< 2 Chroniques 19 >

1 Josaphat, roi de Juda, revint sain et sauf dans sa maison, à Jérusalem.
Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
2 Mais Jéhu, fils de Hanani, le Voyant, sortit au-devant du roi Josaphat, et lui dit: Est-ce le méchant qu'il faut aider? Sont-ce les ennemis de l'Éternel que tu aimes? A cause de cela, l'Éternel est irrité contre toi.
Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
3 Mais il s'est trouvé de bonnes choses en toi, car tu as ôté du pays les emblèmes d'Ashéra, et tu as appliqué ton cœur à rechercher Dieu.
Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
4 Et Josaphat habita à Jérusalem. Puis, de nouveau, il sortit parmi le peuple, depuis Béer-Shéba jusqu'à la montagne d'Éphraïm, et il les ramena à l'Éternel, le Dieu de leurs pères.
Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
5 Il établit aussi des juges dans le pays, dans toutes les villes fortes de Juda, dans chaque ville.
Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
6 Et il dit aux juges: Regardez à ce que vous ferez; car ce n'est pas pour l'homme que vous jugerez, mais pour l'Éternel, qui sera avec vous quand vous jugerez.
Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
7 Maintenant, que la crainte de l'Éternel soit sur vous; prenez garde à ce que vous ferez; car il n'y a point d'iniquité dans l'Éternel notre Dieu, ni d'acception de personnes, ni d'acceptation de présents.
Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
8 Josaphat établit aussi à Jérusalem des Lévites, et des sacrificateurs, et des chefs des pères d'Israël, pour le jugement de l'Éternel, et pour les contestations. Et on revint à Jérusalem.
Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
9 Et il leur donna des ordres, en disant: Vous agirez ainsi dans la crainte de l'Éternel, avec fidélité et avec intégrité de cœur.
Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
10 Et pour les différends qui viendront devant vous, de la part de vos frères qui habitent dans leurs villes, qu'il s'agisse d'un meurtre, d'une loi, d'un commandement, de statuts ou d'ordonnances, vous les éclairerez, afin qu'ils ne se rendent pas coupables envers l'Éternel, et qu'il n'y ait point de courroux sur vous et sur vos frères. Vous agirez ainsi, et vous ne serez point trouvés coupables.
Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
11 Et voici, Amaria, le principal sacrificateur, est préposé sur vous pour toutes les affaires de l'Éternel, et Zébadia, fils d'Ismaël, prince de la maison de Juda, pour toutes les affaires du roi; et pour secrétaires vous avez devant vous les Lévites. Fortifiez-vous et agissez; et que l'Éternel soit avec l'homme de bien!
Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”

< 2 Chroniques 19 >