< Nombres 29 >

1 Et le premier jour du septième mois, vous aurez une sainte convocation; vous ne ferez aucune œuvre servile; ce sera pour vous un jour où l'on sonnera de la trompette.
Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
2 Et vous offrirez en holocauste, en agréable odeur à l'Éternel, un jeune taureau, un bélier, et sept agneaux d'un an sans défaut,
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
3 Et leur oblation de fine farine pétrie à l'huile, trois dixièmes pour le taureau, deux dixièmes pour le bélier;
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
4 Et un dixième pour chacun des sept agneaux;
na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
5 Et un bouc en sacrifice pour le péché, afin de faire l'expiation pour vous;
Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 Outre l'holocauste du commencement du mois, et son oblation, l'holocauste continuel et son offrande, et leurs libations, selon l'ordonnance. Vous les offrirez en sacrifice d'agréable odeur, fait par le feu à l'Éternel.
Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
7 Et au dixième jour de ce septième mois, vous aurez une sainte convocation, et vous humilierez vos âmes; vous ne ferez aucune œuvre.
Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
8 Et vous offrirez en holocauste d'agréable odeur à l'Éternel, un jeune taureau, un bélier et sept agneaux d'un an, qui seront sans défaut;
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
9 Et leur oblation sera de fine farine pétrie à l'huile, trois dixièmes pour le taureau, deux dixièmes pour le bélier,
Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
10 Un dixième pour chacun des sept agneaux.
na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
11 Vous offrirez aussi un bouc en sacrifice pour le péché; outre le sacrifice pour le péché, qu'on offre le jour des expiations, et l'holocauste continuel et son oblation, et leurs libations.
Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
12 Et au quinzième jour du septième mois, vous aurez une sainte convocation; vous ne ferez aucune œuvre servile; mais vous célébrerez une fête à l'Éternel pendant sept jours.
Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
13 Et vous offrirez en holocauste, en sacrifice fait par le feu, en agréable odeur à l'Éternel, treize jeunes taureaux, deux béliers, et quatorze agneaux d'un an, qui seront sans défaut;
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
14 Et leur oblation sera de fine farine pétrie à l'huile, trois dixièmes pour chacun des treize taureaux, deux dixièmes pour chacun des deux béliers,
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
15 Et un dixième pour chacun des quatorze agneaux;
na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
16 Vous offrirez aussi un bouc en sacrifice pour le péché; outre l'holocauste continuel, son oblation et sa libation.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
17 Et au second jour, vous offrirez douze jeunes taureaux, deux béliers, quatorze agneaux d'un an, sans défaut,
Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
18 Avec l'oblation et les libations pour les taureaux, pour les béliers et pour les agneaux, d'après leur nombre, selon les prescriptions;
Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
19 Et un bouc en sacrifice pour le péché, outre l'holocauste continuel, et son oblation, et leurs libations.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
20 Et au troisième jour, vous offrirez onze taureaux, deux béliers, quatorze agneaux d'un an, sans défaut,
Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
21 Avec l'oblation et les libations pour les taureaux, pour les béliers et pour les agneaux, d'après leur nombre, selon les prescriptions;
Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
22 Et un bouc en sacrifice pour le péché; outre l'holocauste continuel, son oblation et sa libation.
Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
23 Et au quatrième jour, vous offrirez dix taureaux, deux béliers, quatorze agneaux d'un an, sans défaut,
Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
24 L'oblation et les libations pour les taureaux, pour les béliers et pour les agneaux, d'après leur nombre, selon les prescriptions;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
25 Et un bouc en sacrifice pour le péché; outre l'holocauste continuel, son oblation et sa libation.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
26 Et au cinquième jour, vous offrirez neuf taureaux, deux béliers, quatorze agneaux d'un an, sans défaut,
Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
27 Avec l'oblation et les libations pour les taureaux, pour les béliers et pour les agneaux, d'après leur nombre, selon les prescriptions;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
28 Et un bouc en sacrifice pour le péché; outre l'holocauste continuel, son oblation et sa libation.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
29 Et au sixième jour, vous offrirez huit taureaux, deux béliers, quatorze agneaux d'un an, sans défaut,
Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
30 Avec l'oblation et les libations pour les taureaux, pour les béliers et pour les agneaux, d'après leur nombre, selon les prescriptions;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
31 Et un bouc en sacrifice pour le péché; outre l'holocauste continuel, son oblation et sa libation.
Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
32 Et au septième jour, vous offrirez sept taureaux, deux béliers, quatorze agneaux sans défaut,
Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
33 Avec l'oblation et les libations, pour les taureaux, pour les béliers et pour les agneaux, d'après leur nombre, selon les prescriptions qui les concernent;
Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
34 Et un bouc en sacrifice pour le péché; outre l'holocauste continuel, son oblation et sa libation.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
35 Le huitième jour, vous aurez une assemblée solennelle; vous ne ferez aucune œuvre servile;
Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
36 Et vous offrirez en holocauste, en sacrifice fait par le feu, d'agréable odeur à l'Éternel, un taureau, un bélier, sept agneaux d'un an, sans défaut,
Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
37 Avec l'oblation et les libations pour le taureau, pour le bélier et pour les agneaux, d'après leur nombre, selon les prescriptions;
Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
38 Et un bouc en sacrifice pour le péché; outre l'holocauste continuel, son oblation et sa libation.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
39 Tels sont les sacrifices que vous offrirez à l'Éternel, dans vos solennités, outre vos vœux et vos offrandes volontaires, pour vos holocaustes, vos oblations, vos libations, et pour vos sacrifices de prospérités.
Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
40 Or Moïse dit aux enfants d'Israël tout ce que l'Éternel lui avait commandé.
Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.

< Nombres 29 >