< Lévitique 10 >
1 Or les fils d'Aaron, Nadab et Abihu, prirent chacun leur encensoir, y mirent du feu, posèrent du parfum dessus, et offrirent devant l'Éternel un feu étranger; ce qu'il ne leur avait point commandé.
Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
2 Et un feu sortit de devant l'Éternel, et les dévora, et ils moururent devant l'Éternel.
Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
3 Alors Moïse dit à Aaron: C'est ce dont l'Éternel a parlé, en disant: Je serai sanctifié par ceux qui s'approchent de moi, et je serai glorifié en présence de tout le peuple. Et Aaron se tut.
Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
4 Et Moïse appela Mishaël et Eltsaphan, fils d'Uziel, oncle d'Aaron, et leur dit: Approchez-vous, emportez vos frères de devant le sanctuaire, hors du camp.
Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
5 Ils s'approchèrent donc, et les emportèrent dans leurs tuniques hors du camp, comme Moïse l'avait dit.
Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
6 Puis Moïse dit à Aaron, et à Éléazar et à Ithamar, ses fils: Ne découvrez point vos têtes, et ne déchirez point vos vêtements, de peur que vous ne mouriez, et que l'Éternel ne se courrouce contre toute l'assemblée; mais que vos frères, toute la maison d'Israël, pleurent à cause de l'embrasement que l'Éternel a allumé.
Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
7 Et ne sortez pas de l'entrée du tabernacle d'assignation, de peur que vous ne mouriez; car l'huile de l'onction de l'Éternel est sur vous. Et ils firent selon la parole de Moïse.
Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
8 Puis l'Éternel parla à Aaron, en disant:
Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
9 Tu ne boiras ni vin ni boisson enivrante, toi et tes fils avec toi, quand vous entrerez dans le tabernacle d'assignation, de peur que vous ne mouriez; c'est une ordonnance perpétuelle dans vos générations,
“Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
10 Afin que vous puissiez discerner entre ce qui est saint et ce qui est profane, entre ce qui est souillé et ce qui est pur,
ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
11 Et enseigner aux enfants d'Israël toutes les ordonnances que l'Éternel leur a prescrites par Moïse.
ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
12 Et Moïse dit à Aaron, et à Éléazar et à Ithamar, les fils qui lui restaient: Prenez le reste de l'offrande des sacrifices faits par le feu à l'Éternel, et mangez-le sans levain près de l'autel; car c'est une chose très sainte.
Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
13 Vous le mangerez dans un lieu saint, car c'est ton droit et le droit de tes fils, sur les sacrifices faits par le feu à l'Éternel; car cela m'a été ainsi commandé.
lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
14 Quant à la poitrine offerte par agitation et à la jambe présentée par élévation, vous les mangerez dans un lieu pur, toi, tes fils, et tes filles avec toi; car elles vous sont données comme ton droit et le droit de tes fils, dans les sacrifices de prospérités des enfants d'Israël.
Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
15 On apportera avec les sacrifices des graisses faits par le feu, la jambe présentée par élévation et la poitrine offerte par agitation, pour les agiter en offrande devant l'Éternel; et cela t'appartiendra, et à tes fils avec toi, par une loi perpétuelle, comme l'Éternel l'a commandé.
Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
16 Or Moïse cherchait le bouc du sacrifice pour le péché; et voici, il avait été brûlé. Alors il se courrouça contre Éléazar et Ithamar, les fils qui restaient à Aaron, et leur dit:
Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
17 Pourquoi n'avez-vous pas mangé le sacrifice pour le péché dans le lieu saint? car c'est une chose très sainte, et l'Éternel vous l'a donné pour porter l'iniquité de l'assemblée, pour faire l'expiation pour elle devant l'Éternel.
“Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
18 Voici, son sang n'a point été porté dans l'intérieur du sanctuaire; vous deviez manger le sacrifice dans le sanctuaire, comme je l'ai commandé.
Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
19 Mais Aaron dit à Moïse: Voici, ils ont offert aujourd'hui leur sacrifice pour le péché, et leur holocauste devant l' Éternel; et après ce qui m'est arrivé, si j'eusse mangé aujourd'hui le sacrifice pour le péché, cela eût-il plu à l'Éternel
Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
20 Et Moïse, l'ayant entendu, approuva.
Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.