< Isaïe 15 >

1 Oracle sur Moab. La nuit même où on la ravage, Ar-Moab périt! La nuit même où on la ravage, Kir-Moab périt!
Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
2 On monte à la maison des dieux et à Dibon, sur les hauts lieux, pour pleurer. Moab se lamente sur Nébo et sur Médéba; toutes les têtes sont rasées, toutes les barbes sont coupées.
Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
3 On est ceint de sacs dans ses rues; sur ses toits et dans ses places, chacun gémit et fond en larmes.
Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
4 Hesbon et Élealé se lamentent, leur voix est entendue jusqu'à Jahats; aussi les guerriers de Moab jettent des cris; son âme est tremblante.
Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
5 Mon cœur gémit sur Moab, dont les fugitifs courent jusqu'à Tsoar, jusqu'à Églath-Shélishija. Car on monte en pleurant la montée de Luchith; car on fait retentir le cri de la ruine au chemin de Horonajim.
Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
6 Même les eaux de Nimrim ne sont que désolation; le gazon est desséché, l'herbe a disparu, il n'y a plus de verdure.
Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
7 Aussi l'épargne qu'ils avaient faite, ce qu'ils avaient mis en réserve, ils l'emportent au torrent des saules.
Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
8 Et les cris font le tour des frontières de Moab; ses gémissements vont jusqu'à Églaïm; ses gémissements vont jusqu'à Béer-Élim.
Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
9 Et les eaux de Dimon sont pleines de sang; et j'enverrai sur Dimon un surcroît de maux: les lions contre les réchappés de Moab, et contre ce qui reste du pays.
Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.

< Isaïe 15 >