< Jérémie 25 >

1 La parole qui fut adressée à Jérémie, pour tout le peuple de Juda, la quatrième année de Jéhojakim, fils de Josias, roi de Juda (c'était la première année de Nébucadnetsar, roi de Babylone),
Hili ndilo neno ambalo lilimjia Yeremia juu ya watu wote wa Yuda. Ikawa mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Huo ndio mwaka wa kwanza wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
2 Et que Jérémie, le prophète, prononça devant tout le peuple de Juda et tous les habitants de Jérusalem, en disant:
Yeremia nabii aliwahubiria watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu.
3 Depuis la treizième année de Josias, fils d'Amon, roi de Juda, jusqu'à ce jour, il y a vingt-trois ans que la parole de l'Éternel m'a été adressée, et je vous ai parlé, parlé dès le matin; mais vous n'avez point écouté.
Akasema, “Kwa miaka ishirini na mitatu, tangu mwaka wa kumi na tatu wa Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda mpaka leo, maneno ya Bwana yamekuja kwangu. Nimewahubiria ninyi. Nilikuwa na nia ya kutangaza, lakini hamkunisikiliza.
4 Et l'Éternel vous a envoyé tous ses serviteurs, les prophètes; il les a envoyés dès le matin; mais vous n'avez point écouté, vous n'avez point prêté l'oreille pour écouter,
Bwana akawapeleka watumishi wake wote manabii kwako. Walikuwa na nia ya kwenda, lakini hukusikiliza wala kutega masikio.
5 Lorsqu'ils disaient: Détournez-vous chacun de votre mauvaise voie et de la malice de vos actions, et vous habiterez de siècle en siècle sur la terre que l'Éternel vous a donnée, à vous et à vos pères;
Manabaii hawa walisema, 'Kila mtu auache uovu wake na udhalimu wa matendo yake na kurudi kwenye nchi ambayo Yahwe aliitoa wakati wa zamanai kwa ajili ya babu zenu na ninyi, kama zawadi ya kudumu.
6 Et n'allez pas après d'autres dieux, pour les servir et vous prosterner devant eux; ne m'irritez pas par l'œuvre de vos mains, et je ne vous ferai aucun mal.
Kwa hiyo msiifuate miungu mingine ili kuiabudu au kuiinamia chini, na msimkasirishe kwa kazi ya mikono yenu ili kwamba awaumize.
7 Mais vous ne m'avez point écouté, dit l'Éternel; en sorte que vous m'avez irrité par l'œuvre de vos mains, pour votre malheur.
Lakini hamkunisikiliza-hili ndilo tamko la Bwana-kwa hiyo umenikasirisha kwa kazi ya mikono yako ili kujidhuru nafsi zemu.
8 C'est pourquoi, ainsi a dit l'Éternel des armées: Parce que vous n'avez pas écouté mes paroles,
Basi, Bwana wa majeshi asema hivi, 'Kwa kuwa hukusikiliza maneno yangu,
9 Voici, j'enverrai, et je prendrai tous les peuples du Nord, dit l'Éternel, et j'enverrai vers Nébucadnetsar, roi de Babylone, mon serviteur; et je les ferai venir contre ce pays, et contre ses habitants, et contre toutes ces nations d'alentour, et je les vouerai à l'interdit, et j'en ferai un objet de désolation, de moquerie, des déserts éternels.
tazama, nitaagiza amri ya kukusanya watu wote wa kaskazini- asema Bwana- na Nebukadreza, mtumishi wangu, mfalme wa Babeli, na kuwaleta juu ya nchi hii na wenyeji wake, na juu ya mataifa yote yaliyo karibu nawe. Kwa maana nitawaangamiza. Nitawageuza kuwa na hofu, kuwa kitu cha kuzomewa na ukiwa wa daima.
10 Et je ferai cesser parmi eux la voix de joie et la voix d'allégresse, la voix de l'époux et la voix de l'épouse, le bruit des meules et la lumière des lampes.
Sauti ya furaha na sherehe-sauti ya bwana arusi na bibi arusi, sauti ya mawe ya kusagia na mwanga wa taa-nitafanya mambo yote haya kutoweka kutoka kwa mataifa haya.
11 Et tout ce pays sera une ruine, un désert; et ces nations seront asservies au roi de Babylone pendant soixante et dix ans.
Ndipo nchi hii yote itakuwa ukiwa na hofu, na mataifa haya watamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.
12 Et il arrivera, quand les soixante et dix ans seront accomplis, que je punirai le roi de Babylone et cette nation, dit l'Éternel, à cause de leurs iniquités; je punirai le pays des Caldéens, je les réduirai en des désolations éternelles.
Kisha miaka sabini itakapokamilika, nitamuadhibu mfalme wa Babeli na taifa hilo, nchi ya Wakaldayo-hili ndilo tamko la Bwana-kwa uovu wao na kuifanya kuwa ukiwa milele.
13 Et j'exécuterai sur ce pays toutes ces paroles que j'ai prononcées contre lui, tout ce qui est écrit dans ce livre, ce que Jérémie a prophétisé contre toutes ces nations.
Nami nitaleta juu ya nchi hiyo maneno yote niliyosema, na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hiki ambacho Yeremia ametabiri juu ya mataifa yote.
14 Car des nations puissantes et de grands rois les asserviront, eux aussi, et je leur rendrai suivant leurs actions et suivant l'œuvre de leurs mains.
Kwa maana pia mataifa mengi na wafalme wakuu watapata watumwa kutoka mataifa haya. Nitawalipa kwa matendo yao na kazi za mikono yao.'”
15 Car ainsi m'a dit l'Éternel, le Dieu d'Israël: Prends de ma main cette coupe du vin de la colère, et fais-la boire à tous les peuples auxquels je t'envoie.
Kwa kuwa Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, ukawanyweshe mataifa yote niliyokutuma.
16 Ils boiront, ils chancelleront, et deviendront comme insensés, à cause de l'épée que j'enverrai parmi eux.
Kwa maana watakunywa na kisha watalewa na kufanya wazimu mbele ya upanga ambao nitaupeleka kati yao.”
17 Je pris donc la coupe de la main de l'Éternel, et je la fis boire à toutes les nations auxquelles l'Éternel m'envoyait
Basi, nikakichukua kikombe mkononi mwa Bwana, nikawanywesha mataifa yote ambayo Bwana alinituma:
18 A Jérusalem et aux villes de Juda, à ses rois, à ses princes, pour les livrer à la ruine, à la désolation, à la moquerie et à la malédiction, comme on le voit aujourd'hui;
Yerusalemu, miji ya Yuda, na wafalme wake, na wakuu wake, na kuwafanya kuwa ukiwa na kitu cha kutisha, na kuwa kitu cha kuzomewa na laana, kama ilivyo hata leo.
19 A Pharaon, roi d'Égypte, à ses serviteurs, à ses princes et à tout son peuple;
Mataifa mengine pia walipaswa kunywa: Farao mfalme wa Misri na watumishi wake; maafisa wake na watu wake wote;
20 A tout le mélange des peuples d'Arabie, à tous les rois du pays d'Uts; à tous les rois du pays des Philistins: à Askélon, à Gaza, à Ékron, et au reste d'Asdod;
watu wote wa urithi wa mchanganyiko na wafalme wote wa nchi ya Uzi; na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti, na Ashkeloni, na Gaza, na Ekroni, na mabaki ya Ashdodi;
21 A Édom, à Moab, et aux enfants d'Ammon;
Edomu na Moabu na wana wa Amoni.
22 A tous les rois de Tyr, à tous les rois de Sidon, et aux rois des côtes qui sont au delà de la mer;
Wafalme wa Tiro na Sidoni, wafalme wa pwani ng'ambo ya pili ya bahari,
23 A Dédan, à Théma, à Buz, et à tous ceux qui se rasent les coins de la chevelure;
Dedani, Tema, na Busi pamoja na wale wanyoao nywele zao upande wa pili wa vichwa vyao, pia walipaswa kukinywa.
24 A tous les rois d'Arabie, et à tous les rois du mélange de nations qui habitent au désert;
Watu hawa pia walitakiwa kukinywa; wafalme wote wa Uarabuni na wafalme wote wa watu wa asili mchanganyiko wanaoishi nyikani;
25 A tous les rois de Zimri, à tous les rois d'Élam, et à tous les rois de Médie,
wafalme wote wa Zimri, wafalme wote wa Elamu, na wafalme wote wa Wamedi;
26 A tous les rois du Nord, tant proches qu'éloignés, l'un après l'autre, et à tous les royaumes du monde qui sont sur la face de la terre; et le roi de Shéshac boira après eux.
wafalme wote wa kaskazini, wale wa karibu na wale wa mbali—kila mmoja na ndugu zake na falme zote za ulimwengu ambazo ziko chini ya uso wa dunia. Hatimaye mfalme wa Babeli atakunywa baada yao wote.
27 Et tu leur diras: Ainsi a dit l'Éternel des armées, le Dieu d'Israël: Buvez et soyez enivrés, et vomissez, et tombez sans vous relever, à cause de l'épée que j'enverrai parmi vous!
Bwana akaniambia, “Basi, uwaambie, 'Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi kunywa na kulewa, kisha tapika, uanguke, wala usisimame mbele ya upanga nitakaoutuma kati yenu.'
28 Que s'ils refusent de prendre la coupe de ta main pour boire, tu leur diras: Ainsi a dit l'Éternel des armées: Vous en boirez certainement!
Kisha itatokea kwamba ikiwa wanakataa kuchukua kikombe mkononi mwako ili kunywa, utawaambia, 'Bwana wa majeshi asema hii lazima mnywe.
29 Car voici, c'est par la ville sur laquelle mon nom est invoqué que je commence à faire du mal, - et vous, vous en seriez exempts! Vous n'en serez point exempts; car je vais appeler l'épée sur tous les habitants de la terre, dit l'Éternel des armées.
Kwa maana, tazama, nitaleta janga juu ya mji ulioitwa kwa jina langu, je ninyi mtaachiliwa msiadhibiwe? Hutakuwa huru, kwa maana nitaita upanga juu ya wenyeji wote wa nchi! - ndilo tamko la Bwana wa majeshi.'
30 Et toi, tu leur prophétiseras toutes ces choses, et tu leur diras: L'Éternel rugira d'en haut; il fera entendre sa voix de sa demeure sainte; il rugira contre son habitation; il poussera des cris, comme ceux qui foulent au pressoir, contre tous les habitants de la terre.
Basi wewe mwenyewe, Yeremia, tabiri kwao maneno haya yote. Uwaambie, 'Bwana atanguruma kutoka juu, naye atapaza sauti yake toka makao yake matakatifu, na radi kutoka mahali pake patakatifu; naye atapiga kelele kama wale wakanyagao zabibu dhidi ya wote wanaoishi duniani.
31 Le retentissement en parvient jusqu'au bout de la terre; car l'Éternel est en procès avec les nations, il entre en jugement contre toute chair; il livre les méchants à l'épée, a dit l'Éternel.
Kelele huja mpaka mwisho wa nchi, kwa sababu mgogoro kutoka kwa Bwana utaleta mashtaka dhidi ya mataifa. Ataleta haki kwa wote wenye mwili. Yeye atawatia waovu katika upanga-hili ndi'o tamko la Bwana.'
32 Ainsi a dit l'Éternel des armées: Voici, le mal va passer de peuple à peuple, et une grande tempête se lève de l'extrémité de la terre.
Bwana wa majeshi asema hivi, 'Tazameni, taabu itatokea toka kwa taifa hadi taifa, na dhoruba kubwa itatokea toka pande za mwisho za dunia.
33 Ceux que l'Éternel tuera en ce jour-là seront étendus d'un bout de la terre à l'autre bout; ils ne seront ni pleurés, ni recueillis, ni ensevelis; ils seront comme du fumier sur la terre!
Kisha wale waliouawa na Bwana watakuja kutoka upande mmoja wa dunia hadi mwingine; hawataomboleza, kukusanyika, au kuzikwa. Watakuwa kama samadi chini.
34 Gémissez, pasteurs, et criez! Roulez-vous dans la poussière, conducteurs du troupeau! Car les jours où vous devez être égorgés sont venus; je vais vous disperser, et vous tomberez comme un vase de prix.
Pigeni Yowe, wachungaji, na pigeni kelele ya kuomba msaada! Gaagaa katika ardhi, enyi mlio hodari katika kundi. Kwa kuwa siku yako ya kuuawa na kutawanywa imekuja. Utaanguka kama kondoo waliochaguliwa.
35 Et les bergers n'auront aucun moyen de fuir, ni les conducteurs du troupeau d'échapper.
Wachungaji hawatakuwa na pa kukimbilia. Hakuna kutoroka kwa watu walio hodari katika kundi.
36 On entend le cri des bergers, et le gémissement des conducteurs du troupeau; car l'Éternel dévaste leurs pâturages,
Kuna mlio wa wasiwasi wa wachungaji na milio ya kulalama kwa watu walio hodari katika kundi, kwa kuwa Yahweh anayaharibu malisho yao.
37 Et les demeures paisibles sont ravagées, à cause de l'ardeur de la colère de l'Éternel.
Kwa hiyo, malisho ya amani yataharibiwa kwa sababu ya hasira ya Bwana.
38 Il a abandonné sa demeure comme un lionceau son repaire; car leur pays est mis en désolation, à cause de la fureur du destructeur, à cause de l'ardeur de sa colère.
Kama simba, ameacha shimo lake, kwa kuwa ardhi yao itakuwa kitu cha kushangaza kwa sababu ya hasira ya muonevu, kwa sababu ya ghadhabu yake kali'”

< Jérémie 25 >