< Nombres 4 >

1 L'Éternel parla encore à Moïse et à Aaron, en disant:
BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
2 Faites le compte des fils de Kéhath, d'entre les enfants de Lévi, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères,
Fanya sensa ya uzao waume wa Kohathi kutoka kwa Walawi, kwa kufuata jamaa na na familia za koo.
3 Depuis l'âge de trente ans et au-dessus, jusqu'à l'âge de cinquante ans, tous ceux qui entrent en rang pour s'employer au tabernacle d'assignation.
Uwahesabu wanaume ambao wana umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Hawa wataungana na kundi linalotumika kutoa huduma kwenye hema ya kukutania.
4 Voici le service des fils de Kéhath dans le tabernacle d'assignation, le soin du lieu très-saint.
Uzao wa Kohathi watalinda vile vitu vitakatifu zaidi vilivyohifadhiwa kwa ajili yangu katika hema ya kukutania.
5 Quand le camp partira, Aaron et ses fils viendront, et ils descendront le voile de tapisserie, et ils en couvriront l'arche du Témoignage.
Wakati kambi inapojiandaa kusonga mbele, Haruni na wanawe lazima waende hemani, kulishusha pazia linalotenganisha mahali patakatifu na kulifunika sanduku la ushuhuda kwa pazia hilo. Watalifunika hilo sanduku kwa ngozi za pomboo.
6 Puis ils mettront sur elle une couverture de peaux de couleur d'hyacinthe; ils étendront par-dessus un drap entièrement de pourpre, et ils y mettront les barres.
Watatandika juu yake nguo za rangi ya samawi. Watachomeka hiyo miti ya kubebea.
7 Et ils étendront un drap de pourpre sur la table des pains de proposition, et ils mettront dessus les plats, les tasses, les coupes et les vases pour les libations; et le pain perpétuel sera dessus;
Watatandika nguo ya rangi ya samawi kwenye meza ya mikate ya wonyesho. Juu yake wataweka sahani, vijiko, mabakuli na vikombe vya kumiminia. Mikate itakuwepo daima mezani.
8 Et ils étendront sur ces choses un drap cramoisi, et ils le couvriront d'une couverture de peaux de couleur d'hyacinthe; et ils mettront les barres de la table.
Wataifunika na nguo ya rangi nyekundu na ngozi za pomboo. na kuweka miti ya kubebea.
9 Et ils prendront un drap de pourpre, et ils en couvriront le chandelier du luminaire, ses lampes, ses mouchettes, ses porte-mouchettes, et tous ses vases à huile, dont on se sert pour le chandelier.
Watachukua nguo ya rangi ya samawi na kukifunika kinara, pamoja na taa zake, na koleo zake, na sahani zake na vikombe vyake vya kuwekea mafuta ya taa.
10 Et ils le mettront, avec tous ses ustensiles, dans une couverture de peaux de couleur d'hyacinthe, et le placeront sur le brancard.
Wataweka kinara na vifaa vyake vikiwa vimefunikwa na ngozi ya pomboo, na wataweka kwenye miti ya kukibebea.
11 Ils étendront sur l'autel d'or un drap de pourpre, et ils le couvriront d'une couverture de peaux de couleur d'hyacinthe, et ils y mettront ses barres.
Watafunika na nguo ya samawi katika madhabau ya dhahabu. Wataifunika na ngozi za pomboo, na kuweka ile miti ya kubebea.
12 Ils prendront aussi tous les ustensiles du service, dont on se sert dans le sanctuaire, et ils les mettront dans un drap de pourpre, et ils les couvriront d'une couverture de peaux de couleur d'hyacinthe, et les mettront sur le brancard.
Watavichukua vyombo vyote vya kazi takatifu na kuvizonga kwenye hiyo nguo ya rangi ya samawi. Watavifunika na ngozi za pomboo na kuviweka hivyo vyombo kwenye miti ya kubebea.
13 Ils ôteront les cendres de l'autel, et ils étendront sur lui un drap écarlate;
Watayaondoa majivu kwenye madhabahu na kutandika nguo ya rangi ya zambarau juu yake.
14 Et ils mettront dessus tous les ustensiles employés pour y faire le service, les encensoirs, les fourchettes, les racloirs, les coupes, tous les ustensiles de l'autel; et ils étendront par-dessus une couverture de peaux de couleur d'hyacinthe, et ils y mettront ses barres.
Watavieka kwenye miti ya kubebea vyombo vyote wanavyovitumia kwa kazi ya madhabahuni. Vyombo hivi ni vyetezo, majembe, mabakuli na vitu vingine vya madhabahuni. Wataifuniks madhabahu na ngozi za pomboo na kuweka ile miti ya kubebea.
15 Après qu'Aaron et ses fils auront achevé de couvrir le sanctuaire et tous les ustensiles sacrés, quand le camp partira, alors les enfants de Kéhath viendront pour les porter; et ils ne toucheront point les choses saintes, de peur qu'ils ne meurent. Voilà ce qu'auront à porter les enfants de Kéhath dans le tabernacle d'assignation.
Wakati Haruni na wanawe walipokuwa wamekamilisha kupafunika mahali patakatifu na vyombo vyote, na kambi itakapoanza kuendelea mbele, ndipo wana wa Kohathi watakapokuja kubeba vitu vya mahali patakatifu. Kama watagusa vyombo vitakatifu, lazima watakufa. Hii ni kazi ya wana wa uzao wa Kohathi, kubeba mapambo ya hema ya kukutania.
16 Éléazar, fils d'Aaron, le sacrificateur, aura la surveillance de l'huile du luminaire, du parfum d'aromates, de l'oblation continuelle et de l'huile d'onction, la surveillance de toute la Demeure, et de tout ce qu'elle contient, le sanctuaire et ses ustensiles.
Eliazari mwana wa Haruni kuhani atalinda na kusimamia mafuta ya taa, ubani mzuri, sadaka za mara kwa mara na mafuta ya upako. Atasimamia ulinzi wa hema lote na vyote vilivyomo, mahali patakatifu na vyombo vyake.”
17 L'Éternel parla encore à Moïse et à Aaron, en disant:
BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
18 Faites en sorte que la tribu des familles de Kéhath ne soit point retranchée d'entre les Lévites;
Usiruhusu kabila la Wakohathi kuondolewa kati ya Walawi.
19 Et faites ceci pour eux, afin qu'ils vivent et ne meurent point, quand ils approcheront du lieu très-saint: qu'Aaron et ses fils viennent, et prescrivent à chacun son service et ce qu'il doit porter.
Walinde waishi ili wasije wakafa, kwa kufanya hivi. Wanapokuwa wanasogelea
20 Et ils n'entreront point pour regarder, quand on enveloppera les choses saintes, de peur qu'ils ne meurent.
wasije wakaingia ndani ili kuona eneo takatifu hata kwa kitambo, vinginevyo watakufa. Bali Haruni na wanawe wanaweza kuingia, ndipo Haruni na Wanawe watakapowapangia Wakohathi kazi maalumu ya kufanya, kwa kila mmoj.”
21 L'Éternel parla aussi à Moïse, en disant:
BWANA akanena na Musa tena, Akasema, “Fanya sensa kwa wana Gerishoni pia, kwa kufuata familia za mababu zao, koo zao.
22 Fais aussi le compte des enfants de Guershon, selon les maisons de leurs pères, selon leurs familles.
Uwahesabu wale wenye umri wa mika thelathini hadi miaka hamsini.
23 Depuis l'âge de trente ans et au-dessus, jusqu'à l'âge de cinquante ans, tu les dénombreras, tous ceux qui viennent prendre rang pour faire le service dans le tabernacle d'assignation.
Uwahesabu wote ili waje kuungana na wale wanaotumika katika hema ya kukutania.
24 Voici le service des familles des Guershonites, ce qu'ils doivent faire, et ce qu'ils doivent porter;
Hii ndiyo itakuwa kazi ya koo za Gerishoni, wanapotumikia na wanachobeba.
25 Ils porteront les tentures de la Demeure, et le tabernacle d'assignation, sa couverture, la couverture de peaux de couleur d'hyacinthe qui est par-dessus, et la tapisserie de l'entrée du tabernacle d'assignation;
Watabeba pazia la masikani, hema la kukutania, na vifunikio vyake, vifuniko vya ngozi ya pomboo ambvyo viko juu yake, na pazia kwenye lango la hema ya kukutania.
26 Les tentures du parvis, et la tapisserie de l'entrée de la porte du parvis, qui cachent la Demeure et l'autel tout autour, leurs cordages, et tous les ustensiles de leur service. Ils feront tout le service qui s'y rapporte.
Watabeba pazia la ua, pazia la kwenye mlango wa ua, ambao uko karibu na maskani karibu na madhabahu, kamba zake na vifaa vyote vya utumishi wake. Chochote kinachotakiwa kufanywa kutokana na vitu hivi, wao ndio watakaofanya.
27 Tout le service des enfants de Guershon, en tout ce qu'ils doivent porter, et en tout ce qu'ils doivent faire, sera réglé par l'ordre d'Aaron et de ses fils, et vous confierez à leur garde tout ce qu'ils doivent porter.
Haruni na wanawe ndio watakaongoza utumishi wa uzao wa Wagerishoni, kwa vitu vyote vile vya kusafirisha, na katika utumishi wao wote. Lazima uwagawie majukumu yao yote.
28 Tel est le service des familles des enfants des Guershonites dans le tabernacle d'assignation; et leur charge sera exercée sous la conduite d'Ithamar, fils d'Aaron, le sacrificateur.
Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa wana wa Wagerishoni katka hema ya kukutania. Ithamari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza katika utumishi.
29 Tu dénombreras les enfants de Mérari, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères;
Utawahesabu uzao wa Merari kwa koo zao, na uwapange katika familia za mabau zao,
30 Tu les dénombreras depuis l'âge de trente ans et au-dessus, jusqu'à l'âge de cinquante ans, tous ceux qui prennent rang pour s'employer au service du tabernacle d'assignation.
kuanzia wenye umri wa miaka thelatini hadi miaka hamsini. Umuhesabu kila atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania.
31 Et voici ce qu'ils auront à garder et à porter, pour tout leur service dans le tabernacle d'assignation: les planches de la Demeure, ses traverses, ses colonnes, ses soubassements,
Huu ndio wajibu na kazi yao katika utumishi wao kwenye hema ya kukutania. Watazilinda mbao za maskani, mataluma yake, nguzo na makalishio yake,
32 Les colonnes du parvis tout autour, leurs soubassements, leurs pieux, leurs cordages, avec tous les objets et tout ce qui se rattache à leur service; et vous dénombrerez par leurs noms les objets qu'ils auront à garder et à porter.
pamoja na nguzo za ua zinazozunguka masikani, makalishio yake, vigingi na kamba zake, na vifaa vinginevya ujenzi. Waorodheshe kwa majina na majukumu yao.
33 Tel est le service des familles des enfants de Mérari, pour tout leur service dans le tabernacle d'assignation, sous la conduite d'Ithamar, fils d'Aaron, le sacrificateur.
Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa Merari, ambao wanatakiwa kufanya katika hema ya kukutania, chini ya uongozi wa Ithmari mwana wa Haruni kuhani.”
34 Moïse, Aaron et les principaux de l'assemblée, dénombrèrent donc les enfants des Kéhathites, selon leurs familles et selon les maisons de leurs pères,
Musa na Haruni na viongozi wa watu waliwahesabu wana wa uzao wa Wakohathi kwa kufuata koo za familia za mababu zao.
35 Depuis l'âge de trente ans et au-dessus, jusqu'à l'âge de cinquante ans, tous ceux qui prenaient rang pour servir au tabernacle d'assignation;
Waliwahesabu wale wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Walimhesabu kila mmoja aliyepaswa kuungana na kundi linalotoa huduma ya utumishi kwenye hema ya kukutania.
36 Et ceux qui furent dénombrés selon leurs familles, étaient deux mille sept cent cinquante.
Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao.
37 Tels sont ceux des familles des Kéhathites dont on fit le dénombrement, tous ceux qui servaient dans le tabernacle d'assignation, que Moïse et Aaron passèrent en revue sur l'ordre que l'Éternel en avait donné par l'organe de Moïse.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote kutoka koo na familia za Wakohathi ambao hutumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi kwa kumtii BWANA aliyewaagiza kupitia kwa Musa.
38 Quant aux enfants de Guershon qui furent dénombrés, selon leurs familles et selon les maisons de leurs pères,
Uzao wa Gerishoni walihesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao,
39 Depuis l'âge de trente ans et au-dessus, jusqu'à l'âge de cinquante ans, tous ceux qui vinrent prendre rang pour servir au tabernacle d'assignation,
kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kwa kila mmoja aliyetakiwa kuungana na watu wanaotoa huduma kwenye hema ya kukutania.
40 Ceux qui furent dénombrés, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, étaient deux mille six cent trente.
Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630.
41 Tels sont ceux des familles des enfants de Guershon qui furent dénombrés, tous ceux qui servaient dans le tabernacle d'assignation, que Moïse et Aaron dénombrèrent, sur l'ordre de l'Éternel.
Musa na Haruni walizihesabu koo za uzao wa Gerishoni ambao watatumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi ili kutii ambacho BWANA aliwaamuru kufanya kuptia kwa Musa.
42 Quant à ceux des familles des enfants de Mérari, qui furent dénombrés, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères,
Uzao wa Merari walihesabiwa kwa koo kupitia familia za mababu zao,
43 Depuis l'âge de trente ans et au-dessus, jusqu'à l'âge de cinquante ans, tous ceux qui venaient prendre rang pour faire le service dans le tabernacle d'assignation,
kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kila anayepaswa kuungana na watu wanaotumika kwenye hema ya kukutania.
44 Ceux qui furent dénombrés, selon leurs familles, étaient trois mille deux cents.
Wanaume wote waliohesabiwa kupitia koo za familia za mababu zao walikuwa 3. 200.
45 Tels sont ceux des familles des enfants de Mérari, que Moïse et Aaron dénombrèrent sur l'ordre que l'Éternel en avait donné par l'organe de Moïse.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume hawa, uzao wa Merari. Kw kufanya hivi walitii amri ya BWANA aliyowaaagiza kufanya kupitia kwa Musa.
46 Tous ceux que Moïse et Aaron et les principaux d'Israël dénombrèrent d'entre les Lévites, selon leurs familles, et selon les maisons de leurs pères,
Kwa hiyo Musa na Haruni na viongozi wa Israeli waliwahesabu Walawi wote kw kufuata koo na familia za mababu zao
47 Depuis l'âge de trente ans et au-dessus, jusqu'à l'âge de cinquante ans; tous ceux qui entraient pour remplir l'office de serviteurs et l'office de porteurs dans le tabernacle d'assignation,
kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. walimhesabu kila aliyepaswa kufanya kazi kwenye masikani, na kila aliyepaswa kubeba na kulinda vitu vya kwenye hema ya kukutania.
48 Tous ceux qui furent dénombrés étaient huit mille cinq cent quatre-vingts.
Waliwahesabu wanaume 8, 580.
49 On en fit le dénombrement selon l'ordre que l'Éternel en avait donné par l'organe de Moïse, chacun pour son service et pour ce qu'il avait à porter; on en fit le dénombrement selon ce que l'Éternel avait commandé à Moïse.
Kwa agizo la BWANA, Musa alimhesabu kila mwanamume na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya. Kwa hivyo, walitii kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya kupitia kwa Musa.

< Nombres 4 >