< Isaïe 14 >

1 Car l'Éternel aura compassion de Jacob; il choisira encore Israël; il les rétablira dans leur terre; les étrangers se joindront à eux, et s'attacheront à la maison de Jacob.
Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
2 Les peuples les prendront et les ramèneront dans leur pays; et la maison d'Israël les possédera, sur la terre de l'Éternel, comme serviteurs et comme servantes. Ils mèneront captifs ceux qui les menaient captifs, et ils domineront sur leurs exacteurs.
Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
3 Et le jour où l'Éternel t'aura fait reposer de ton travail et de ton tourment, et de la dure servitude sous laquelle on t'avait asservi,
Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
4 Tu commenceras ce chant sur le roi de Babylone, et tu diras: Comment a fini le tyran, comment a fini l'oppression?
mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
5 L'Éternel a brisé le bâton des méchants, la verge des dominateurs!
Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
6 Celui qui frappait les peuples avec fureur, de coups incessants, qui gouvernait les peuples avec colère, est poursuivi sans ménagement!
inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
7 Toute la terre est en repos, elle est tranquille; on éclate en cris de joie.
yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
8 Les cyprès aussi, les cèdres du Liban, se réjouissent à ton sujet. Depuis que tu es gisant, disent-ils, personne ne monte plus pour nous abattre.
Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
9 Le Sépulcre profond s'émeut devant toi, pour venir à ta rencontre. Il réveille devant toi les trépassés, tous les puissants de la terre; il fait lever de leurs trônes tous les rois des nations. (Sheol h7585)
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
10 Tous ils prennent la parole, et te disent: Toi aussi, te voilà sans force comme nous! Tu es devenu semblable à nous!
Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
11 Ta magnificence est descendue au Sépulcre, avec le son de tes lyres. Tu es couché sur une couche de vers, et la corruption est ta couverture! (Sheol h7585)
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
12 Comment es-tu tombé du ciel, astre brillant (Lucifer), fils de l'aurore? Comment as-tu été abattu à terre, toi qui foulais les nations?
Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
13 Tu disais en ton cœur: Je monterai aux cieux, j'élèverai mon trône par-dessus les étoiles de Dieu; je siégerai sur la montagne de l'assemblée, aux régions lointaines de l'Aquilon.
Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
14 Je monterai sur les hauteurs des nues, je serai semblable au Très-Haut.
Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
15 Mais tu es descendu dans le Sépulcre, dans les profondeurs du tombeau! (Sheol h7585)
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
16 Ceux qui te voient fixent leurs yeux sur toi; ils te considèrent: Est-ce là cet homme qui faisait trembler la terre, qui ébranlait les royaumes,
Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
17 Qui changeait le monde en désert, qui détruisait les villes et ne relâchait pas ses prisonniers?
ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
18 Tous les rois des nations, oui tous, reposent avec gloire, chacun dans sa demeure.
Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
19 Mais toi, tu es jeté loin de ta sépulture, comme un rejeton de rebut; tu es recouvert des corps morts, percés par l'épée, qu'on jette sous les pierres d'une fosse; tu es comme un cadavre foulé aux pieds!
Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
20 Tu ne seras pas réuni à eux dans la tombe; car tu as ravagé ta terre, tu as tué ton peuple. La race des méchants ne sera plus nommée à jamais!
Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
21 Préparez le massacre pour les fils, à cause de l'iniquité de leurs pères. Qu'ils ne se lèvent plus pour posséder la terre, et couvrir de villes la face du monde!
Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
22 Je m'élèverai contre eux, dit l'Éternel des armées; et je retrancherai de Babylone son nom et son reste, le fils et le petit-fils, dit l'Éternel.
Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
23 J'en ferai la tanière du hérisson; j'en ferai un marécage; je la balaierai avec le balai de la destruction, dit l'Éternel des armées.
Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
24 L'Éternel des armées l'a juré, disant: Certainement, la chose arrivera comme je l'ai projetée, et ce que j'ai résolu, s'accomplira:
Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
25 De briser Assur dans ma terre, et de le fouler aux pieds sur mes montagnes; son joug sera ôté de dessus mon peuple, et son fardeau de dessus leurs épaules.
Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
26 C'est là le dessein arrêté contre toute la terre, c'est là la main étendue sur toutes les nations.
Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
27 Car l'Éternel des armées a formé ce dessein: qui l'empêchera? C'est sa main qui est étendue: qui la détournera
Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
28 L'année de la mort du roi Achaz, cet oracle fut prononcé:
Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
29 Ne te réjouis point, terre des Philistins, de ce que la verge qui te frappait a été brisée; car de la race du serpent naîtra un basilic, et le fruit en sera un dragon volant.
Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
30 Alors les plus pauvres seront repus, et les misérables reposeront en sécurité; mais je ferai mourir de faim ta postérité, et on tuera ce qui sera resté de toi.
Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
31 Porte, gémis! Ville, lamente-toi! Terre des Philistins, sois toute dans l'épouvante! Car du nord vient une fumée, une troupe où nul combattant ne quitte son rang.
Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
32 Et que répondre aux envoyés de cette nation? Que l'Éternel a fondé Sion, et qu'en elle les affligés de son peuple auront leur refuge.
Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.

< Isaïe 14 >