< Job 11 >

1 Alors Tsophar, de Naama, prit la parole, et dit:
Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
2 Ne répondra-t-on point à tant de discours, et suffira-t-il d'être un grand parleur pour être justifié?
“Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
3 Tes vains propos feront-ils taire les gens? Te moqueras-tu, sans que personne te confonde?
Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
4 Tu as dit: Ma doctrine est pure, je suis sans tache devant tes yeux.
Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
5 Mais je voudrais que Dieu parlât, et qu'il ouvrît sa bouche pour te répondre;
Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
6 Qu'il te montrât les secrets de sa sagesse, de son immense sagesse; et tu reconnaîtrais que Dieu oublie une partie de ton iniquité.
hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
7 Trouveras-tu le fond de Dieu? Trouveras-tu la limite du Tout-Puissant?
Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
8 Ce sont les hauteurs des cieux: qu'y feras-tu? C'est plus profond que les enfers: qu'y connaîtras-tu? (Sheol h7585)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
9 Son étendue est plus longue que la terre, et plus large que la mer.
Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
10 S'il saisit, s'il emprisonne, s'il assemble le tribunal, qui l'en empêchera?
kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
11 Car il connaît, lui, les hommes de rien; il voit l'iniquité, sans qu'elle s'en doute;
Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
12 Mais l'homme vide de sens de-viendra intelligent, quand l'ânon sauvage naîtra comme un homme!
Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
13 Si tu disposes bien ton cœur, et si tu étends tes mains vers Dieu,
Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
14 (Si l'iniquité est en tes mains, éloigne-la, et que le crime n'habite point dans tes tentes! )
ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
15 Alors certainement tu lèveras ton front sans tache; tu seras raffermi et tu ne craindras rien;
Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
16 Tu oublieras tes peines, tu t'en souviendras comme des eaux écoulées.
Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
17 La vie se lèvera pour toi plus brillante que le midi, et l'obscurité même sera comme le matin.
Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
18 Tu seras plein de confiance, parce que tu auras lieu d'espérer; tu exploreras autour de toi, et tu te coucheras en sécurité;
Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
19 Tu t'étendras à ton aise, et nul ne t'effraiera; et bien des gens te feront la cour.
Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
20 Mais les yeux des méchants seront consumés; tout refuge leur sera ôté, et toute leur espérance sera de rendre l'âme.
Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.

< Job 11 >