< Nahum 1 >
1 Prophétie contre Ninive. Livre de la vision de Nahum, d'Elkosh.
Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
2 L'Éternel est un Dieu jaloux et vengeur; l'Éternel est vengeur, et il a la fureur à son commandement; l'Éternel se venge de ses adversaires, et il garde sa colère à ses ennemis.
Bwana ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi; Bwana hulipiza kisasi na amejaa ghadhabu. Bwana hulipiza kisasi juu ya watesi wake, naye anadumisha ghadhabu yake dhidi ya adui zake.
3 L'Éternel est lent à la colère et grand en force, mais il ne tient pas le coupable pour innocent. L'Éternel marche dans le tourbillon et la tempête; les nuées sont la poussière de ses pieds.
Bwana si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu, Bwana hataacha kuadhibu wenye hatia. Njia yake ipo katika kisulisuli na tufani, na mawingu ni vumbi la miguu yake.
4 Il tance la mer, et il la dessèche; il fait tarir tous les fleuves; le Bassan et le Carmel languissent, et la fleur du Liban se flétrit.
Anakemea bahari na kuikausha, anafanya mito yote kukauka. Bashani na Karmeli zinanyauka na maua ya Lebanoni hukauka.
5 Les montagnes tremblent devant lui, et les collines se fondent; la terre se soulève devant sa face, le monde et tous ses habitants.
Milima hutikisika mbele yake na vilima huyeyuka. Nchi hutetemeka mbele yake, dunia na wote waishio ndani yake.
6 Qui subsistera devant son indignation? Et qui restera debout dans l'ardeur de sa colère? Sa fureur se répand comme un feu, et les rochers se brisent devant lui.
Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu? Nani awezaye kuvumilia hasira yake kali? Ghadhabu yake imemiminwa kama moto, na miamba inapasuka mbele zake.
7 L'Éternel est bon; il est une forteresse au jour de la détresse, et il connaît ceux qui se confient en lui.
Bwana ni Mwema, kimbilio wakati wa taabu. Huwatunza wale wanaomtegemea,
8 Mais, par un flot débordant, il fera du lieu de cette ville une entière destruction, et il poursuivra ses ennemis dans les ténèbres.
lakini kwa mafuriko makubwa, ataangamiza Ninawi; atafuatilia adui zake hadi gizani.
9 Que méditez-vous contre l'Éternel? C'est lui qui détruit; la détresse ne s'élèvera pas deux fois.
Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana yeye atalikomesha; taabu haitatokea mara ya pili.
10 Car, fussent-ils entrelacés comme des épines et comme ivres de leur vin, ils seront consumés comme de la paille sèche, entièrement.
Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu.
11 De toi, Ninive, est sorti celui qui méditait du mal contre l'Éternel, et qui formait de méchants desseins.
Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja, ambaye anapanga shauri baya dhidi ya Bwana na kushauri uovu.
12 Ainsi a dit l'Éternel: Quoiqu'ils soient intacts et en grand nombre, cependant ils seront fauchés et disparaîtront. Et si je t'ai humilié, Juda, je ne t'humilierai plus.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Ingawa wana muungano nao ni wengi sana, watakatiliwa mbali na kuangamia. Ingawa nimekutesa wewe, ee Yuda, sitakutesa tena.
13 Mais maintenant je briserai son joug de dessus toi, et je romprai tes liens.
Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako, nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”
14 Quant à toi, Assyrien, voici ce qu'ordonne l'Éternel: il n'y aura plus de postérité de ton nom; je retrancherai de la maison de ton dieu les images taillées et celles de fonte; je préparerai ta sépulture, car tu es devenu léger.
Hii ndiyo amri Bwana aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi: “Hutakuwa na wazao watakaoendeleza jina lako. Nitaharibu sanamu za kuchonga na sanamu za kuyeyusha ambazo zipo katika hekalu la miungu yenu. Nitaandaa kaburi lako, kwa maana wewe ni mwovu kabisa.”
15 Voici sur les montagnes les pieds de celui qui apporte de bonnes nouvelles et qui publie la paix! Célèbre tes fêtes, ô Juda! accomplis tes vœux! Car le méchant ne passera plus au milieu de toi; il est entièrement retranché!
Tazama, huko juu milimani, miguu ya huyo mmoja aletaye habari njema, ambaye anatangaza amani! Ee Yuda, sherehekea sikukuu zako, nawe utimize nadhiri zako. Waovu hawatakuvamia tena; wataangamizwa kabisa.