< Psaumes 109 >

1 Au maître-chantre. Psaume de David.
Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
2 O Dieu de ma louange, ne te tais point! Car la bouche du méchant et la bouche du perfide se sont ouvertes contre moi; ils me parlent avec une langue menteuse.
Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
3 Ils m'environnent de paroles de haine; ils me font la guerre sans cause.
Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
4 En retour de mon amour, ils se font mes adversaires; moi, je ne fais que prier.
Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
5 Ils m'ont rendu le mal pour le bien, et la haine pour mon amour.
Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
6 Établis sur lui un méchant, et qu'un adversaire se tienne à sa droite!
Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
7 Quand on le jugera, qu'il soit déclaré coupable, et que sa prière lui soit imputée à péché!
Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
8 Que ses jours soient peu nombreux; qu'un autre prenne sa charge!
Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
9 Que ses fils soient orphelins, et sa femme veuve!
Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
10 Que ses fils soient errants et mendiants; qu'ils aillent quêter loin de leurs masures!
Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
11 Que le créancier jette le filet sur ce qu'il a; que les étrangers pillent son travail!
Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
12 Qu'il n'y ait personne qui lui continue sa bonté; que nul n'ait pitié de ses orphelins!
Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
13 Que sa postérité soit retranchée; que dans la génération à venir leur nom soit effacé!
Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
14 Que l'iniquité de ses pères revienne en mémoire devant l'Éternel, et que le péché de sa mère ne soit point effacé;
Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
15 Qu'ils soient toujours devant l'Éternel, et qu'il retranche leur mémoire de la terre;
Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
16 Parce qu'il ne s'est pas souvenu d'user de bonté, qu'il a persécuté l'affligé, le pauvre, l'homme au cœur brisé, pour le faire mourir!
Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
17 Il a aimé la malédiction, elle viendra sur lui; il n'a point pris plaisir à la bénédiction, elle s'éloignera de lui.
Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
18 Il sera enveloppé de malédiction comme d'un manteau; elle pénétrera dans son corps comme de l'eau, et dans ses os comme de l'huile.
Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
19 Elle sera comme l'habit dont il se couvre, comme la ceinture dont il est toujours ceint.
Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
20 Tel sera, de la part de l'Éternel, le salaire de mes adversaires, et de ceux qui disent du mal contre moi.
Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
21 Mais toi, Éternel mon Dieu, agis en ma faveur, à cause de ton nom; selon la grandeur de ta bonté, délivre-moi!
Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
22 Car je suis affligé et misérable, et mon cœur est blessé au-dedans de moi.
Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
23 Je m'en vais comme l'ombre quand elle décline; je suis chassé comme la sauterelle.
Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
24 Mes genoux chancellent par le jeûne; ma chair a perdu son embonpoint.
Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
25 Je suis pour eux un sujet d'opprobre; en me voyant, ils hochent la tête.
Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
26 Sois-moi en aide, Éternel mon Dieu!
Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
27 Sauve-moi selon ta bonté, afin qu'ils sachent que c'est ta main, que c'est toi, Éternel, qui l'as fait.
Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
28 Ils maudiront, toi tu béniras; ils s'élèvent, mais ils rougiront, et ton serviteur se réjouira.
Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
29 Que mes adversaires soient revêtus de confusion, et couverts de leur honte comme d'un manteau!
Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
30 Ma bouche louera hautement l'Éternel; je le célébrerai au milieu de la multitude.
Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
31 Car il se tient à la droite du pauvre, pour le sauver de ceux qui condamnent son âme.
Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.

< Psaumes 109 >