< Néhémie 13 >
1 En ce temps-là, on lut le livre de Moïse en présence du peuple; et on y trouva écrit que les Ammonites et les Moabites ne devaient jamais entrer dans l'assemblée de Dieu;
Siku hiyo walisoma Kitabu cha Musa katika masikio ya watu. Ilionekana imeandikwa ndani yake kwamba hakuna Mwamoni au Mmoabu anapaswa kuja katika kusanyiko la Mungu, milele.
2 Parce qu'ils n'étaient point venus au-devant des enfants d'Israël avec du pain et de l'eau, mais qu'ils avaient soudoyé Balaam contre eux, pour les maudire; mais notre Dieu changea la malédiction en bénédiction.
Hii ilikuwa kwa sababu hawakuja kwa watu wa Israeli na mkate na maji, bali walikuwa wamemwajiri Balaamu kulaani Israeli. Hata hivyo, Mungu wetu aligeuza laana kuwa baraka.
3 Il arriva donc, dès qu'on eut entendu la loi, qu'on sépara d'Israël tout mélange.
Mara tu waliposikia sheria, waliwatenga Israeli toka kwa kila mgeni.
4 Or, avant cela, Éliashib, le sacrificateur, préposé sur les chambres de la maison de notre Dieu, parent de Tobija,
Sasa kabla ya hapo Eliashibu kuhani akawekwa juu ya vyumba vya nyumba ya Mungu wetu. Alikuwa na uhusiano na Tobia.
5 Lui avait préparé une grande chambre, là où l'on mettait auparavant les offrandes, l'encens, les ustensiles, et les dîmes du blé, du vin et de l'huile, qui étaient ordonnées pour les Lévites, pour les chantres et pour les portiers, avec ce qui se prélevait pour les sacrificateurs.
Eliashibu alimuandalia Tobia chumba kikubwa, ambako hapo awali waliweka sadaka ya nafaka, uvumba, makala, na sehemu ya kumi ya nafaka, divai, na mafuta, ambazo ziliwekwa kwa ajili ya Walawi, waimbaji, walinzi wa mlango, na michango kwa makuhani.
6 Or, je n'étais point à Jérusalem pendant tout cela; car, la trente-deuxième année d'Artaxerxès, roi de Babylone, j'étais retourné auprès du roi; et au bout de quelque temps je demandai un congé au roi.
Lakini wakati huu wote sikuwepo Yerusalemu. Kwa mwaka wa thelathini na mbili wa Artashasta mfalme wa Babeli, nilikwenda kwa mfalme. Baada ya muda nikamwomba mfalme ruhusa ya kuondoka,
7 Je revins donc à Jérusalem; et alors j'eus connaissance du mal qu'Éliashib avait fait en faveur de Tobija, lui préparant une chambre dans le parvis de la maison de Dieu.
na nikarudi Yerusalemu. Nikafahamu mabaya ambayo Eliashibu alikuwa amefanya kwa kumpa Tobia chumba cha kuhifadhi katika mahakama ya nyumba ya Mungu.
8 Ce qui me déplut fort, et je jetai tous les meubles de la maison de Tobija hors de la chambre.
Nilikuwa na hasira sana na nikatupa vitabu vya nyumba ya Tobia nje ya chumba cha kuhifadhi.
9 Et par mon ordre, on purifia les chambres; et j'y fis rapporter les ustensiles de la maison de Dieu, les offrandes et l'encens.
Niliamuru kwamba watakase vituo vya kuhifadhi, nami nikarudisha ndani yao makala ya nyumba ya Mungu, sadaka ya nafaka, na uvumba.
10 J'appris aussi que les portions des Lévites ne leur avaient point été données, et que les Lévites et les chantres, qui faisaient le service, s'étaient enfuis, chacun vers son champ.
Niligundua kwamba sehemu zilizotolewa kwa ajili ya kuwapa Walawi hazikutolewa kwao, ili waweze kuondoka haraka hekaluni, kila mmoja kwenda shambani kwake, kama waimbaji waliofanya walivyoondoka.
11 Et je censurai les magistrats, et je dis: Pourquoi la maison de Dieu est-elle abandonnée? Je rassemblai donc les Lévites et les chantres, et les rétablis dans leurs fonctions.
Kwa hiyo nikawasiliana na maafisa na kusema, 'Kwa nini nyumba ya Mungu imeachwa?' Niliwakusanya pamoja na kuwaweka kwenye nafasi zao.
12 Alors tous ceux de Juda apportèrent les dîmes du blé, du vin et de l'huile, dans les magasins.
Kisha Yuda wote wakaleta zaka ya nafaka, divai mpya, na mafuta kwenye vituo vya kuhifadhi.
13 Et j'établis chefs des magasins Shélémia, le sacrificateur, Tsadok, le scribe, et Pédaja l'un des Lévites; et pour les assister, Hanan, fils de Zaccur, fils de Matthania, parce qu'ils passaient pour intègres; et leur charge était de faire les répartitions à leurs frères.
Nikawaweka kama watunza hazina juu ya hazina, Shelemia kuhani, na Sadoki mwandishi, na Walawi, Pedaya. Hanani, mwana wa Zakuri, mwana wa Matania, alikuwa na wafuasi wao, kwa sababu walihesabiwa kuwa waaminifu. Kazi yao ilikuwa kusambaza vifaa kwa washirika wao.
14 Mon Dieu! souviens-toi de moi à cause de cela; et n'efface point ce que j'ai fait, avec une sincère affection, à l'égard de la maison de mon Dieu et des choses qu'il y faut observer!
Nikumbuke, Ee Mungu wangu, juu ya hili, wala usiondoe matendo mema niliyoyatenda kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na huduma zake.
15 En ces jours-là, je vis en Juda des gens qui foulaient au pressoir le jour du sabbat; et d'autres qui apportaient des gerbes, et qui les chargeaient sur des ânes, ainsi que du vin, des raisins, des figues et toutes sortes de fardeaux, et les apportaient à Jérusalem le jour du sabbat. Je leur fis des remontrances, le jour où ils vendaient leurs denrées.
Siku hizo nikaona watu wa Yuda waliokanyaga mvinyo siku ya Sabato, na kuleta makundi ya nafaka, na kuwapakia punda, na divai, na zabibu, na tini, na kila aina ya mizigo nzito, waliyoleta Yerusalemu siku ya Sabato. Nikashuhudia kuwa walikuwa wakiuza chakula siku hiyo.
16 Et dans la ville il y avait des Tyriens qui apportaient du poisson et toutes sortes de marchandises; et ils les vendaient aux enfants de Juda à Jérusalem, le jour du sabbat.
Watu kutoka Tiro waliokaa Yerusalemu walileta samaki na kila aina ya bidhaa, na wakawauza siku ya Sabato kwa watu wa Yuda na katika mji!
17 Je censurai donc les principaux de Juda, et leur dis: Quel mal faites-vous, de profaner ainsi le jour du sabbat
Kisha nikawaambia viongozi wa Yuda, “Je! ni ubaya gani huu mnafanya, kuinajisi siku ya Sabato?
18 Vos pères n'ont-ils pas fait de même, et n'est-ce pas pour cela que notre Dieu fit venir tout ce mal sur nous et sur cette ville? Et vous augmentez l'ardeur de la colère de l'Éternel contre Israël, en profanant le sabbat.
Je! Baba zenu hawakufanya hivyo? Je, Mungu wetu hakuleta mabaya haya juu yetu na juu ya mji huu? Sasa unaleta ghadhabu zaidi juu ya Israeli kwa kudharau Sabato.”
19 C'est pourquoi, dès que le soleil s'était retiré des portes de Jérusalem, avant le sabbat, par mon commandement, on fermait les portes; je commandai aussi qu'on ne les ouvrît point jusqu'après le sabbat; et je fis tenir quelques-uns de mes gens aux portes, afin qu'il n'entrât aucune charge le jour du sabbat.
Mara ilipokuwa giza kwenye milango ya Yerusalemu kabla ya Sabato, niliamuru milango ifungwe na kwamba haifai kufunguliwa hadi baada ya Sabato. Niliwaweka baadhi ya watumishi wangu kwenye malango ili mzigo wowote usiweze kuletwa siku ya Sabato.
20 Et les marchands, et ceux qui vendaient toutes sortes de marchandises, passèrent la nuit une fois ou deux, hors de Jérusalem.
Wafanyabiashara na wauzaji wa kila aina ya bidhaa walikimbia nje ya Yerusalemu mara moja au mbili.
21 Je leur fis des remontrances, et leur dis: Pourquoi passez-vous la nuit devant la muraille? Si vous y retournez, je mettrai la main sur vous. Depuis ce temps-là, ils ne vinrent plus le jour du sabbat.
Lakini niliwaonya, “Mbona mnakaa nje ya ukuta? Ikiwa mtafanya hivyo tena, nitakuweka mikononi!” Kutoka wakati huo hawakuja siku ya sabato.
22 Je dis aussi aux Lévites de se purifier et de venir garder les portes, pour sanctifier le jour du sabbat. O mon Dieu, souviens-toi de moi à cet égard, et me pardonne selon la grandeur de ta miséricorde!
Nikawaamuru Walawi kujitakasa, na kuja kulinda milango, ili kutakasa siku ya Sabato. Nikumbuke kwa hili pia, Mungu wangu, na kunipatia huruma kwa sababu ya uaminifu wa agano ulilonalo kwangu.
23 En ces jours-là aussi je vis des Juifs qui avaient pris des femmes asdodiennes, ammonites et moabites.
Katika siku hizo niliona Wayahudi waliokuwa wameoa wanawake wa Ashdodi, Amoni na Moabu.
24 Quant à leurs enfants, la moitié parlait l'asdodien et ne savait point parler la langue des Juifs, mais bien la langue de tel ou tel peuple.
Nusu ya watoto wao walizungumza lugha ya Ashdodi, lakini hawakuweza kuzungumza lugha ya Yuda, lakini lugha ya mmoja wa watu wengine.
25 Je les réprimandai et je les maudis; j'en frappai plusieurs, je leur arrachai les cheveux, et je les fis jurer par le nom de Dieu, en disant: Vous ne donnerez point vos filles à leurs fils, et vous ne prendrez point de leurs filles pour vos fils, ni pour vous.
Nami nikawasiliana nao, na mimi niliwaadhibu, na nikawapiga baadhi yao na kuvuta nywele zao. Naliwaapisha kwa Mungu, nikisema, Msiwape wana wao binti zenu, wala msiwachukue binti zao kwa ajili ya wana wenu, wala ninyi wenyewe.
26 N'est-ce pas en cela que pécha Salomon, roi d'Israël? Parmi la multitude des nations il n'y avait point de roi comme lui; il était aimé de son Dieu, et Dieu l'avait fait roi de tout Israël; toutefois les femmes étrangères le firent pécher.
Je, Sulemani mfalme wa Israeli hakufanya dhambi kwa sababu ya wanawake hawa? Miongoni mwa mataifa mengi hapakuwa na mfalme kama yeye, na alipendwa na Mungu wake. Mungu akamfanya awe mfalme juu ya Israeli wote. Hata hivyo, wake zake wa kigeni walimfanya atende dhambi.
27 Et vous permettrions-nous de faire tout ce grand mal, de commettre ce crime contre notre Dieu, de prendre des femmes étrangères?
Je, tunapaswa kukusikiliza na kufanya uovu huu hata kumhalifu Mungu wetu na kuwaoa wanawake wageni?
28 Or, l'un des fils de Jojada, fils d'Éliashib, le grand sacrificateur, était gendre de Samballat, le Horonite; je le chassai d'auprès de moi.
Mmoja wa wana wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe na Sanbalati Mhoroni. Kwa hiyo nilimondoa kutoka mbele yangu.
29 Mon Dieu! qu'il te souvienne d'eux; car ils ont souillé la sacrificature, l'alliance de la sacrificature et des Lévites.
Wakukumbushe, Mungu wangu, kwa sababu wameunajisi ukuhani, na agano la ukuhani na Walawi.
30 Ainsi je les purifiai de tout ce qui était étranger, et je rétablis les sacrificateurs et les Lévites dans leurs charges, chacun selon son office,
Kwa hiyo nimewatakasa kutoka kila kitu kigeni, na kuimarisha kazi za makuhani na Walawi, kila mmoja kwa kazi yake mwenyewe.
31 Et les prestations en bois aux époques fixées, et celles des prémices. Mon Dieu! souviens-toi de moi pour me faire du bien!
Nilitoa sadaka za kuni wakati uliowekwa na matunda ya kwanza. Nikumbuke, Mungu wangu, kwa mema.