< Proverbes 9 >

1 La sagesse a bâti sa maison; elle a taillé ses sept colonnes.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
2 Elle a apprêté sa viande, elle a préparé son vin; elle a déjà dressé sa table.
Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
3 Elle a envoyé ses servantes; du haut des lieux les plus élevés de la ville, elle crie:
Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
4 Que celui qui est ignorant entre ici! Et elle dit à ceux qui manquent d'intelligence:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
5 Venez, mangez de mon pain, et buvez du vin que j'ai préparé.
Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
6 Laissez là l'ignorance, et vous vivrez; et marchez dans le chemin de la prudence.
Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Celui qui reprend un moqueur, n'en reçoit que de la honte; et celui qui corrige un méchant, s'attire un affront.
“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
8 Ne reprends point un moqueur, de peur qu'il ne te haïsse; reprends un homme sage, et il t'aimera.
Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
9 Instruis un sage, et il deviendra encore plus sage; enseigne un homme de bien, et il croîtra en science.
Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
10 Le commencement de la sagesse est la crainte de l'Éternel; et la science des saints c'est la prudence.
“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
11 Car par moi tes jours seront multipliés, et des années seront ajoutées à ta vie.
Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
12 Si tu es sage, tu es sage pour toi-même; si tu es moqueur, tu en porteras seul la peine.
Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
13 La folie est une femme turbulente, stupide, et qui ne sait rien.
Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
14 Elle s'assied à la porte de la maison, sur un siège, dans les lieux élevés de la ville,
Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
15 Pour crier aux passants qui vont droit leur chemin:
akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
16 Que celui qui est ignorant entre ici! Et elle dit à celui qui manque d'intelligence:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
17 Les eaux dérobées sont douces, et le pain pris en cachette est agréable.
“Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
18 Et il ne sait pas que là sont les morts, et que ses invités sont au fond du Sépulcre. (Sheol h7585)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Proverbes 9 >