< Exode 16 >

1 Toute l'assemblée des enfants d'Israël, étant partie d'Élim, vint au désert de Sin, qui est entre Élim et Sinaï, au quinzième jour du second mois, après leur sortie du pays d'Égypte.
Watu wakaendelea na safari kutoka Elimu, na jamii yote ya Waisraeli ikaja nyikani mwa Sinu, iliyopo katikati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili walipo toka Misri.
2 Et toute l'assemblée des enfants d'Israël murmura dans ce désert contre Moïse et contre Aaron.
Jamii yote ya Waisraeli wali walalamikia Musa na Aruni nyikani.
3 Et les enfants d'Israël leur dirent: Ah! que ne sommes-nous morts par la main de l'Éternel au pays d'Égypte, quand nous étions assis près des potées de viande, quand nous mangions du pain à satiété! Car vous nous avez amenés dans ce désert, pour faire mourir de faim toute cette assemblée.
Waisraeli waliwaambia, “Kama tu tungekufa kwa mkono wa Yahweh nchi ya Misri tulipo kuwa tumeketi kwenye vyombo vya nyama na tulikuwa tunakula mkate kwa tele. Maana umetuleta nyikani uuwe jamii zetu zote kwa njaa.”
4 Alors l'Éternel dit à Moïse: Voici, je vais vous faire pleuvoir des cieux du pain, et le peuple sortira, et ils en recueilleront chaque jour ce qu'il faut pour la journée, afin que je l'éprouve, pour voir s'il marchera, ou non, dans ma loi.
Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nitakunyeshea mvua ya mkate. Watu wataenda na kukusanya kiasi cha siku kila siku ili niwajaribu kama wataendelea kushika sheria yangu au hapana.
5 Mais, le sixième jour, ils apprêteront ce qu'ils auront apporté, et il y en aura le double de ce qu'ils recueilleront chaque jour.
Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba watakusanya mara mbili zaidi ya wanavyo kusanyaga, na watapika wanacholeta.”
6 Moïse et Aaron dirent donc à tous les enfants d'Israël: Ce soir vous saurez que c'est l'Éternel qui vous a retirés du pays d'Égypte;
Kisha Musa na Aruni wakawaambia watu wote wa Israeli, “Jioni mtajua kuwa ni Yahweh aliye waleta kutoka nchi ya Misri.
7 Et au matin vous verrez la gloire de l'Éternel, parce qu'il a entendu vos murmures contre l'Éternel. Que sommes-nous, en effet, pour que vous murmuriez contre nous?
Asubui utaona utukufu wa Yahweh, kwa maana anasikia mna mlalamikia. Sisi ni nani hadi mtulalamikie?”
8 Et Moïse dit: Ce sera quand l'Éternel vous donnera ce soir de la chair à manger, et au matin du pain en abondance; parce que l'Éternel a entendu vos murmures, que vous élevez contre lui. Que sommes-nous en effet? Vos murmures ne sont pas contre nous, mais contre l'Éternel.
Musa pia akasema, “Utajua hili pale Yahweh atakapo kupa nyama jioni na mkate asubui kwa tele - kwa kuwa amesikia malalamishi mnayo tamka dhidi yake. Nani ni Aruni na mimi? Malalamishi yenu sio dhidi yetu; ni dhidi ya Yahweh.”
9 Et Moïse dit à Aaron: Dis à toute l'assemblée des enfants d'Israël: Approchez-vous devant l'Éternel, car il a entendu vos murmures.
Musa akamwambia Aruni, “Sema kwa jamii yote ya watu wa Israeli, 'Njoo karibu ya Yahweh, kwa kuwa amesikia malalamishi yenu.'”
10 Et comme Aaron parlait à toute l'assemblée des enfants d'Israël, ils se tournèrent vers le désert, et voici, la gloire de l'Éternel se montra dans la nuée;
Ikawa, Aruni alipo sema na jamii yote ya watu wa Israeli, wakaangalia kuelekea nyikani, na, tazama, utukufu wa Yahweh ukatokea kwenye wingu.
11 Et l'Éternel parla à Moïse, en disant:
Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
12 J'ai entendu les murmures des enfants d'Israël. Parle-leur, et leur dis: Entre les deux soirs vous mangerez de la chair, et au matin vous vous rassasierez de pain, et vous saurez que je suis l'Éternel votre Dieu.
“Nimesikia malalamishi ya watu wa Israeli. Sema nao na useme, 'Jioni utakula nyama, na asubui utashiba mkate. Kisha utajua mimi ni Yahweh Mungu wako.'”
13 Le soir donc les cailles montèrent et couvrirent le camp, et au matin il y eut une couche de rosée à l'entour du camp.
Ikaja kuwa kwamba jioni kware wakaja juu na kufunika kambi. Asubui umande ulitanda kambini.
14 Et la couche de rosée s'évanouit, et voici il y avait sur la surface du désert une chose menue, perlée, menue comme le givre sur la terre.
Umande ulipo kwisha, pale juu ya ardhi ya nyikani kulikuwa na kama barafu iliyo ganda kwenye ardhi.
15 Quand les enfants d'Israël la virent, ils se dirent l'un à l'autre: Qu'est cela? car ils ne savaient ce que c'était. Et Moïse leur dit: C'est le pain que l'Éternel vous a donné à manger.
Watu wa Israeli walipo ona, walisema mmoja kwa mwenzake, “Hii ni nini?” Hawakujua ilikuwa ni nini. Musa akawaambia, “Ni mkate Yahweh aliyo wapa mle.
16 Voici ce que l'Éternel a commandé: Recueillez-en chacun en proportion de ce qu'il mange, un homer par tête, selon le nombre de vos personnes; vous en prendrez chacun pour ceux qui sont dans sa tente.
Hii ni amri Yahweh aliyotoa: 'Lazima ukusanye, kila mmoja wenu, kiasi unacho itaji kula, lita mbili kwa kila mtu. Hivi ndivyo utakavyo kusanya: Kusanya cha kutosha kula cha kila mtu anaye ishi hemani mwako.'”
17 Les enfants d'Israël firent donc ainsi; et ils recueillirent, l'un plus et l'autre moins.
Watu wa Israeli wakafanya hivyo. Baadhi wakakusanya zaidi, baadhi wakakusanya kidogo.
18 Et ils le mesurèrent par homer; et celui qui en recueillait beaucoup, n'en eut pas trop, et celui qui en recueillait peu, n'en manqua pas; ils en recueillirent chacun en proportion de ce qu'il mangeait.
Walipo pima kwa kipimo cha lita, hao walio kusanya zaidi hawakuwa na kilicho salia, na hao walio kusanya kidogo hawakuwa na pungufu. Kila mmoja alikusanya cha kutosha kukidhi maitaji yake.
19 Et Moïse leur dit: Que personne n'en laisse de reste jusqu'au matin.
Kisha Musa akawaambia, “Hakuna ata mmoja kubakiza hadi asubui.”
20 Mais ils n'obéirent point à Moïse, et quelques-uns en laissèrent jusqu'au matin, et il s'y engendra des vers et une mauvaise odeur; et Moïse se mit en colère contre eux.
Walakini, hawakumsikiliza Musa. Baadhi yao waliacha baadhi hadi asubui, lakini ilizalisha wadudu na kuwa batili. Kisha Musa akawa na hasira juu yao.
21 Ils en recueillirent donc tous les matins, chacun en proportion de ce qu'il mangeait; et lorsque le soleil était chaud, cela fondait.
Walikusanya asubui kwa asubui. Kila mtu alikusanya cha kutosha kula kwa hiyo siku. Jua lilipo kuwa kali, ili yayuka.
22 Et le sixième jour, ils recueillirent du pain au double, deux homers pour chacun. Et tous les principaux de l'assemblée vinrent le rapporter à Moïse.
siku ya sita walikusanya mkate mara mbili zaidi, lita mbili kwa kila mtu. Viongozi wote wa jamii walikuja na kumwambia hili kwa Musa.
23 Et il leur répondit: C'est ce que l'Éternel a dit: Demain est le repos, le sabbat consacré à l'Éternel; faites cuire ce que vous avez à cuire, et faites bouillir ce que vous avez à bouillir, et serrez tout le surplus, pour le garder jusqu'au matin.
Aliwaambia, “Hili ndilo Yahweh alililo lisema: 'Kesho ni mapumziko ya kujiliwaza, sabato takatifu kwa utukufu wa Yahweh. Oka kile unataka kuoka, na chemsha kile unataka kuchemsha. Vyote vitakavyo baki, jihifadhie hadi asubui.”'
24 Ils le serrèrent donc jusqu'au matin, comme Moïse l'avait commandé, et il ne sentit point mauvais, et il n'y eut point de vers.
Hivyo wakaeka pembeni hadi asubui, kama Musa alivyo elekeza. Haikuharibika, wala haikuwa na mdudu yeyote.
25 Alors Moïse dit: Mangez-le aujourd'hui; car c'est aujourd'hui le sabbat de l'Éternel; aujourd'hui vous n'en trouverez point dans les champs.
Musa alisema, “Kula hicho cha kula leo, kwa kuwa leo ni siku iliyo tengwa ya kumtukuza Yahweh. Leo hamtaikuta mashambani.
26 Pendant six jours vous le recueillerez, mais au septième jour, qui est le sabbat, il n'y en aura point.
Mtaikusanya ndani ya siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato. Siku ya Sabato hakuta kuwa na manna.”
27 Et le septième jour, quelques-uns du peuple sortirent pour en recueillir; mais ils n'en trouvèrent point.
Ilikuja kuwa siku ya saba ambapo baadhi ya watu walienda kukusanya manna, lakini hawakukuta
28 Alors l'Éternel dit à Moïse: Jusqu'à quand refuserez-vous de garder mes commandements et mes lois?
Kisha Yahweh akamwambia Musa, Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu?
29 Considérez que l'Éternel vous a donné le sabbat, c'est pourquoi il vous donne au sixième jour du pain pour deux jours; que chacun demeure à sa place, et que personne ne sorte de son lieu le septième jour.
Tazama, Yahweh amekupa Sabato. Hivyo siku ya sita anakupa mkate wa siku mbili. Kila mmoja wenu lazima akae kwenye sehemu yake; hakuna hata mmoja wa kutoka sehemu yake siku ya saba.”
30 Le peuple se reposa donc le septième jour.
Hivyo watu watapumzika siku ya saba.
31 Et la maison d'Israël nomma cette nourriture, manne; elle était comme de la semence de coriandre, blanche, et avait le goût de beignets au miel.
Watu wa Israeli walikiita chakula kile “manna.” Ilikuwa ni nyeupe kama mbegu ya mgiligani, na ladha yake kama maandazi yaliyo pikwa na asali.
32 Et Moïse dit: Voici ce que l'Éternel a commandé: Qu'on en remplisse un homer, pour le garder d'âge en âge, afin qu'on voie le pain que je vous ai fait manger au désert, quand je vous ai retirés du pays d'Égypte.
Musa akasema, “Hili ndilo Yahweh alilo amuru: 'Acha lita mbili ya manna ihifadhiwe kwa ajili vizazi vya watu wako ili kwamba uzao wako uone mkate niliyo kulisha nyikani, baada ya kukutoa kutoka nchi ya Misri.
33 Et Moïse dit à Aaron: Prends une cruche, et mets-y un plein homer de manne, et dépose-le devant l'Éternel, pour être gardé d'âge en âge.
Musa akamwambia Aruni, “Chukuwa jagi na uweke lita mbili za manna ndani yake. Hifadhi kwa Yahweh i dumu vizazi vyote vya watu.”
34 Comme le Seigneur l'avait commandé à Moïse, Aaron le déposa devant le Témoignage, pour qu'il fût gardé.
Kama Yahweh alivyo muamuru Musa, Aruni akahifadhi pembeni mwa mawe yaliyo kuwa na amri za agano.
35 Et les enfants d'Israël mangèrent la manne quarante ans, jusqu'à ce qu'ils fussent venus dans un pays habité; ils mangèrent la manne, jusqu'à ce qu'ils fussent venus à la frontière du pays de Canaan.
Watu wa Israeli walikula manna miaka arobaini mpaka walipo kuja nchi yenye watu. Walikula mpaka walipo fika kwenye mipaka ya nchi ya Kanani.
36 Or, le homer est la dixième partie de l'épha.
Lita mbili ni makumi ya efa.

< Exode 16 >