< Deutéronome 7 >

1 Quand l'Éternel ton Dieu t'aura fait entrer dans le pays dont tu vas prendre possession, qu'il aura ôté de devant toi beaucoup de nations, les Héthiens, les Guirgasiens, les Amoréens, les Cananéens, les Phéréziens, les Héviens et les Jébusiens, sept nations plus grandes et plus puissantes que toi,
Wakati Yahwe Mungu wenu atuleta katika nchi ambayo mnaenda kuimiliki na kuwaondoa mataifa mengi mbele zenu- Mhiti, Mgirgashi na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, Mhivi, Myebusi- mataifa saba makubwa na yenye nguvu kuliko wewe.
2 Et que l'Éternel ton Dieu te les aura livrées, et que tu les auras battues, tu les voueras à l'interdit; tu ne traiteras point alliance avec elles, et tu ne leur feras point grâce;
Na wakati Yahwe Mungu wenu awapa ninyi ushindi juu yao pindi mnakutana nao katika vita, mtawashambulia, basi mnapaswa kuwateketeza kabisa. Hamtafanya agano nao, wala kuonesha huruma kwao.
3 Tu ne t'allieras point par mariage avec elles; tu ne donneras point tes filles à leurs fils, et tu ne prendras point leurs filles pour tes fils,
Wala hamtapanga ndoa zozote pamoja nao, hamtawatoa binti zenu kwa vijana wao, na hamtawachukua binti zao kwa vijana wenu.
4 Car elles détourneraient tes enfants de mon obéissance, et ils serviraient d'autres dieux, et la colère de l'Éternel s'allumerait contre vous, et il t'exterminerait promptement.
Kwa kuwa watawabadilisha vijana wenu kutonifuata mimi, ili kwamba waweze kuabudu miungu yao. Kwa hiyo hasira ya Yahwe itawashwa dhidi yenu na atawaangamiza haraka.
5 Mais vous agirez ainsi à leur égard: Vous démolirez leurs autels, vous briserez leurs statues, vous abattrez leurs emblèmes d'Ashéra, et vous brûlerez au feu leurs images taillées.
Hivi ndivyo mtakavyo washughulikia nao; mtavunja madhabahu zao, vunja nguzo zao za mawe katika vipande, kata chini ncha za Asherahi, na kuzichoma sanamu za kutupwa.
6 Car tu es un peuple consacré à l'Éternel ton Dieu; l'Éternel ton Dieu t'a choisi, afin que tu lui sois un peuple particulier, d'entre tous les peuples qui sont sur la face de la terre.
Kwa kuwa wewe ni taifa uliyetengwa kwa Yahwe Mungu wako. Amekuchagua wewe kuwa watu kwa ajili yake kumiliki, zaidi ya watu wengine wote ambao wako katika uso wa dunia.
7 Ce n'est pas parce que vous étiez plus nombreux que tous les autres peuples, que l'Éternel s'est attaché à vous, et vous a choisis; car vous étiez le plus petit de tous les peuples;
Yahwe hakuweka upendo wake juu yenu au kuwachagua kwa sababu mlikuwa zaidi katika idadi kuliko watu wowote, kwa kuwa mlikuwa wachache kuliko watu wote-
8 Mais, c'est parce que l'Éternel vous aime, et parce qu'il garde le serment qu'il a fait à vos pères, que l'Éternel vous a retirés à main forte, et qu'il t'a racheté de la maison de servitude, de la main de Pharaon, roi d'Égypte.
Lakini kwa sababu anawapenda ninyi, anataka kushika kiapo alichoapa kwa baba zenu. Huyu ni Yahwe aliyewatoa kwa mkono wa uweza na kuwakomboa kutoka nyumba ya utumwa, kutoka mkono wa Farao, mfalme wa Misri.
9 Reconnais donc que c'est l'Éternel ton Dieu qui est Dieu, le Dieu fidèle, qui garde son alliance et sa miséricorde jusqu'à mille générations à ceux qui l'aiment et qui observent ses commandements,
Kwa hiyo tambua ya kuwa Yahwe Mungu wako-ni Mungu, Mungu mwaminifu, anayetunza maagano na uaminifu kwa vizazi elfu kwa wale wanaompenda na kuyashika maagizo yake,
10 Et qui rend la pareille en face à ceux qui le haïssent, pour les faire périr. Il ne diffère point envers celui qui le hait; il lui rend la pareille en face.
lakini huwalipa wale wanaomchukia kwa sura zao, kuwaangamiza, hatakuwa na huruma kwa yeyote anayemchukia; atamlipa kwa uso wake.
11 Prends donc garde aux commandements, aux statuts et aux ordonnances que je te donne aujourd'hui, pour les pratiquer.
Kwa hiyo utashika maagizo, amri, na sheria ninazokuamuru leo, ili kwamba uzifanye.
12 Et il arrivera que si, après avoir entendu ces ordonnances, vous les gardez et les pratiquez, l'Éternel ton Dieu te gardera l'alliance et la miséricorde qu'il a jurées à tes pères;
Kama mtasikiliza maagizo haya, kuyashika na kuyafanya, itakuwa Yahwe Mungu wenu atawashika pamoja na agano na uaminifu ambao aliapa kwa baba zenu.
13 Il t'aimera, il te bénira, il te multipliera, il bénira le fruit de tes entrailles et le fruit de ton sol, ton froment, ton moût et ton huile, les portées de tes vaches et de tes brebis, sur la terre qu'il a juré à tes pères de te donner;
Atawapenda, atawabariki, na kuwazidisha, pia atabariki tunda la miili yenu na tunda la ardhi yenu, nafaka zenu, divai mpya, mafuta yenu, atazidisha mifugo na kundi lako la mifugo michanga, katika nchi ambayo aliapa kwa baba zenu kuwapa.
14 Tu seras béni plus que tous les peuples: au milieu de toi, ni parmi ton bétail, il n'y aura ni mâle ni femelle stérile;
Mtabarikiwa zaidi kuliko watu wengine wote; hapatakuwa na mwanaume asiyekuwa na mtoto au mwanamke tasa miongoni mwenu au miongoni mwa mifugo.
15 L'Éternel détournera de toi toutes les maladies; et toutes ces langueurs malignes d'Égypte que tu as connues, il ne les mettra point sur toi; mais il les fera venir sur tous ceux qui te haïssent.
Yahwe atawaondolea magonjwa yote; hakuna magonjwa mabaya ya Misri ambayo mnayajua yatawekwa juu yenu, Lakini atayaweka kwa wote wanaowachukia ninyi.
16 Tu détruiras donc tous les peuples que l'Éternel ton Dieu te livre; ton œil sera pour eux sans pitié, et tu ne serviras point leurs dieux; car ce serait un piège pour toi.
Mtayaondoa makundi ya watu wote ambayo Yahwe Mungu wenu awapa ushindi, na jicho lenu halitawaonea huruma. Na hamtaabudu miungu yao, kwa kuwa huo utakuwa mtego kwenu.
17 Si tu dis en ton cœur: Ces nations sont plus nombreuses que moi, comment pourrai-je les déposséder?
Kama mtasema kwenye mioyo, Haya mataifa ni mengi zaidi kuliko mimi; nitawezaje kuwafukuza?
18 Ne les crains point; souviens-toi bien de ce que l'Éternel ton Dieu a fait à Pharaon et à tous les Égyptiens,
Usiwaogope; utakumbuka akilini Yahwe nini Mungu wenu alifanya kwa Farao na Misri yote?
19 Des grandes épreuves que tes yeux ont vues, des signes et des miracles, de la main forte, et du bras étendu par lequel l'Éternel ton Dieu t'a fait sortir d'Égypte; c'est ainsi que l'Éternel ton Dieu traitera tous les peuples que tu crains.
Mateso makuu ambayo macho yenu yaliona, ishara, maajabu, mkono wa uweza, mkono ulionyoshwa ambao Yahwe Mungu wenu alivyowatoa. Yahwe Mungu wenu atafanya kile kile kwa watu wote ambao mnawaogopa.
20 Et même, l'Éternel ton Dieu enverra contre eux les frelons, jusqu'à ce que ceux qui resteront et ceux qui se cacheront aient péri de devant toi.
Zaidi ya yote, Yahwe Mungu wenu atatuma nyigu miongoni mwao, mpaka wale waliobaki na wale wanaojificha wenyewe mbele yenu waangamizwa mbele ya uwepo wenu.
21 Ne t'effraie point à cause d'eux; car l'Éternel ton Dieu est, au milieu de toi, un Dieu grand et terrible.
Hamtatishikeni nao, kwa kuwa Yahwe Mungu wenu yuko miongoni mwenu, Mungu mkuu na wa kuogofya.
22 Cependant, l'Éternel ton Dieu ôtera ces nations de devant toi peu à peu; tu ne pourras pas en venir à bout promptement, de peur que les bêtes des champs ne se multiplient contre toi;
Yahwe Mungu wenu atayaondoa mataifa mbele zenu kidogo kidogo. Hamtayashinda yote kwa wakati mmoja, au wanyama wa mwitu watakuwa wengi karibu yenu.
23 Mais l'Éternel ton Dieu te les livrera, et les effraiera d'un grand effroi, jusqu'à ce qu'elles soient exterminées.
Lakini Yahwe Mungu wenu atawapa ninyi ushindi dhidi yao wakati mkutanapo vitani; atawachanganya kwa kiasi kikubwa mpaka wameangamizwa.
24 Et il livrera leurs rois entre tes mains, et tu feras périr leur nom de dessous les cieux; nul ne pourra subsister devant toi, jusqu'à ce que tu les aies exterminés.
Atawaweka wafalme wao chini ya utawala wenu, na mtafanya jina lao kuangamia toka chini ya mbingu. Hakuna atakayeweza kusimama mbele yenu, mpaka muwaangamize.
25 Vous brûlerez au feu les images taillées de leurs dieux. Tu ne convoiteras point et ne prendras point pour toi l'argent et l'or qui seront sur elles, de peur que ce ne soit un piège pour toi; car c'est l'abomination de l'Éternel ton Dieu.
Utazichoma sanamu za kuchonga za miungu yao- usitamani madini ya fedha au dhahabu yanayofunika na kuichukua kwa ajili yenu, kwa sababu mkifanya, mtanaswa nayo-kwa kuwa ni chukizo kwa Yahwe Mungu wenu.
26 Tu n'introduiras donc point dans ta maison de chose abominable, afin que tu ne deviennes pas, comme elle, un interdit; tu l'auras en horreur et en abomination; car c'est un interdit.
Hamtaleta chukizo lolote ndani ya nyumba zenu na kuanza kuiabudu. Mtachukizwa kabisa na kuchukia kwa kuwa imetengwa kwa ajili ya uharibifu.

< Deutéronome 7 >