< Psaumes 17 >

1 Prière de David. Éternel! écoute ma juste cause; sois attentif à mon cri; prête l'oreille à la prière que je te fais, avec des lèvres sans fraude!
Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
2 Que mon droit paraisse devant ta face; que tes yeux voient mon intégrité!
Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
3 Tu as sondé mon cœur, tu m'as visité la nuit; tu m'as éprouvé, tu ne trouves rien; ma parole ne va pas au-delà de ma pensée.
Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
4 Quant aux actions des hommes, suivant la parole de tes lèvres, je me suis gardé des voies de l'homme violent.
Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
5 Mes pas sont affermis dans tes sentiers, mes pieds ne chancellent point.
Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
6 Je t'invoque, car tu m'exauces, ô Dieu! Incline ton oreille vers moi, écoute ma parole!
Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
7 Rends admirables tes bontés, ô toi, dont la droite délivre de leurs adversaires ceux qui se retirent vers toi!
Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
8 Garde-moi comme la prunelle de l'œil; couvre-moi sous l'ombre de tes ailes,
Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
9 Contre ces méchants qui m'oppriment, contre mes ennemis mortels qui m'environnent!
kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
10 Ils ferment leur cœur endurci; leur bouche parle avec fierté.
Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
11 Déjà ils entourent nos pas; ils nous épient pour nous jeter à terre.
Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
12 Ils ressemblent au lion qui ne demande qu'à déchirer, au lionceau qui se tient en embuscade.
Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
13 Lève-toi, Éternel! préviens-le, renverse-le; délivre mon âme du méchant par ton épée!
Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
14 Par ta main, ô Éternel, délivre-la des hommes, des hommes de ce monde, dont le partage est dans cette vie, dont tu remplis le ventre de tes biens; leurs fils sont rassasiés, et ils laissent leurs restes à leurs petits enfants.
Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
15 Mais moi, dans la justice je verrai ta face; je serai rassasié de ton image, quand je me réveillerai.
Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.

< Psaumes 17 >