< Isaïe 57 >

1 Le juste meurt, et personne n'y prend garde; les gens de bien sont recueillis, sans que nul comprenne que le juste est recueilli devant le mal.
Wenye waki watatoweka, lakini hakuna mtu atakayelitia maanani, na watu wa agano la kuaminika wamekusanyika mbali, lakini hakuna mtu anayefahamu kuwa wenye haki wamekusanyika mbali na maovu,
2 Il entre dans la paix. Ils se reposent sur leurs couches, ceux qui ont marché dans le droit chemin.
Wameingia katika amani; wamepumzika katika vitanda vyao, wale wanotembea katika haki.
3 Mais vous, approchez ici, enfants de la devineresse, race de l'adultère et de la prostituée!
Lakini njooni hapa, enyi watoto wa wachawi, watoto wa wazinifu na mwanamke anayefanya ukahaba.
4 De qui est-ce que vous vous moquez? Contre qui ouvrez-vous une large bouche, et tirez-vous la langue? N'êtes-vous pas des enfants de rébellion, une race de mensonge;
Ni nani mnayemfanyia mzaha? dhidi ya wale wanofungua midomo yao na kutoa nje ndimi zao? Je ninyi sio watoto wa uaasi, watoto wa uongo?
5 S'échauffant auprès des chênes, sous tout arbre vert; égorgeant les enfants dans les vallons, sous les cavités des rochers?
Enyi unaowasha wenywe kwa kulala pamoja chini ya mualoni, kila chini ya mti mbichi, ewe unaeua watoto wako katika mabonde yaliyokauka, chini ya miamba inayoning'inia.
6 Les pierres polies des torrents sont ton partage; voilà, voilà ton lot; c'est aussi à elles que tu fais des libations, que tu présentes l'offrande; pourrai-je me résigner à cela?
Miongoni mwa vitu vilaini katika bonde la mto ni mambo uliyopewa uyafanyie kazi. Ni vitu vya ibada yako. Umemwaga nje kinywaji chako kwao na kutoa sadaka ya mazao. Katika haya mambo Je ninaweza kuwa radhi na mambo haya?
7 Tu places ta couche sur une montagne haute et élevée, et tu montes là pour sacrifier.
Umeandaa kitanda chako juu ya mlima mrefu; pia umeeda pale juu kutoa sadaka.
8 Tu places ton mémorial derrière la porte et le linteau; car tu me quittes pour te découvrir et pour monter là; tu élargis ton lit, et c'est avec ceux-là que tu t'allies; tu aimes leur commerce, tu te choisis une place.
Nyuma ya mlango na mihimili ya milango umeweka ishara zako; umeniweka mimi furagha, umejifunua wewe mwenywe, na kwenda juu; umekifanya kitanda changu kuwa kikubwa. Umefanya agano na wao; ulipenda vitanda vyao; uliona sehemu zao za siri.
9 Tu te rends auprès du roi avec de l'huile, et tu multiplies les parfums; tu envoies tes messagers bien loin, et tu les fais descendre jusqu'au séjour des morts. (Sheol h7585)
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol h7585)
10 Tu te fatigues par la longueur du chemin; tu ne dis pas: C'est en vain! Tu trouves encore en ta main de la vigueur; c'est pourquoi tu ne t'abats point.
Ulichoka kwa safari yako ndefu, lakini haukusema, ''Haina matumaini.'' Umeyatafuta maisha katika mkono wako; Hivyo basi haukudhoofika.
11 Qui donc as-tu craint et redouté, pour être infidèle, pour ne pas te souvenir ni te soucier de moi? Je me taisais, n'est-ce pas? et depuis longtemps; c'est pourquoi tu ne me crains plus?
Ni uliyemuogopa? Ni nani uliye muhofia zaidi ambaye aliyekufanya wewe kutenda udanganyifu, kwa wingi namna hiyo ambapo hauwezi kunikumbuka mimi au kufikiria kuhusu mimi? Maana nilikuwa kimya kwa mda mrefu, hauniogopi mimi tena.
12 Je ferai connaître ta justice, et tes œuvres, qui ne te profiteront pas.
Nitatangaza matendo haki yako na nitawaambia kila kitu ulichokifanya, lakini hawatakusaidia.
13 Quand tu crieras, qu'ils te délivrent, les dieux que tu as amassés! Voici, le vent les enlèvera tous, un souffle les emportera. Mais celui qui se retire vers moi, héritera le pays, et possédera ma montagne sainte.
Utakapolia nje, wacha sanamu ulizozikusnya zikusaidie wewe. Badala yake upepo utavipeperusha vyote, punzi itavipeperusha mbali. Lakini yeye anayenikimbilia mimi atairithi aridhi na atachukua umiliki katika mlima wangu mtakatifu.
14 Et l'on dira: Aplanissez, aplanissez, préparez le chemin! Enlevez tout obstacle du chemin de mon peuple!
Atasema, 'Jenga, jenga! safisha njia! ondoeni vizuizi vyote katika njia ya watu wangu!''
15 Car ainsi a dit le Très-Haut, qui habite une demeure éternelle, et dont le nom est saint: J'habite dans le lieu haut et saint, et avec l'homme abattu et humble d'esprit, pour ranimer l'esprit des humbles, pour ranimer le cœur de ceux qui sont abattus.
Maana yeye allye juu palipoinuka, anayeishi katika uzima wa milele, ambaye jina lake ni mtakatifu, asema hivi, ''Ninaishi mahali pa juu na mahali patakatifu pamoja na yeye pia aliyemnyenyekevu na moyo uliopondeka, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu na kufufua mioyo ya wanaojutia.
16 Car je ne contesterai pas toujours, et je ne serai pas indigné à jamais; car l'esprit défaillirait devant ma face, et les âmes que j'ai créées.
Maana sitawahukumu milele, wala sitakuwa na hasira milele, Kisha roho ya mtu itazimia mbele yangu, maisha niliyowafanyia.
17 A cause de l'iniquité de ses gains, je me suis indigné et j'ai frappé; j'ai caché ma face, et je me suis indigné; et le rebelle a suivi le chemin de son cœur.
Kwa sababu ya dhambi ya mapato ya vurugu zake, Nilipatwa na hasira, na nikamuadhibu yeye; niliuficha uso wangu, nilikuwa na hasira, lakini alirudi nyuma katika njia za moyo wake mwenyewe.
18 J'ai vu ses voies, et je le guérirai; je le conduirai et lui donnerai des consolations, à lui et aux siens qui sont dans le deuil.
Nimeziona njia zake, lakini nitamoponya yeye. Nitamuongoza yeye na kumfariji na kuwashauri wale wanomliliia yeye,
19 C'est moi qui crée le fruit des lèvres: Paix, paix, à celui qui est loin et à celui qui est près! dit l'Éternel. Oui, je le guérirai.
na natengeneza tunda la midomo. Amani, amani, kwa wale walio mbali sana na wale walio karibu-asema Yahwe nitawaponya ninyi.
20 Mais les méchants sont comme la mer agitée, qui ne peut se calmer, dont les eaux rejettent de la vase et du limon.
Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, haiwezi kutulia, na maji yake yametanda juu ya matope.
21 Il n'y a point de paix pour les méchants, dit mon Dieu.
Hakuna amani kwa wakosaji asema Mungu.''

< Isaïe 57 >