< Osée 9 >

1 Israël, ne te réjouis point, et ne sois pas transporté de joie comme les peuples, de ce que tu t'es prostitué en abandonnant ton Dieu! Tu as aimé le salaire de la prostitution sur toutes les aires de froment.
Usifurahi, Israeli, kwa furaha kama watu wengine. Kwa maana haukuwa mwaminifu, umemuacha Mungu wako. Unapenda kulipa mshahara kwa kahaba kwenye sakafu zote za nafaka.
2 L'aire et la cuve ne les repaîtront point, et le vin doux leur manquera.
Lakini sakafu na divai hazitawalisha; divai mpya itampungukia.
3 Ils ne demeureront pas dans la terre de l'Éternel; Éphraïm retournera en Égypte, et ils mangeront en Assyrie un aliment souillé.
Hawawezi kuendelea kuishi katika nchi ya Bwana; badala yake, Efraimu atarudi Misri, na siku moja watakula chakula kichafu katika Ashuru.
4 Ils ne feront point à l'Éternel des libations de vin, et leurs sacrifices ne lui plairont pas. Ce leur sera comme le pain de deuil; tous ceux qui en mangent seront souillés. Car leur pain ne sera que pour eux-mêmes; il n'entrera point dans la maison de l'Éternel.
Hawatamtolea Bwana sadaka za divai, wala hawatamfurahisha. Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga wote wanaolila watakuwa wamejisikia. Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hautakuingia nyumbani mwa Bwana.
5 Que ferez-vous aux jours solennels, aux jours des fêtes de l'Éternel?
Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
6 Car voici, ils s'en vont à cause de la désolation. L'Égypte les recueillera; Memphis les ensevelira. L'ortie possédera leurs joyaux d'argent; l'épine croîtra dans leurs tentes.
Kwa maana, angalia, wamekimbia uharibifu, Misri itawakusanya, na Nofu itawazika. Maana hazina zao za pesa za fedha zitakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
7 Ils viennent, les jours du châtiment! Ils viennent, les jours de la rétribution! Israël le saura! Le prophète est fou; l'homme inspiré est insensé, à cause de la grandeur de ton iniquité et de ta grande rébellion!
Siku za adhabu zinakuja; siku za kulipiza kisasi zinakuja. Waisraeli wote wajue mambo haya. Nabii ni mpumbavu, na mtu aliyevuviwa ni mwendawazimu, kwa sababu ya uovu wako mkubwa na uadui mkubwa.
8 La sentinelle d'Éphraïm est avec mon Dieu; mais le prophète est un filet d'oiseleur sur toutes ses voies, un ennemi dans la maison de son Dieu.
Nabii ndiye mlinzi wa Mungu wangu juu ya Efraimu. Lakini mtego wa ndege ni juu ya njia zake zote, na uadui umo katika nyumba ya Mungu wake.
9 Ils se sont entièrement corrompus, comme aux jours de Guibea. L'Éternel se souviendra de leur iniquité; il punira leurs péchés!
Wamejiharibu wenyewe kama siku za Gibea. Mungu atawakumbusha uovu wao, naye atawaadhibu dhambi zao.
10 J'ai trouvé Israël comme des grappes dans le désert; j'ai vu vos pères comme le premier fruit d'un figuier qui commence. Mais ils sont allés vers Baal-Péor; ils se sont consacrés à une chose infâme, ils sont devenus abominables comme ce qu'ils ont aimé.
Bwana asema, “Nilipoikuta Israeli, ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini, nimewaona baba zenu. Lakini wakaenda Baal Peori, nao wakajitoa kwenye sanamu ya aibu. Walikuwa chukizo kama sanamu waliyoipenda.
11 La gloire d'Éphraïm s'envolera comme un oiseau: plus de naissance, plus de grossesse, plus de conception!
Na kwa ajili ya Efraimu, utukufu wao utatoka kama ndege. Hakutakuwa na kuzaa, hakuna mimba, wala achukuaye mimba.
12 S'ils élèvent leurs enfants, je les en priverai avant l'âge d'homme. Car malheur à eux aussi, quand je me retirerai d'eux!
Ingawa wameleta watoto, nitawachukua ili asibaki hata mmoja. Ole wao nikiwaacha!
13 Éphraïm, partout où je regarde vers Tyr, est planté dans un beau séjour; mais Éphraïm mènera ses fils à celui qui les tuera.
Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima, lakini Efraimu atatoa watoto wake kwa mtu atakayewaua.
14 O Éternel! donne-leur ... Que leur donnerais-tu? ... Donne-leur le sein qui avorte, et les mamelles taries!
Wape, Bwana-utawapa nini? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na matiti ambayo haitoi maziwa.
15 Tout leur mal est à Guilgal; c'est là que je les hais. A cause de la malice de leurs œuvres, je les chasserai de ma maison; je ne continuerai plus à les aimer; tous leurs chefs sont des rebelles.
'Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, ndivyo nilipowachukia. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza nje ya nyumba yangu. Sitawapenda tena; maofisa wao wote ni waasi.
16 Éphraïm est frappé, sa racine est devenue sèche; ils ne porteront plus de fruit; et s'ils ont des enfants, je ferai mourir le fruit précieux de leur sein.
Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda. Hata ikiwa wana watoto, nitawaua watoto wao wapendwa.
17 Mon Dieu les rejettera, parce qu'ils ne l'ont point écouté, et ils seront errants parmi les nations.
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii. Watakuwa watu wa kutangatanga kati ya mataifa.

< Osée 9 >