< Juges 3 >
1 Ce sont ici les nations que l'Éternel laissa pour éprouver par elles Israël, savoir, tous ceux qui n'avaient pas connu les guerres de Canaan;
Sasa Bwana aliyaacha mataifa haya yaijaribu Israeli, yaani kila mtu katika Israeli ambaye hakushiriki vita yoyote huko Kanaani.
2 Afin que les générations des enfants d'Israël sussent et apprissent ce que c'est que la guerre; au moins ceux qui n'en avaient rien connu auparavant.
(Alifanya hivyo ili kuwafundisha vita kizazi kipya cha Waisraeli ambao hawakujua kabla).
3 Ces nations étaient: les cinq princes des Philistins, et tous les Cananéens, les Sidoniens et les Héviens, qui habitaient dans la montagne du Liban, depuis la montagne de Baal-Hermon, jusqu'à l'entrée de Hamath.
Haya ndio mataifa: wafalme watano kutoka kwa Wafilisti, Wakanaani wote, Wasidoni, na Wahivi waliokaa milima ya Lebanoni, kutoka Mlima Baali Hermoni hadi Hamathi.
4 Ces nations servirent à éprouver Israël, pour voir s'ils obéiraient aux commandements que l'Éternel avait prescrits à leurs pères par Moïse.
Mataifa haya yaliachwa kama njia ambayo Bwana angeijaribu Israeli, kuthibitisha kama watazitii amri alizowapa babu zao kupitia Musa.
5 Ainsi les enfants d'Israël habitèrent parmi les Cananéens, les Héthiens, les Amoréens, les Phéréziens, les Héviens, et les Jébusiens;
Basi wana wa Israeli wakakaa kati ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Waperizi, na Wahivi, na Wayebusi.
6 Et ils prirent leurs filles pour femmes, et ils donnèrent leurs propres filles à leurs fils, et servirent leurs dieux.
Waliwachukua binti zao kuwa wake zao, nao wakawapa wana wao binti zao, nao wakaitumikia miungu yao.
7 Les enfants d'Israël firent ce qui est mauvais devant l'Éternel; ils oublièrent l'Éternel, leur Dieu, et ils rendirent un culte aux Baalim et aux images d'Ashéra.
Wana wa Israeli walifanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wakamsahau Bwana, Mungu wao. Waliabudu Baali na Asherah.
8 C'est pourquoi la colère de l'Éternel s'embrasa contre Israël, et il les livra entre les mains de Cushan-Rishathaïm, roi de Mésopotamie. Et les enfants d'Israël furent asservis huit ans à Cushan-Rishathaïm.
Basi, hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawauza mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Aram Naharaimu. Watu wa Israeli walitumikia Kushan Rishathaimu kwa miaka nane.
9 Puis les enfants d'Israël crièrent à l'Éternel, et l'Éternel leur suscita un libérateur qui les délivra, Othniel, fils de Kénaz, frère puîné de Caleb.
Watu wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamuinua mtu atakayewasaidia wana wa Israeli, na mtu atakayewaokoa: Othnieli mwana wa Kenazi (ndugu mdogo wa Kalebu).
10 L'Esprit de l'Éternel fut sur lui, et il jugea Israël, et il sortit en bataille. L'Éternel livra entre ses mains Cushan-Rishathaïm, roi d'Aram, et sa main fut puissante contre Cushan-Rishathaïm.
Roho wa Bwana akamtia nguvu, naye akahukumu Israeli na akatoka kwenda vitani. Bwana akampa kuishinda Kush-rishataimu mfalme wa Aramu. Mkono wa Othnieli alishinda Kushan Rishathaimu.
11 Et le pays fut en repos quarante ans. Et Othniel, fils de Kénaz, mourut.
Nchi ilikuwa na amani kwa miaka arobaini. Ndipo Otinieli mwana wa Kenazi akafa.
12 Puis les enfants d'Israël firent encore ce qui est mauvais devant l'Éternel; et l'Éternel fortifia Églon, roi de Moab, contre Israël, parce qu'ils avaient fait ce qui est mauvais devant l'Éternel.
Baada ya hayo, Waisraeli wakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana; Bwana akampa Egloni mfalme wa Moabu nguvu, kuwashinda Waisraeli.
13 Églon assembla donc vers lui les Ammonites et les Amalécites; et il alla et battit Israël; et ils s'emparèrent de la ville des Palmiers.
Eglon alijiunga na wana wa Amoni na Waamaleki wakaenda na kuwashinda Israeli, na walichukua mji wa Mitende.
14 Et les enfants d'Israël furent asservis dix-huit ans à Églon, roi de Moab.
Watu wa Israeli walimtumikia Eglon mfalme wa Moabu kwa miaka kumi na nane.
15 Puis les enfants d'Israël crièrent à l'Éternel, et l'Éternel leur suscita un libérateur, Éhud, fils de Guéra, Benjamite, qui était empêché de la main droite. Et les enfants d'Israël envoyèrent par lui un présent à Églon, roi de Moab.
Wana wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamwinua mtu aliyewasaidia, Ehudi mwana wa Gera, Mbenjamini, mtu shoto. Wana wa Israeli wakamtuma kwa Egloni, mfalme wa Moabu, kwa malipo yao ya kodi.
16 Or, Éhud s'était fait une épée à deux tranchants, longue d'une coudée, et il la ceignit sous ses vêtements au côté droit.
Ehudi akajifanyia upanga uliokuwa na makali kuwili, urefu wa dhiraa moja; aliufunga chini ya nguo zake juu ya mguu wake wa kulia.
17 Et il offrit le présent à Églon, roi de Moab; or Églon était un homme très gras.
Akampa Egloni Mfalme wa Moabu malipo ya kodi. (Egloni alikuwa mtu mnene sana.)
18 Et lorsqu'il eut achevé d'offrir le présent, il renvoya les gens qui avaient apporté le présent.
Baada ya Ehudi kulipa malipo ya kodi, aliondoka na wale waliokuwa wameibeba.
19 Puis, il revint depuis les carrières près de Guilgal, et il dit: O roi! j'ai quelque chose de secret à te dire. Et il lui répondit: Silence! Et tous ceux qui étaient auprès de lui sortirent.
Hata hivyo Ehudi mwenyewe, alipofikia mahali ambapo sanamu za kuchonga zilitengenezwa karibu na Gilgali, akageuka na kurudi, akasema, 'Nina ujumbe wa siri kwako, mfalme wangu.' Eglon akasema, 'Nyamazeni kimya!' Kwa hiyo wote waliomtumikia wakatoka kwenye chumba.
20 Alors Éhud vint à lui (or, il était assis, seul dans la salle d'été); et il dit: J'ai une parole de Dieu pour toi. Alors Églon se leva du trône;
Ehudi akaja kwake. Mfalme alikuwa amekaa peke yake, peke yake katika chumba cha juu cha baridi. Ehudi akasema, 'Nina ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili yeko.' Mfalme akasimama kutoka katika kiti chake.
21 Et Éhud, avançant la main gauche, tira l'épée de son côté droit, et la lui enfonça dans le ventre;
Ehudi akanyoosha mkono wake wa kushoto na akachukua upanga kutoka mguu wake wa kulia, na akautia ndani ya mwili wa mfalme.
22 Et la poignée même entra après la lame, et la graisse se referma autour de la lame; car il ne retira pas du ventre l'épée, qui sortit par-derrière.
Na kipini cha upanga kikaingia ndani yake baada ya upanga, nao ukatokea nyuma yake, na mafuta yakashikamana juu ya upanga, kwa kuwa Ehudi hakuutoa upanga nje ya mwili wake.
23 Après cela, Éhud sortit par le portique, ferma sur lui les portes de la chambre haute et poussa le verrou.
Kisha Ehudi akatoka kwenye ukumbi na akafunga milango ya chumba cha juu nyuma yake na akawafungia.
24 Quand il fut sorti, les serviteurs vinrent et regardèrent, et voici, les portes de la chambre haute étaient fermées au verrou; et ils dirent: Sans doute il est à ses affaires dans sa chambre d'été.
Baada ya Ehudi kuondoka, watumishi wa mfalme wakaja; wakaona milango ya chumba cha juu imefungwa, kwa hiyo wakafikiri, 'Hakika atakuwa anajitoa mwenyewe katika hali ya baridi ya chumba cha juu.'
25 Et ils attendirent tant qu'ils en furent honteux; et comme il n'ouvrait point les portes de la chambre, ils prirent la clef et ouvrirent; et voici, leur seigneur était mort, étendu par terre.
Walizidi kuwa na wasiwasi hata walipoanza kuhisi kuwa walikuwa wakipuuza wajibu wao wakati mfalme bado hakufungua milango ya chumba cha juu. Kwa hiyo walichukua ufunguo wakawafungua, tazama bwana wao, ameanguka chini, amekufa.
26 Mais Éhud échappa pendant qu'ils hésitaient; et il dépassa les carrières et se sauva à Séira.
Wakati watumishi wakisubiri, wakijiuliza nini wanapaswa kufanya, Ehudi alikimbia na kupita mahali ambako kulikuwa na sanamu za kuchonga, na hivyo akakimbia kwenda Seira.
27 Dès qu'il fut arrivé, il sonna de la trompette dans la montagne d'Éphraïm, et les enfants d'Israël descendirent avec lui de la montagne; et il se mit à leur tête.
Alipofika, alipiga tarumbeta katika nchi ya mlima wa Efraimu. Kisha wana wa Israeli wakashuka pamoja naye kutoka milimani, naye akawaongoza.
28 Et il leur dit: Suivez-moi, car l'Éternel a livré entre vos mains les Moabites vos ennemis. Ils descendirent ainsi après lui; et, s'emparant des gués du Jourdain vis-à-vis de Moab, ils ne laissèrent passer personne.
Akawaambia, Nifuate, kwa kuwa Bwana atawashinda adui zenu, Wamoabu. Wakamfuata, wakakamata vivuko vya Bonde la Yordani, toka kwa Wamoabi, wala hawakuruhusu mtu yeyote kuvuka mto.
29 Ils battirent donc en ce temps-là environ dix mille hommes de Moab, tous robustes, tous vaillants, et pas un n'échappa.
Wakati huo waliwaua watu elfu kumi wa Moabu, na wote walikuwa watu wenye nguvu na wenye uwezo. Hakuna aliyekimbia.
30 En ce jour-là Moab fut humilié sous la main d'Israël. Et le pays eut du repos pendant quatre-vingts ans.
Kwa hiyo siku hiyo Moabu ilishindwa na nguvu ya Israeli. Na nchi ilikuwa na amani kwa miaka thelathini.
31 Et après Éhud, il y eut Shamgar, fils d'Anath. Il défit six cents Philistins avec un aiguillon à bœufs, et lui aussi délivra Israël.
Baada ya Ehudi, mwamuzi aliyefuata alikuwa Shamgari mwana wa Anathi ambaye aliwaua Wafilisti 600 kwa konzo la ng'ombe. Pia aliwaokoa Israeli kutoka kwenye hatari.