< Genèse 36 >

1 Or, voici les descendants d'Ésaü, qui est Édom.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
2 Ésaü prit ses femmes parmi les filles de Canaan: Ada, fille d'Élon, le Héthien, et Oholibama, fille d'Ana, fille de Tsibeon, le Hévien.
Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
3 Il prit aussi Basmath, fille d'Ismaël, sœur de Nébajoth.
Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
4 Ada enfanta à Ésaü Éliphaz, et Basmath enfanta Réuël.
Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
5 Et Oholibama enfanta Jéush, Jaelam et Korah. Voilà les fils d'Ésaü, qui lui naquirent au pays de Canaan.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
6 Et Ésaü prit ses femmes, et ses fils et ses filles, et toutes les personnes de sa maison, et ses troupeaux, et tout son bétail, et tout le bien qu'il avait acquis au pays de Canaan; et il s'en alla dans un autre pays, loin de Jacob, son frère.
Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
7 Car leurs biens étaient trop grands pour qu'ils pussent demeurer ensemble, et le pays où ils séjournaient ne pouvait pas les contenir, à cause de leurs troupeaux.
Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
8 Et Ésaü habita sur la montagne de Séir. Ésaü est Édom.
Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
9 Et voici les descendants d'Ésaü, père des Iduméens, sur la montagne de Séir.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
10 Voici les noms des fils d'Ésaü: Éliphaz, fils d'Ada, femme d'Ésaü; Réuël, fils de Basmath, femme d'Ésaü.
Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
11 Et les fils d'Éliphaz furent Théman, Omar, Tsépho et Gaetham et Kénaz.
Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
12 Et Thimna fut concubine d'Éliphaz, fils d'Ésaü, et enfanta Amalek à Éliphaz. Voilà les fils d'Ada, femme d'Ésaü.
Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
13 Et voici les fils de Réuël: Nahath et Zérach, Shamma et Mizza. Ce furent là les fils de Basmath, femme d'Ésaü.
Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
14 Et ceux-ci furent les fils d'Oholibama, fille d'Ana, fille de Tsibeon, et femme d'Ésaü: elle enfanta à Ésaü Jéush, Jaelam et Korah.
Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
15 Voici les chefs des fils d'Ésaü: Fils d'Éliphaz, premier-né d'Ésaü: le chef Théman, le chef Omar, le chef Tsépho, le chef Kénaz,
Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
16 Le chef Korah, le chef Gaetham, le chef Amalek. Voilà les chefs issus d'Éliphaz au pays d'Édom; voilà les fils d'Ada.
Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
17 Et voici les fils de Réuël, fils d'Ésaü: le chef Nahath, le chef Zérach, le chef Shamma, le chef Mizza. Voilà les chefs issus de Réuël au pays d'Édom, voilà les fils de Basmath, femme d'Ésaü.
Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
18 Et voici les fils d'Oholibama, femme d'Ésaü: le chef Jéush, le chef Jaelam, le chef Korah. Voilà les chefs issus d'Oholibama, fille d'Ana, femme d'Ésaü.
Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
19 Voilà les fils d'Ésaü, qui est Édom, et voilà leurs chefs.
Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
20 Voici les fils de Séir, le Horien, qui habitaient le pays: Lothan, Shobal, Tsibeon, Ana, Dishon, Etser et Dishan.
Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
21 Voilà les chefs des Horiens, fils de Séir, au pays d'Édom.
Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
22 Et les fils de Lothan furent: Hori et Héman; et Thimna était sœur de Lothan.
Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
23 Et voici les fils de Shobal: Alvan, Manahath, Ébal, Shépho et Onam.
Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
24 Et voici les fils de Tsibeon: Ajja et Ana. C'est Ana qui trouva les sources chaudes dans le désert, pendant qu'il paissait les ânes de Tsibeon, son père.
Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
25 Et voici les enfants d'Ana: Dishon et Oholibama, fille d'Ana.
Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
26 Et voici les fils de Dishon: Hemdan, Eshban, Jithran et Kéran.
Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
27 Voici les fils d'Etser: Bilhan, Zaavan et Akan.
Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
28 Voici les fils de Dishan: Uts et Aran.
Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
29 Voici les chefs des Horiens: le chef Lothan, le chef Shobal, le chef Tsibeon, le chef Ana,
Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
30 Le chef Dishon, le chef Etser, le chef Dishan. Voilà les chefs des Horiens, les chefs qu'ils eurent dans le pays de Séir.
Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
31 Et voici les rois qui régnèrent au pays d'Édom, avant qu'un roi régnât sur les enfants d'Israël:
Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
32 Béla, fils de Béor, régna en Édom, et le nom de sa ville était Dinhaba.
Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
33 Et Béla mourut; et Jobab, fils de Zérach, de Botsra, régna à sa place.
Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
34 Et Jobab mourut; et Husham, du pays des Thémanites, régna à sa place.
Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
35 Et Husham mourut; et Hadad, fils de Bedad, régna à sa place; il défit Madian, aux champs de Moab; et le nom de sa ville était Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
36 Et Hadad mourut; et Samla, de Masréka, régna à sa place.
Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
37 Et Samla mourut; et Saül, de Rehoboth, sur le fleuve, régna à sa place.
Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
38 Et Saül mourut; et Baal-Hanan, fils d'Acbor, régna à sa place.
Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
39 Et Baal-Hanan, fils d'Acbor, mourut, et Hadar régna à sa place; et le nom de sa ville était Paü, et le nom de sa femme Méhétabeel, fille de Matred, fille de Mézahab.
Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
40 Et voici les noms des chefs d'Ésaü, selon leurs familles, selon leurs lieux, par leurs noms: le chef Thimna, le chef Alva, le chef Jetheth,
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
41 Le chef Oholibama, le chef Éla, le chef Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 Le chef Kénaz, le chef Théman, le chef Mibtsar,
Kenazi, Temani, Mbza,
43 Le chef Magdiel, le chef Iram. Voilà les chefs d'Édom, selon leurs demeures au pays de leur possession. C'est là Ésaü, le père des Iduméens.
Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.

< Genèse 36 >