< Psaumes 20 >

1 Que l'Éternel te réponde au jour de la détresse; que le nom du Dieu de Jacob te mette en une haute retraite!
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Qu'il t'envoie son secours du saint lieu, et qu'il te soutienne de Sion!
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Qu'il se souvienne de toutes tes offrandes et qu'il ait pour agréable ton holocauste! (Sélah, pause)
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Qu'il t'accorde le désir de ton cœur, et qu'il accomplisse tous tes desseins!
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Nous triompherons de ta délivrance, et nous élèverons l'étendard au nom de notre Dieu; l'Éternel accomplira toutes tes demandes.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Déjà je sais que l'Éternel a délivré son Oint; il lui répondra des cieux de sa sainteté, par le secours puissant de sa droite.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Les uns se vantent de leurs chars, et les autres de leurs chevaux; mais nous, du nom de l'Éternel, notre Dieu.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Ils ont plié et sont tombés, mais nous nous sommes relevés et affermis.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Éternel, sauve le roi! Exauce-nous au jour où nous t'invoquons!
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psaumes 20 >