< Jérémie 41 >

1 Or, au septième mois, Ismaël, fils de Néthania, fils d'Élishama, de la race royale et l'un des grands du roi, et dix hommes avec lui, vinrent vers Guédalia, fils d'Achikam, à Mitspa; et ils mangèrent ensemble à Mitspa.
Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmael mwana wa Nethania mwana wa Elishama, toka familia ya kifalme, na maafisa baadhi wa mfalme, walikuja - wanaume kumi walikuwa pamoja naye - kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpa. Walikula chakula pamoja hukp Mizpa.
2 Et Ismaël, fils de Néthania, se leva, ainsi que les dix hommes qui étaient avec lui, et ils frappèrent de l'épée Guédalia, fils d'Achikam, fils de Shaphan. Il fit ainsi mourir celui que le roi de Babylone avait établi sur le pays.
Lakini Ishmael mwana wa Nethania, na wanaume kumi ambao walikuwa pamoja naye waliinuka na kumvamia Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, kwa upanga. Ishmael alimuua Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alimweka kuwa msimamizi wa nchi.
3 Ismaël tua aussi tous les Juifs qui étaient avec Guédalia, à Mitspa, et les Caldéens, gens de guerre, qui se trouvaient là.
Kisha Ishmael aliwauwa Wayahudi wote ambao walikuwa pamoja na Gedalia huko Mizpa na Wakaldayo wanaume wa kupigana kukutwa huko.
4 Or il arriva, le jour après qu'on eut fait mourir Guédalia, avant que personne le sût,
Kisha ilikuwa siku ya pili baada ya kumuua Gedila, lakini hakuna moja aliyejua.
5 Que des hommes vinrent de Sichem, de Silo et de Samarie, au nombre de quatre-vingts, la barbe rasée et les vêtements déchirés, se faisant des incisions et tenant dans leurs mains des offrandes et de l'encens, pour les porter à la maison de l'Éternel.
Wanaume baadhi walikuja toka Shechem, toka Shiloh, na toka Samaria-wanaume semanini ambayo walikuwa wamenyoa ndevu zao, walirarua nguo zao, na kujikata wenyewe- pamoja na chakula cha sadaka na ubani katika mikono yao kwenda kwa nyumba ya Yahwe.
6 Alors Ismaël, fils de Néthania, sortit de Mitspa au-devant d'eux. Il marchait en pleurant; et quand il les eut rencontrés, il leur dit: Venez vers Guédalia, fils d'Achikam.
Basi Ishmael mwana wa Nethania alienda toka Mizpa kukutana nao kama walivyoenda, wakitembea na kulia. Kisha ilitokea kwamba kama alivyokutana nao, alisema nao, “Njoo kwa Gedalia mwana wa Ahikam!”
7 Et comme ils arrivaient au milieu de la ville, Ismaël, fils de Néthania, avec les hommes qui l'accompagnaient, les égorgea, et les jeta dans la citerne.
Ilikuja kuwa kwamba wakati walipokuja katika mji, Ishmaeil mwana wa Nethania aliwauwa na kuwatupa kwenye shimo, yeye na wanaume ambao walikuwa pamoja naye.
8 Mais il se trouva parmi eux dix hommes qui dirent à Ismaël: Ne nous fais pas mourir; car nous avons dans les champs des provisions cachées de froment, d'orge, d'huile et de miel. Et il s'arrêta et ne les fit pas mourir avec leurs frères.
Lakini palikuwa na wanaume kumi miongoni mwao ambao walisema kwa Ishmael, “Usituue, kwa kuwa kuna riziki zetu kwenye shamba: ngano na shayiri, mafuta na asili” Kwa hiyo hakuwauwa pamoja na rafiki zao wengine.
9 Or la citerne dans laquelle Ismaël jeta tous les corps des hommes qu'il tua à l'occasion de Guédalia, est celle que le roi Asa avait fait faire, lorsqu'il craignait Baesha, roi d'Israël. C'est cette citerne qu'Ismaël, fils de Néthania, remplit de gens qu'il avait tués.
Kisima ambacho Ishmael alitupa miili yote ya waliokufa ambaye yeye na Gedalia waliwapiga, kilikuwa ni kilekile ambacho mfalme Asa alichimba wakati alipokuwa akivamiwa na mfalme Baasha wa Israel. Ishmael mwana wa Nethania alilijaza wale ambao walikuwa wameuawa.
10 Ismaël emmena prisonniers tout le reste du peuple qui était à Mitspa, les filles du roi, et tous ceux qui étaient demeurés de reste à Mitspa, et que Nébuzar-Adan, chef des gardes, avait confiés à Guédalia, fils d'Achikam. Ismaël, fils de Néthania, les emmena prisonniers, et partit pour passer chez les enfants d'Ammon.
Badae Ishmael aliwashika watu wengine wote ambao walikuwa huko Mizpa, mabinti wa mfalme na watu wote ambao walikuwa wameachwa huko Mizpa ambayo Nebuzaradani mlinzi mkuu alikuwa amewakabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikam. Basi Ishmael mwana wa Nethania aliwashika na kuvuka kwa watu wa Ammon.
11 Mais Jochanan, fils de Karéach et tous les chefs des troupes qui étaient avec lui, apprirent tout le mal qu'Ismaël, fils de Néthania, avait fait,
Lakini Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi pamoja naye walisikia madhara yote ambayo Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amefanya.
12 Et ils prirent tous leurs gens et s'en allèrent pour combattre contre Ismaël, fils de Néthania. Ils le trouvèrent près des grandes eaux de Gabaon.
Basi waliwachukua wanaume wao na kwenda kupigana dhidi ya Ishmanel mwana wa Nethania. Walipigana naye huko kwenye kisima kuu cha Gibeoni.
13 Et quand tout le peuple qui était avec Ismaël, vit Jochanan, fils de Karéach, et tous les chefs des troupes qui étaient avec lui, ils se réjouirent;
Kisha ilitokea kwamba wakati watu wote ambao walikuwa na Ishmael kuona Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi ambao walikuwa pamoja naye, walikuwa na furaha.
14 Et tout le peuple qu'Ismaël emmenait prisonnier de Mitspa tourna visage, et revenant sur leurs pas, ils allèrent à Jochanan, fils de Karéach.
Basi watu wote ambao Ishmael alikuwa amewashika huko Mizpa waligeuka na kwenda kwa Yonathani mwana wa Karea.
15 Mais Ismaël, fils de Néthania, se sauva avec huit hommes devant Jochanan, et s'en alla chez les enfants d'Ammon.
Lakini Ishmael mwana wa Nethania alitoroka na wanaume wanane toka kwa Yonathani. Alienda kwa watu wa Ammon.
16 Puis Jochanan, fils de Karéach, et tous les chefs des troupes qui étaient avec lui, prirent tout le reste du peuple qu'ils avaient retiré des mains d'Ismaël, fils de Néthania, lorsqu'il l'emmenait de Mitspa, après avoir tué Guédalia, fils d'Achikam, les hommes de guerre, les femmes, les enfants, et les eunuques; et Jochanan les ramena depuis Gabaon.
Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi pamoja naye walichukua toka Mizpa watu wote ambao walikuwa wameokolewa kutoka kwa Ishmael mwana wa Nethania. Hii ilikuwa baada ya Ishmael kuwa amemuuwa Gedalia mwana wa Ahikam. Yonathan na rafiki zake walichukua wanaume shujaa, wanaume wapiganaji, wanawake na watoto, na mtoashi ambaye alikuwa ameokolewa huko Gibeoni.
17 Et ils s'en allèrent, et s'arrêtèrent à l'hôtellerie de Kimham, près de Bethléhem, pour se retirer en Égypte,
Kisha walienda na kubaki kwa muda huko Geruthi Chimham, ambayo iko karibu Bethelemu. Walikuwa wakienda Misri
18 A cause des Caldéens; car ils les craignaient, parce qu'Ismaël, fils de Néthania, avait tué Guédalia, fils d'Achikam, que le roi de Babylone avait établi sur le pays.
kwa sababu ya Wakaldayo. Walikuwa wakiwaogopa kwani Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amemua Gedalia mwana wa Ahikam, ambaye mfamle wa Babeli amewekwa kwenye usimamizi wa nchi.

< Jérémie 41 >