< Jérémie 14 >

1 La parole de l'Éternel, qui fut adressée à Jérémie, à l'occasion de la sécheresse:
Neno la Bwana lilimjia Yeremia kuhusu ukame,
2 Juda est dans le deuil; et dans ses portes on languit tristement couché à terre, et le cri de Jérusalem monte vers le ciel.
“Wayahudi waomboleze; basi milango yake ianguke. Wao wanaomboleza kwa ajili ya ardhi; Kilio chao kwa Yerusalemu kimepaa juu.
3 Et les grands d'entre eux envoient les petits chercher de l'eau; ils vont aux citernes, et ne trouvent point d'eau; ils reviennent leurs vases vides; ils sont honteux et confus, et couvrent leur tête.
Wenye nguvu huwatuma watumishi wao kwa ajili ya maji. Wanapoingia kwenye visima, hawawezi kupata maji. Wote wanarudi hawajafanikiwa; Wao hufunika vichwa vyao na aibu.
4 A cause du sol qui est consterné, parce qu'il n'y a point eu de pluie au pays, les laboureurs confus et honteux se couvrent la tête.
Kwa sababu hii ardhi imepasuka, kwa maana hakuna mvua katika nchi. Wakulima huwa na aibu na kufunika vichwa vyao.
5 Même la biche, dans la campagne, fait son faon et l'abandonne, parce qu'il n'y a point d'herbe.
Kwa maana hata kunguru huwaacha wanawe katika mashamba, kwa maana hakuna nyasi.
6 Les ânes sauvages se tiennent sur les lieux élevés, humant le vent comme les chacals; leurs yeux sont éteints, parce qu'il n'y a point de verdure.
Punda mwitu husimama kwenye mabonde yaliyo wazi na hupiga upepo kama mbweha. Macho yao yanashindwa kufanya kazi, kwa maana hakuna mimea.
7 Si nos iniquités témoignent contre nous, agis à cause de ton nom, ô Éternel! Car nos infidélités sont nombreuses; c'est contre toi que nous avons péché.
Hata ingawa maovu yetu yanatushuhudia, Bwana, tenda kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu matendo yetu yasiyo na imani yamezidi; tumekutenda dhambi.
8 Toi qui es l'attente d'Israël et son libérateur au temps de la détresse, pourquoi serais-tu dans le pays comme un étranger, et comme un voyageur qui se détourne pour passer la nuit!
Matumaini ya Israeli, yule anayemwokoa wakati wa dhiki, kwa nini utakuwa kama mgeni katika nchi, kama mtu akaaye nchi ya kigeni ambaye hujinyoosha na kutumia hutumia usiku mmoja tu?
9 Pourquoi serais-tu comme un homme stupéfait, et comme un héros qui ne peut sauver? Mais tu es au milieu de nous, ô Éternel! et ton nom est invoqué sur nous: ne nous abandonne pas!
Kwa nini utakuwa kama mtu aliyechanganyikiwa, kama shujaa ambaye hawezi kuokoa mtu yeyote? Kwa maana wewe u katikati yetu, Bwana! Jina lako limetangazwa juu yetu. Usiondoke
10 Ainsi a dit l'Éternel au sujet de ce peuple: C'est ainsi qu'ils aiment à aller çà et là. Ils ne retiennent point leurs pieds, et l'Éternel ne prend point plaisir en eux. Il se souvient maintenant de leur iniquité, et il punit leurs péchés.
Bwana awaambia hivi watu hawa “Kwa kuwa wanapenda kutanga tanga, hawakuzuia miguu yao kufanya hivyo.” Bwana hafurahi nao. Sasa anawakumbusha uovu wao na ameadhibu dhambi zao.
11 Puis l'Éternel me dit: N'intercède pas en faveur de ce peuple.
Bwana akaniambia, Usiombe kwa ajili ya watu hawa.
12 S'ils jeûnent, je n'écouterai point leur cri, et s'ils offrent des holocaustes et des oblations, je ne les agréerai point; car je vais les consumer par l'épée, par la famine et par la peste.
Maana ikiwa wanafunga, sitasikiliza kulia kwao; na wanapotoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za unga, sitawafurahia. Kwa maana nitawaangamiza kwa upanga, njaa, na tauni.
13 Et je dis: Ah! Seigneur Éternel! voici, les prophètes leur disent: Vous ne verrez point d'épée, et vous n'aurez point de famine; mais je vous donnerai dans ce lieu-ci une paix assurée!
Ndipo nikasema, “Ee Bwana, Bwana! Angalia! mabii wanawaambia watu, 'Huwezi kuona upanga; hakutakuwa na njaa kwako, kwa kuwa nitakupa usalama wa kweli mahali hapa.'”
14 Et l'Éternel me dit: C'est le mensonge, que ces prophètes prophétisent en mon nom. Je ne les ai point envoyés, je ne leur ai point donné de charge, et je ne leur ai point parlé. Ce sont des visions de mensonge, de vaines prédictions, des tromperies de leur cœur, qu'ils vous prophétisent.
Bwana akaniambia, 'manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwafukuza, wala sikuwapa amri au kusema nao. Lakini maono ya udanganyifu na ya maana, uchawi wa udanganyifu unaotokana na akili zao ndicho wanachowahubiria.”
15 C'est pourquoi ainsi a dit l'Éternel, touchant ces prophètes qui prophétisent en mon nom sans que je les aie envoyés, et qui disent: “Il n'y aura ni épée, ni famine dans ce pays”, ces prophètes eux-mêmes périront par l'épée et par la famine.
Kwa hiyo Bwana asema hivi, “Kwa habari ya manabii wakihubiri kwa jina langu, ambao mimi siwakutuma; wale wanaosema kuwa hakutakuwa na upanga wala njaa katika nchi hii mabii hawa wataangamia kwa upanga na njaa.
16 Et ce peuple auquel ils prophétisent, sera jeté par la famine et l'épée dans les rues de Jérusalem, sans que personne les ensevelisse, tant eux que leurs femmes, leurs fils et leurs filles, et je répandrai sur eux leur méchanceté.
Na watu waliopewa utabiri watafukuzwa nje ya barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga; kwa kuwa hakuna mtu wa kuwazikas-wao, na wake zao, na wana wao, wala binti zao; kwa maana nitamwaga uovu wao wenyewe juu yao.
17 Et dis-leur cette parole: Que mes yeux se fondent en larmes nuit et jour, et qu'ils ne cessent point! Car la vierge, fille de mon peuple, a été frappée d'un grand coup, d'une plaie fort douloureuse.
Sema neno hili kwao 'Acha macho yangu yatokwe machozi, usiku na mchana. wala yasikome, kwa kuwa kutakuwa na kuanguka kwa bikira, binti ya watu wangu - jeraha kubwa lisilotibika.
18 Si je sors aux champs, voici des gens percés de l'épée, et si j'entre dans la ville, voici des gens qui meurent de faim. Le prophète même et le sacrificateur courent par le pays, sans savoir où ils vont.
Ikiwa nitatoka kwenye shamba basi angalia! kuna wale waliouawa kwa upanga. Na kama nitakuja mjini, basi, tazama! kuna wale walio na ugonjwa wa njaa. Hata nabii na kuhani wote wanatembea juu ya nchi bila maarifa.'”
19 Aurais-tu entièrement rejeté Juda? Ton âme aurait-elle Sion en horreur? Pourquoi nous frappes-tu sans qu'il y ait pour nous de guérison? On attend la paix, mais il n'y a rien de bon; un temps de guérison, et voici la terreur!
Je! Umemkataa kabisa Yuda? Je, unaichukia Sayuni? Kwa nini umetupiga wakati hakuna uponyaji kwetu? Tulitumaini amani, lakini hapakuwa na kitu kizuri-na kwa wakati wa uponyaji, lakini tazama, kuna hofu tu.
20 Éternel! nous reconnaissons notre méchanceté, l'iniquité de nos pères; car nous avons péché contre toi!
Tunakubali, Bwana, makosa yetu, uovu wa babu zetu, kwa kuwa tumekukosea.
21 A cause de ton nom ne rejette pas, ne déshonore pas ton trône de gloire; souviens-toi; ne romps pas ton alliance avec nous!
Usitukatae! Kwa ajili ya jina lako, usikifedheheshe kiti chako cha enzi cha utukufu. Kumbuka na usivunje agano lako na sisi.
22 Parmi les vaines idoles des nations y en a-t-il qui fassent pleuvoir? Ou sont-ce les cieux qui donnent la pluie menue? N'est-ce pas toi, Éternel, notre Dieu? Et nous espérerons en toi; car c'est toi qui fais toutes ces choses.
Je, kuna miongoni mwa sanamu za mataifa yeyote zinazoweza kuifanya mbingu kutoa mvua? Je, si wewe, Bwana Mungu wetu, ambaye hufanya jambo hili? Tunatumaini kwako, kwa kuwa umefanya mambo haya yote.

< Jérémie 14 >