< Deutéronome 6 >

1 Or, voici les commandements, les statuts et les ordonnances que l'Éternel votre Dieu a commandé de vous enseigner, afin que vous les pratiquiez, dans le pays où vous allez passer pour en prendre possession;
Sasa haya ni maagizo, amri, na sheria ambazo Yahwe Mungu wetu ameniamuru mimi kuwafundisha ninyi, ili kwamba muweze kuzishika katika nchi ambayo mnaenda ng'ambo ya pili ya Yordani kumiliki,
2 Afin que tu craignes l'Éternel ton Dieu, en gardant, tous les jours de ta vie, toi, ton fils, et le fils de ton fils, tous ses statuts et ses commandements que je te prescris, et afin que tes jours soient prolongés.
ili kwamba mpate kumheshimu Yahwe wenu, ili muzishike amri zake zote na maagizo ninayowaamuru-ninyi, wana wenu na wana wa wana wenu, siku zenu zote za maisha, ili kwamba siku zenu ziongezeke.
3 Tu les écouteras donc, ô Israël, et tu prendras garde de les pratiquer, afin que tu sois heureux, et que vous multipliiez beaucoup au pays où coulent le lait et le miel, comme l'Éternel, le Dieu de tes pères, te l'a dit.
Kwa hiyo wasikilizeni, Israeli, na kuzishika ili kwamba iweze kuwa vizuri kwenu, ili kusudi muweze kuzidi mno kwenye nchi itiririkayo maziwa na asali, kama Yahwe Mungu wa Baba zenu, amewaahidi atafanya.
4 Écoute, Israël! l'Éternel notre Dieu est le seul Éternel.
Sikiliza, Israel: Yahwe Mungu wetu ni mmoja.
5 Tu aimeras donc l'Éternel ton Dieu, de tout ton cœur, de toute ton âme, et de toute ta force;
Mtampenda Yahwe Mungu wenu kwa moyo wenu wote, kwa roho zenu zote, na kwa akili zenu zote.
6 Et ces commandements que je te prescris aujourd'hui, seront dans ton cœur;
Maneno ninayowaamuru ninyi leo yatakuwa katika moyo wenu;
7 Tu les inculqueras à tes enfants, et tu en parleras quand tu te tiendras dans ta maison, quand tu marcheras en chemin, quand tu te coucheras, et quand tu te lèveras;
na mtayafundisha kwa bidii kwa watoto wenu, mtayazungumza wakati mkaapo katika nyumba zenu, wakati mlalapo, na wakati mwinukapo.
8 Et tu les lieras comme un signe sur ta main, et ils seront comme des fronteaux entre tes yeux;
Utazifunga kama ishara juu ya mkono wako, nayo yatakuwa utepe kati ya macho yako.
9 Tu les écriras aussi sur les poteaux de ta maison, et sur tes portes.
Utaziandika kwenye miimo ya mlango ya nyumba yako na kwenye malango.
10 Or, quand l'Éternel ton Dieu t'aura fait entrer dans le pays qu'il a juré à tes pères, Abraham, Isaac et Jacob, de te donner, dans de grandes et bonnes villes que tu n'as point bâties;
Wakati Yahwe Mungu wako akuleta kwenye nchi ambayo aliaapa kwa baba zako, Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwamba angekupa, pamoja na miji mikubwa na mizuri ambayo hamkuijenga,
11 Dans des maisons pleines de toute sorte de biens, que tu n'as point remplies; vers des puits creusés, que tu n'as point creusés; vers des vignes et des oliviers, que tu n'as point plantés; et que tu mangeras, et seras rassasié;
na nyumba zilizojaa kila aina ya vitu vizuri ambavyo hamkuzifanya, visima ambavyo hamkuvichimba, mashamba na miti ya mizeituni ambayo hamkuipanda, mtakula na kutosheka-
12 Prends garde à toi, de peur que tu n'oublies l'Éternel, qui t'a retiré du pays d'Égypte, de la maison de servitude.
basi iweni makini ili kwamba msije kumsahau Yahwe, aliyewaleta toka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
13 Tu craindras l'Éternel ton Dieu, et tu le serviras, et tu jureras par son nom.
Mtamheshimu Yahwe Mungu wenu, yeye mtamwabudu, na mtaapa kwa jina lake.
14 Vous n'irez point après d'autres dieux, d'entre les dieux des peuples qui seront autour de vous,
Hamtawaendea miungu mingine, miungu ya watu wanaowazunguka wote-
15 Car l'Éternel ton Dieu est, au milieu de toi, un Dieu jaloux; de peur que la colère de l'Éternel ton Dieu ne s'embrase contre toi, et qu'il ne t'extermine de dessus la terre.
kwa kuwa Yahwe Mungu wenu katikati yenu ni Mungu wa wivu- kama mtafanya, hasira ya Yahwe Mungu wenu atawasha dhidi yenu na atawaangamiza kutoka kwenye uso wa dunia.
16 Vous ne tenterez point l'Éternel votre Dieu, comme vous le tentâtes à Massa.
Hamtamjaribu Yahwe Mungu wenu kama mlivyomjaribu huko Massah.
17 Vous garderez soigneusement les commandements de l'Éternel votre Dieu, et ses lois et ses statuts qu'il t'a prescrits.
Kwa bidii mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, maagizo yake makini, na amri ambazo amewaamuru.
18 Tu feras donc ce qui est droit et bon aux yeux de l'Éternel, afin que tu sois heureux, et que tu entres, et possèdes le bon pays que l'Éternel a juré à tes pères de te donner,
Mtafanya kile kilicho sahihi na kizuri katika macho ya Yahwe, kwamba iwe vizuri kwenu, na kwamba muweze kuingia na kumiliki nchi nzuri ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu,
19 En chassant tous tes ennemis devant toi, comme l'Éternel l'a dit.
kuwaondoa maadui zenu wote mbele zenu, kama Yahwe alivyosema.
20 Quand ton enfant t'interrogera demain, en disant: Que veulent dire les préceptes, et les statuts et les ordonnances que l'Éternel notre Dieu vous a prescrits?
Wakati mwana wako auliza kwa wakati unaokuja, kusema,”Ni zipi amri za gano, sheria, na amri zingine ambazo Yahwe Mungu wetu alituamuru?
21 Tu diras à ton enfant: Nous avons été esclaves de Pharaon en Égypte, et l'Éternel nous a retirés d'Égypte à main forte;
Basi utasema kwa mwana wako, tulikuwa watumwa wa Farao huko Misri, Yahwe alitutoa Misri kwa mkono wa uweza,
22 Et l'Éternel a fait sous nos yeux, des signes et des miracles, grands et désastreux, contre l'Égypte, contre Pharaon et contre toute sa maison;
na alionesha ishara na maajabu, makuu na makali, Misri kwa Farao, na kwa nyumba yake yote, mbele ya macho yenu,
23 Et il nous a fait sortir de là, afin de nous amener au pays qu'il avait juré à nos pères de nous donner.
na alitutoa kutoka huko, ili kwamba atulete ndani, kutupa nchi ambayo aliaapa kwa baba zetu.
24 Et l'Éternel nous a commandé de pratiquer tous ces statuts, en craignant l'Éternel notre Dieu, afin que nous soyons toujours heureux, et qu'il préserve notre vie, comme aujourd'hui.
Yahwe alituamuru daima kuzishika amri hizi, kumuogopa Yahwe Mungu wetu kwa uzuri wetu, ili kwamba atuweke hai, kama tulivyo leo.
25 Et nous posséderons la justice, quand nous prendrons garde de pratiquer tous ces commandements devant l'Éternel notre Dieu, comme il nous l'a ordonné.
Kama tutashika maagizo haya yote mbele ya Yahwe Mungu wetu kama alivyotuamuru, hii itakuwa haki yetu.

< Deutéronome 6 >