< Psaumes 3 >

1 Éternel, que mes ennemis sont nombreux! Combien de gens se lèvent contre moi!
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 Combien, qui disent de mon âme: Point de salut pour lui auprès de Dieu! (Sélah, pause)
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 Mais toi, Éternel, tu es mon bouclier, ma gloire, et celui qui me fait lever la tête.
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 Je crie de ma voix à l'Éternel, et il me répond de sa montagne sainte. (Sélah)
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 Je me couche, je m'endors, et je me réveille; car l'Éternel me soutient.
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 Je ne crains point les milliers d'hommes qui se rangent de toute part contre moi.
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 Lève-toi, Éternel, sauve-moi, mon Dieu! Car tu as frappé à la joue tous mes ennemis, tu as brisé les dents des méchants.
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 Le salut vient de l'Éternel; ta bénédiction est sur ton peuple! (Sélah)
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.

< Psaumes 3 >