< 1 Chroniques 22 >

1 Or David dit: Ici sera la maison de l'Éternel Dieu, et ici sera l'autel des holocaustes pour Israël.
Kisha Daudi akasema, “Hapo ndipo nyumba ya Yahweh Mungu itakuwepo, na madhabahu ya sadaka za kuteketezwa za Israeli.”
2 Et David dit de rassembler les étrangers qui étaient dans le pays d'Israël, et il établit des tailleurs de pierres pour tailler les pierres de taille, pour bâtir la maison de Dieu.
Hivyo Daudi akaagiza watumishi wake wawakusanye pamoja wageni wote wanao ishi katika nchi ya Israeli. Aliwapangia kuwa wachonga mawe, kuchonga matofali ya mawe, ilikuweza kujenga nyumba ya Mungu.
3 David prépara aussi du fer en abondance, pour les clous des battants des portes, et pour les assemblages, une quantité d'airain, d'un poids incalculable,
Daudi alisambaza idadi kubwa ya chuma kwa ajili ya misumari na vitasa vya kuweka kwenye malango. Pia alitoa shaba zaidi kushinda kipimo,
4 Et des bois de cèdre sans nombre; car les Sidoniens et les Tyriens avaient amené à David des bois de cèdre en abondance.
na miti ya mierezi zaidi ya kipimo. (Wasidoni na Watiria walileta mboa nyingi za mierezi kwa Daudi azihesabu.)
5 Et David disait: Salomon, mon fils, est jeune et d'un âge tendre, et la maison qu'il faut bâtir à l'Éternel doit s'élever très haut en renom et en gloire dans tous les pays; je veux donc faire pour lui des préparatifs. Et David fit des préparatifs en abondance, avant sa mort.
Daudi akasema, “Mwanangu Sulemani ni mdogo na hana uzoefu, na nyumba itayo jengwa kwa Yahweh lazima iwe maridadi, ilikwamba iwe maarufu na ya utukufu kwa nchi zingine. Hivyo nitaanda ujenzi wake.” Hivyo Daudi akafanya maandalizi ya kina kabla ya mauti yake.
6 Puis il appela Salomon, son fils, et lui commanda de bâtir une maison à l'Éternel, le Dieu d'Israël.
Akaagiza Sulemani mwanae kuitwa na kumuamuru ajenge nyumba ya Yahweh, Mungu wa Israeli.
7 David dit donc à Salomon: Mon fils, j'avais moi-même dessein de bâtir une maison au nom de l'Éternel mon Dieu.
Daudi akasema kwa Sulemani, “Mwanangu, ilikuwa dhamira yangu kujenga nyumba mwenyewe, kwa ajili ya jina la Yahweh Mungu wangu.
8 Mais la parole de l'Éternel me fut adressée, en ces termes: Tu as répandu beaucoup de sang, et tu as fait de grandes guerres; tu ne bâtiras point une maison à mon nom, car tu as répandu beaucoup de sang sur la terre devant moi.
Lakini Yahweh alikuja kwangu na kusema, 'Wewe umemwaga damu nyingi na umepigana mapambono mengi. Hauta jenga nyumba kwa jina langu, kwasababu umemwaga damu nyingi kwenye ardhi machoni pangu.
9 Voici, un fils va te naître, qui sera un homme de repos, et je lui donnerai du repos de la part de tous ses ennemis, tout autour, car son nom sera Salomon (le Pacifique), et je donnerai la paix et la tranquillité à Israël pendant sa vie.
Walakini, utapata mwana ambaye atakuwa mtu wa amani. Nitampa kupumzika na maadui zake kwa kila upande. Kwa kuwa jina lake litaitwa Sulemani, na nitatoa amani na utulivu kwa Israeli katika siku zake.
10 C'est lui qui bâtira une maison à mon nom. Il sera pour moi un fils, et je serai pour lui un père; et j'affermirai le trône de son règne sur Israël, à jamais.
Ata jenga nyumba kwa jina langu. Ata kuwa mwana wangu, na nitakuwa baba yake. Nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake juu ya Israeli.
11 Maintenant, mon fils, que l'Éternel soit avec toi, pour que tu prospères, et que tu bâtisses la maison de l'Éternel ton Dieu, ainsi qu'il l'a dit de toi.
Sasa, mwanangu, Yahweh awe nawe na kukuwezesha kufanikiwa. Uweze kujenga nyumba ya Yahweh Mungu wako, kama alivyo sema utajenga.
12 Que l'Éternel seulement te donne de la sagesse et de l'intelligence, et qu'il te fasse régner sur Israël, et garder la loi de l'Éternel ton Dieu.
Yahweh tu akupe uwelewa na ufahamu, ili utii sheria ya Yahweh Mungu wako, ata kapokuweka kiongozi juu ya Israeli.
13 Alors tu prospéreras, si tu prends garde à pratiquer les lois et les ordonnances que l'Éternel a prescrites à Moïse pour Israël. Fortifie-toi et sois ferme; ne crains point et ne t'effraye point.
Kisha utafanikiwa, kama tu ukitii maagizo na amri Yahweh alizo mpa Musa kuhusu Israeli. Kuwa hodari na mshujaa. Usiogope wala kufadhaika.
14 Voici, selon ma petitesse, j'ai préparé pour la maison de l'Éternel cent mille talents d'or et un million de talents d'argent; quant à l'airain et au fer, il est sans poids, car il y en a en abondance. J'ai aussi préparé du bois et des pierres, et tu en ajouteras encore.
Sasa, ona, kwa bidii kubwa nimeandaa kwa ajili ya nyumba ya Yahweh talanta 100, 000 za dhahabu, talanta milioni moja za fedha, na shaba na chuma katika idadi kubwa. Pia nimetoa mbao na mawe. Lazima uongeze zaidi katika haya.
15 Tu as avec toi un grand nombre d'ouvriers, des maçons, des tailleurs de pierres, des charpentiers, et toute espèce de gens experts en toute sorte d'ouvrages.
Una wafanya kazi wengi: wachonga mawe, maseremala, wanaume wenye ujuzi mbali mbali,
16 L'or, l'argent, l'airain et le fer sont sans nombre; lève-toi et agis, et que l'Éternel soit avec toi!
wenye uwezo wa kufanya kazi na dhahabu, fedha, shaba, na nishati. Hivyo anza kufanya kazi, na Yahweh awe nawe.
17 David commanda aussi à tous les chefs d'Israël d'aider Salomon, son fils, et il leur dit:
Daudi akawaagiza viongozi wote Waisraeli wamsaidie Sulemani mwanae, akisema,
18 L'Éternel votre Dieu n'est-il pas avec vous, et ne vous a-t-il pas donné du repos de tous côtés? Car il a livré entre mes mains les habitants du pays, et le pays est assujetti devant l'Éternel et devant son peuple.
“Yahweh Mungu wenu yupo nanyi na amewapa amani kila pande. Amewakabidhi mikononi mwangu wenyeji wote mkoa. Mkoa umetiishwa mbele za Yahweh na watu wake.
19 Maintenant appliquez votre cœur et votre âme à rechercher l'Éternel, votre Dieu; levez-vous, et bâtissez le sanctuaire de l'Éternel Dieu, afin d'amener l'arche de l'alliance de l'Éternel et les ustensiles consacrés à Dieu, dans la maison qui doit être bâtie au nom de l'Éternel.
Sasa mtafuteni Yahweh Mungu wenu kwa moyo wenu wote na nafsi. Simameni na mjenge sehemu takatifu ya Yahweh Mungu. Kisha mwaweza kuleta sanduku la agano la Yahweh na vitu vya Mungu ndani ya nyumba iliyo jengwa kwa ajili ya jina la Yahweh.

< 1 Chroniques 22 >