du corps.
Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
26 Et les chefs des ces corps d'armée étaient: Asahel, frère de Joab; Elchanam fils de Dodo, de Bethléhem;
Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
27 Sammoth l'Harorite; Hélets, le Pelonite;
Shamothi Mherori, Helezi Mpeloni,
28 Ira, fils de Ickesch de Thékôa; Abiézer, d'Anatoth;
Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
29 Sibchaï le Husathite; Ilaï l'Ahohite;
Sibekai Mhushathite, Ilai Mahohite,
30 Maheraï de Nétophah; de Héled, fils de Baëna, de Nétophah;
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
31 Ithaï, fils de Ribaï, de Gibea des Benjaminites; Benaïa, de Piratheon;
Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
32 Huraï de Nahalei-Gaas; Abiel de Arba;
Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
33 Azmaveth, le Baherumite; Elihaba, de Saalbon;
Azmavethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
34 Benei-Hasem, de Gizon; Jonathan, fils de Sagè, de Harar;
Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
35 Hahiam, fils de Sachar, de Harar; Eliphal, fils de Hur;
Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
36 Hépher, de Mechébaï; Ahia, le Pelonite;
Hefa Mmekarathi, Ahija Mpeloni,
37 Hetsro, le Carmélite; Naaraï, fils de Ezbaï;
Hezro Mcarmeli, Maarai mwana wa Ezibai,
38 Joël, frère de Nathan; Mibehar, fils de Hagri;
Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
39 Tsélec, l'Ammonite; Naheraï, le Bérothite, écuyer de Joab, fils de Tseruïa;
Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
40 Irah, de Jéther; Gareb, de Jéther;
Ira Mithire, Garebu Mithire,
41 Uria le Héthien; Zabad, fils de Ahelaï;
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Ahlai,
42 Adina, fils de Siza, le Rubénite, chef des Rubénites, suivi de trente hommes;
Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
43 Hanan, fils de Maëcha, et Josaphat, le Mithenite;
Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
44 Uzzia d'Astherah; Sama et Jehiel, fils de Hotham d'Aroër;
Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
45 Jediael, fils de Simri, et Joha, son frère, le Thitsite;
Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
46 Eliel de Mahevim; Jeribaï et Josavia, fils d'Elnaam; et Jithma, le Moabite;
Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
47 Eliel et Obed et Jaësiel-Hammetsobaïa.
Elieli, Obedi, na Yaasieli Wamezobai.

< 1 Chroniques 11 >