< Isaïe 18 >
1 O toi, terre dont les ailes retentissent, qui es au-delà des fleuves de Cush;
Ole kwa nchi ya wezi wa mabawa, iliyoko mbali kupitia mito ya Ethiopia;
2 Qui envoies sur la mer des messagers, dans des navires de jonc, voguant sur les eaux! Allez, émissaires légers, vers la nation robuste et agile, vers le peuple redoutable au près et au loin, vers la nation puissante et qui foule aux pieds, dont le pays est coupé de fleuves.
wanowatuma mabalozi wao kwa kupitia bahari, na vyombo vya majani juu ya maji. Nendeni enyi wajumbe wepesi, kwa watu warefu na laini waishio kwenye nchi, kwa watu wanogopa mbali na karibu, taifa lenye nguvu, wakanyagao watu, ambao mito imegawanya nchi yao.
3 Vous, tous les habitants du monde, et vous qui habitez dans le pays, regardez l'étendard dressé sur les montagnes, écoutez la trompette qui sonne!
Watu wote wakaao duniani nao wakaao katika nchi, pale ishara itakaponyanyuliwa juu ya milima, angalia; na sikilizeni mbiu itakapopulizwa.
4 Car ainsi m'a dit l'Éternel: Je me tiens tranquille et je regarde, dans ma demeure, à l'heure de la chaleur brillante du jour, et du nuage qui donne la rosée, dans la chaleur de la moisson.
Yahwe asema hivi, ''nitachunguza kimyakimya kutoka nyumbani kwangu, kama kupika joto kwenye jua, na kama ukungu kwenye joto la mavuno.
5 Car, avant la moisson, quand la floraison sera finie, et que la fleur sera une grappe prête à mûrir, il coupera les sarments avec des serpes, il enlèvera les pampres et les retranchera.
Kabla ya mavuno, pale kipindi cha maua kinapoisha, na maua yako tayari kuwa zabibu. Atakata matawi kwa kupogoa ndoano, na atakatiwa chini na kuchukua matawi yaliyotawanyika.
6 Ils seront tous abandonnés aux oiseaux de proie des montagnes, et aux bêtes de la terre; les oiseaux de proie passeront l'été auprès d'eux, et toutes les bêtes de la terre y passeront l'hiver.
Wataachwa kwa pamoja maana ndege wa milimani na wanyama wa duniani. Ndege watatua kwao majira ya joto, na wanyama wote watakuwa kwao kipindi cha baridi.''
7 En ce temps-là, seront apportées des offrandes à l'Éternel des armées, par le peuple robuste et agile, par le peuple redoutable au près et au loin, par la nation puissante et qui foule aux pieds, dont la terre est coupée de fleuves, au lieu où réside le nom de l'Éternel des armées, sur la montagne de Sion.
Kwa mda huo kodi italetwa kwa Yahwe wa majeshi kwa watu warefu na laini, kwa watu wanohofia umbali na ukaribu, taifa imara na kukanyagwa chini, ambayo nchi yao imegawanjwa na mito, Kwa sehemu ya jina la Yahwe wa majeshi, mpaka mlima Sayuni.