< 1 Chroniques 21 >

1 Or Satan s'éleva contre Israël, et incita David à faire le dénombrement d'Israël.
Adui akainuka dhidi ya Israeli na kumchochea Daudi kuhesabu Israeli.
2 Et David dit à Joab et aux chefs du peuple: Allez, faites le dénombrement d'Israël, depuis Béer-Shéba jusqu'à Dan, et rapportez-le-moi, afin que j'en sache le nombre.
Daudi akamwabia Yoabu na kwa wakuu wa Jeshi, “Nenda, wahesabu watu wa Israeli kutoka Beerisheba mpaka Dani na uniletee taarifa, ilinijue idadi yao.”
3 Mais Joab répondit: Que l'Éternel veuille augmenter son peuple cent fois autant qu'il est! O roi mon seigneur, ne sont-ils pas tous serviteurs de mon seigneur? Pourquoi mon seigneur cherche-t-il cela? Et pourquoi Israël en serait-il coupable?
Yoabu akasema, “Yahweh na afanya jeshi lake mara mia zaidi ya lilivyo. Lakini bwana wangu mfalme, kwani wote hawamtumikii bwana wangu? kwa nini bwana wangu anataka hili? Kwa nini ulete hatia kwa Israeli?”
4 Cependant la parole du roi prévalut sur Joab; et Joab partit, et parcourut tout Israël; puis il revint à Jérusalem.
Lakini neno la mfalme halikubadilika kwa Yoabu. Hivyo Yoabu akaondoka na kwenda Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.
5 Et Joab donna à David le rôle du dénombrement du peuple, et il se trouva de tout Israël onze cent mille hommes tirant l'épée; et de Juda quatre cent soixante et dix mille hommes tirant l'épée;
Yoabu akatoa taarifa ya idadi ya jumla ya wanaume wa mapambano kwa Daudi. Kulikuwa ndani ya Israeli wanaume 1, 100, 000 walio beba upanga. Yuda peke yake kulikuwa na wanajeshi 470, 000.
6 Il ne recensa point parmi eux Lévi et Benjamin; car l'ordre du roi était une abomination pour Joab.
Lakini Levi na Benjamini hawaku hesabiwa miongoni mwao, kwa kuwa amri ya mfalme ilimuudhi Yoabu.
7 Or cette affaire déplut à Dieu, qui frappa Israël.
Mungu alikwazika na hili tendo, akashambulia Israeli.
8 Et David dit à Dieu: J'ai commis un grand péché en faisant cela! Et maintenant, fais passer, je te prie, l'iniquité de ton serviteur; car j'ai agi très follement.
Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya hili. Sasa chukua hatia ya mtumishi wako, nimetenda kwa ujinga sana.”
9 Alors l'Éternel parla à Gad, le Voyant de David, en disant:
Yahweh akamwambia Gadi, nabii wa Daudi,
10 Va, parle à David, et dis-lui: Ainsi a dit l'Éternel: J'ai trois choses à te proposer; choisis l'une d'elles, afin que je te la fasse.
“Nenda useme kwa Daudi, “Hili ndilo Yahweh anasema: Ninakupa maamuzi matatu. Chagua moja wapo.”
11 Gad vint donc vers David, et lui dit: Ainsi a dit l'Éternel:
Hivyo Gadi akaenda kwa Daudi na kusema, “Yahweh anasema hivi, 'Chagua moja ya haya:
12 Accepte, ou trois années de famine, ou trois mois de défaites devant tes adversaires, atteint par l'épée de tes ennemis, ou pendant trois jours l'épée de l'Éternel et la peste dans le pays, et l'ange de l'Éternel exerçant la destruction dans tout le territoire d'Israël. Vois maintenant ce que je dois répondre à celui qui m'envoie.
kati ya miaka mitatu ya ukame, miezi mitatu unakimbizwa na adui zako na kupatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Yahweh, yani, pigo katika nchi, malaika wa Yahweh akiharibu nchi yote ya Israeli.' Hivyo sasa, amua jibu gani ni mpelekee yeye aliye nituma.”
13 Et David répondit à Gad: Je suis dans une grande angoisse. Que je tombe, je te prie, entre les mains de l'Éternel; car ses compassions sont en très grand nombre; et que je ne tombe pas entre les mains des hommes!
Kisha Daudi akamwambia Gadi, “Nipo katika shida kubwa sana. Acha nianguke katika mikono ya Yahweh kuliko kuangukia mikono ya mwanadamu, sababu matendo yake ya rehema ni makubwa mno.”
14 Alors l'Éternel envoya la peste sur Israël, et il tomba soixante et dix mille hommes d'Israël.
Hivyo Yahweh akatuma pigo Israeli, na watu elfu sabini wakafa.
15 Dieu envoya aussi un ange à Jérusalem pour la ravager. Et comme il ravageait, l'Éternel regarda, et se repentit de ce mal, et il dit à l'ange qui ravageait: Assez! Retire maintenant ta main. Or l'ange de l'Éternel se tenait près de l'aire d'Ornan, le Jébusien.
Mungu akatuma malaika Yerusalemu kuiharibu. Wakati alipo taka kuiharibu, Yahweh akatazama na kubadili nia yake kuhusu shambulio. Akasema kwa malaika wa uharibifu, “Imetosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Yahweh alikua amesimama eneo la kupeta la Orinani Myebusi.
16 Et David leva les yeux et vit l'ange de l'Éternel se tenant entre la terre et le ciel, ayant en sa main son épée nue étendue sur Jérusalem. Et David et les anciens, couverts de sacs, tombèrent sur leurs faces.
Daudi akatazama juu na kuona malaika wa Yahweh amesimama kati ya nchi na mbingu, akiwa na upanga mkonono mwake akiuelekeza Yerusalemu. Kisha Daudi na wazee, wakiwa wamevaa magunia, wakalala chini uso ukiwa kwenye ardhi.
17 Et David dit à Dieu: N'est-ce pas moi qui ai commandé qu'on fît le dénombrement du peuple? C'est moi qui ai péché et qui ai très mal agi; mais ces brebis, qu'ont-elles fait? Éternel, mon Dieu! que ta main soit sur moi, je te prie, et sur la maison de mon père, mais qu'elle ne soit pas sur ton peuple, pour le frapper!
Daudi akamwambia Mungu, “Sio mimi niliye amuru jeshi kuhesabiwa? Nimefanya hichi kitu kiovu. Lakini hawa kondoo, wamefanya nini? Yahweh Mungu wangu! Acha mkono wako unipige mimi na familia yangu, lakini usiache pigo iliendelee kubaki kwa watu wako.”
18 Et l'ange de l'Éternel dit à Gad de dire à David, qu'il montât pour dresser un autel à l'Éternel, dans l'aire d'Ornan, le Jébusien.
Hivyo malaika wa Yahweh akamuamuru Gadi kusema kwa Daudi, kwamba Daudi aende juu na kujenga madhabahu ya Yahweh katika eneo la kupeta la Oranani Myebusi.
19 David monta donc, selon la parole que Gad avait dite au nom de l'Éternel.
Daudi akaenda kama Gadi alivyo muelekeza cha kufanya kwa jina la Yahweh.
20 Or Ornan, s'étant retourné, avait vu l'ange, et ses quatre fils s'étaient cachés avec lui. Ornan foulait du froment.
Wakati Orinani akipepeta ngano, aligeuka na kumuona malaika. Yeye na wana wake wanne wakajificha.
21 Et David vint vers Ornan; et Ornan regarda, et, ayant vu David, il sortit de l'aire, et se prosterna devant David, le visage contre terre.
Wakati Daudi alipo kuja kwa Orinani, Orinani akatazama na kumuona Daudi. Aliacha eneo la kupeta na akamuinamia Daudi uso wake ukiwa kwenye ardhi.
22 Alors David dit à Ornan: Donne-moi la place de cette aire, et j'y bâtirai un autel à l'Éternel; donne-la-moi pour le prix qu'elle vaut, afin que cette plaie soit arrêtée de dessus le peuple.
Kisha Daudi akasema kwa Orinani, “Niuzie hili eneo la kupeta, iliniweze kumjenga Yahweh madhabahu. Nitalipa gharama yote, ili pigo liondolewe kwa watu.”
23 Mais Ornan dit à David: Prends-la, et que le roi mon seigneur fasse ce qui lui semblera bon. Voici, je donne les bœufs pour les holocaustes, les instruments à fouler le blé, au lieu de bois, et le froment pour l'offrande; je donne tout cela.
Orinani wakwambia Daudi, “Chukuwa kama lako, bwana wangu mfalme. Fanya nalo linalo kupendeza. Tazama, nitakupa ng'ombe kwa sadaka ya kuteketeza, vifaa vya kupeta kwa ajili ya mbao, na ngano kwa sadaka ya mbegu; nitakupa yote wewe.”
24 Le roi David dit à Ornan: Non, mais je veux l'acheter ce que cela vaut; car je ne présenterai point à l'Éternel ce qui est à toi, et je n'offrirai point un holocauste qui ne me coûte rien.
Mfalme Daudi akamwambia Orinani, “Hapana, nina sisitiza kununua kwa bei yote. Sitachukua kilicho chako na kutoa kama sadaka ya kuteketeza kwa Yahweh kama haitanighramu chochote.”
25 David donna donc à Ornan pour cette place, en sicles d'or, le poids de six cents sicles.
Hivyo Daudi akalipa shekeli mia sita ya dhahabu kwa hilo eneo.
26 Et David bâtit là un autel à l'Éternel, offrit des holocaustes et des sacrifices de prospérités, et invoqua l'Éternel, qui lui répondit par le feu qui descendit du ciel sur l'autel de l'holocauste.
Daudi akajenga madhabahu ya Yahweh pale na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za ushirika. Akamuita Yahweh, aliye mjibu kwa moto kutoka mbinguni kwenye madhabahu ya sadaka za kuteketezwa.
27 Alors l'Éternel parla à l'ange, qui remit son épée dans le fourreau.
Kisha Yahweh akampa agizo malaika, na malaika akarudisha upanga kwenye mfuko wake.
28 En ce temps-là, David, voyant que l'Éternel l'avait exaucé dans l'aire d'Ornan, le Jébusien, y offrait des sacrifices.
Daudi alipo ona kuwa Yahweh amemjibu kwenye eneo la kupeta la Orinani Myebusi, alitoa dhabihu pale pale kwa wakati huo.
29 Mais la Demeure de l'Éternel, que Moïse avait faite au désert, et l'autel des holocaustes, étaient, en ce temps-là, sur le haut lieu de Gabaon.
Sasa kwa wakati huo, hema la kuabudia la Yahweh, ambalo Musa alilitengeneza nyikani, na madhabahu ya sadaka za kuteketezwa, zilikuwa sehemu ya juu huko Gibeoni.
30 Et David ne put pas aller devant cet autel pour chercher Dieu, parce qu'il était épouvanté à cause de l'épée de l'ange de l'Éternel.
Walakini, Daudi hakuweza kwenda huko kumuliza Mungu muelekeo, kwa kuwa alikuwa anaogopa upanga wa malaika wa Yahweh.

< 1 Chroniques 21 >