< Psaumes 146 >

1 Louez l'Éternel! Mon âme, loue l'Éternel!
Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
2 Je louerai l'Éternel tant que je vivrai; je célébrerai mon Dieu tant que j'existerai.
Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
3 Ne vous confiez pas dans les grands, ni dans aucun fils d'homme, qui ne saurait délivrer.
Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
4 Son souffle s'en va, il retourne à sa terre, et en ce jour-là ses desseins périssent.
Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
5 Heureux celui qui a le Dieu de Jacob pour aide, et dont l'attente est en l'Éternel son Dieu,
Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
6 Qui a fait les cieux et la terre, la mer et tout ce qui y est; qui garde la fidélité à toujours;
Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
7 Qui fait droit à ceux qui sont opprimés, qui donne du pain à ceux qui ont faim!
Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
8 L'Éternel délie les captifs; l'Éternel ouvre les yeux des aveugles; l'Éternel redresse ceux qui sont courbés; l'Éternel aime les justes.
Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
9 L'Éternel garde les étrangers; il soutient l'orphelin et la veuve; mais il renverse la voie des méchants.
Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
10 L'Éternel régnera éternellement. O Sion, ton Dieu est d'âge en âge! Louez l'Éternel!
Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.

< Psaumes 146 >