< Job 9 >
1 Et Job prit la parole, et dit:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Certainement, je sais qu'il en est ainsi; et comment l'homme serait-il juste devant Dieu?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 S'il veut plaider avec lui, il ne lui répondra pas une fois sur mille.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 Il est habile en son intelligence, et puissant en sa force: qui lui a résisté et s'en est bien trouvé?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 Il transporte les montagnes, et elles ne le savent pas; il les bouleverse en sa fureur;
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 Il fait trembler la terre sur sa base, et ses colonnes sont ébranlées.
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 Il parle au soleil, et le soleil ne se lève pas; et il met un sceau sur les étoiles.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 Seul, il étend les cieux, et il marche sur les hauteurs de la mer.
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 Il a créé la grande Ourse, l'Orion, et la Pléiade, et les régions cachées du midi.
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 Il fait de grandes choses qu'on ne peut sonder, de merveilleuses choses qu'on ne peut compter.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 Voici, il passe près de moi, et je ne le vois pas; il passe encore, et je ne l'aperçois pas.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 S'il ravit, qui le lui fera rendre? Qui lui dira: Que fais-tu?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 Dieu ne revient pas sur sa colère; sous lui sont abattus les plus puissants rebelles.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 Combien moins lui pourrais-je répondre, moi, et choisir mes paroles pour lui parler!
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 Quand j'aurais raison, je ne lui répondrais pas; je demanderais grâce à mon juge!
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 Si je le citais, et qu'il me répondît, je ne croirais pas qu'il voulût écouter ma voix,
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 Lui qui fond sur moi dans une tempête, et qui multiplie mes plaies sans motif.
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 Il ne me permet point de reprendre haleine; il me rassasie d'amertume.
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 S'il est question de force, il dit: “Me voilà! “S'il est question de droit: “Qui m'assigne? “
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 Quand même je serais juste, ma bouche me condamnerait; je serais innocent, qu'elle me déclarerait coupable.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 Je suis innocent. Je ne me soucie pas de vivre, je ne fais aucun cas de ma vie.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 Tout se vaut! C'est pourquoi j'ai dit: Il détruit l'innocent comme l'impie.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 Quand un fléau soudain répand la mort, il se rit des épreuves des innocents.
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 La terre est livrée aux mains des méchants; il couvre les yeux de ceux qui la jugent. Si ce n'est lui, qui est-ce donc
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Mes jours ont été plus légers qu'un courrier; ils se sont enfuis, sans voir le bonheur;
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 Ils ont glissé comme des barques de roseaux, comme l'aigle qui fond sur sa proie.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Si je dis: Je veux oublier ma plainte, quitter mon air triste, et reprendre ma sérénité,
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 Je suis effrayé de toutes mes douleurs: je sais que tu ne me jugeras pas innocent.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Moi, je suis condamné, pourquoi me fatiguer en vain?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 Quand je me laverais dans la neige, quand je purifierais mes mains dans la potasse,
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 Tu me plongerais dans le fossé, et mes vêtements m'auraient en horreur.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Car il n'est pas un homme comme moi pour que je lui réponde, pour que nous allions ensemble en justice.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 Il n'y a pas d'arbitre entre nous, qui pose sa main sur nous deux.
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Qu'il ôte sa verge de dessus moi, et que ses terreurs ne me troublent plus!
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Alors je lui parlerai sans crainte; car, dans l'état où je me trouve, je ne suis plus à moi.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.