< Psaumes 8 >
1 Éternel, notre Seigneur, que ton nom est magnifique sur toute la terre! Tu as établi ta majesté au-dessus des cieux.
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
2 De la bouche des petits enfants et des nourrissons, tu tires ta louange, à cause de tes adversaires, pour réduire au silence l'ennemi et le rebelle.
Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
3 Quand je regarde tes cieux, l'ouvrage de tes doigts, la lune et les étoiles que tu as formées,
Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
4 Je dis: Qu'est-ce que l'homme, que tu te souviennes de lui? le fils de l'homme, que tu prennes garde à lui?
Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
5 Et tu l'as fait un peu inférieur aux anges; tu l'as couronné de gloire et d'honneur.
Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
6 Tu lui as donné l'empire sur les ouvrages de tes mains; tu as mis toutes choses sous ses pieds;
Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
7 Les brebis et les bœufs, tous ensemble, et même les bêtes des champs;
kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
8 Les oiseaux des cieux et les poissons de la mer, tout ce qui parcourt les sentiers des mers.
ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
9 Éternel, notre Seigneur, que ton nom est magnifique sur toute la terre!
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!