< 1 Chroniques 19 >

1 Il arriva, après cela, que Nachash, roi des enfants d'Ammon, mourut; et son fils régna à sa place.
Ikajakuwa baadae kwamba Nahashi, mfalme wa watu wa Amoni, akafa, na mwanae akawa mfalme baada yake.
2 Et David dit: J'userai de bonté envers Hanun, fils de Nachash; car son père a usé de bonté envers moi. David envoya donc des messagers pour le consoler au sujet de son père; et les serviteurs de David vinrent au pays des enfants d'Ammon vers Hanun, pour le consoler.
Daudi akasema, “Nitaonyesha ukarimu kwa mwana wa Hanuni wa Nahashi, kwasababu baba yake alionyesha ukarimu kwangu.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe kumfariji kuhusu baba yake. Watumishi wa Daudi wakaingia nchi ya Waamoni na kumfuata Hanuni, ilikumfariji.
3 Mais les chefs des enfants d'Ammon dirent à Hanun: Penses-tu que ce soit pour honorer ton père, que David t'envoie des consolateurs? N'est-ce pas pour examiner la ville et pour la détruire, et pour explorer le pays, que ses serviteurs sont venus auprès de toi?
Lakini viongozi wakamwambia Hanuni, “Unadhani Daudi anamheshimu baba yako sababu ametuma watu kukufaraji? Je watumishi wake hawajaja kutadhimini nchi iliwaipindue?
4 Alors Hanun prit les serviteurs de David, les fit raser, et fit couper leurs habits par le milieu, jusqu'au haut des jambes, et les renvoya.
Hanuni akawakamata watumishi wa Daudi, akawanyoa, akakata mavazi ya nusu kwenye kiuno kushuka, na kuwarudisha.
5 Cependant on vint informer David de ce qui était arrivé à ces hommes, et il envoya à leur rencontre, car ces hommes étaient fort confus; et le roi leur fit dire: Restez à Jérico jusqu'à ce que votre barbe ait repoussé, et alors vous reviendrez.
Walipo eleza haya kwa Daudi, alienda kukutana nao, kwa kuwa walifedheeka sana. Mfalme akasema, “Bakini Yeriko hadi ndevu zenu ziote tena, kisha mrudi.”
6 Or les enfants d'Ammon virent qu'ils s'étaient mis en mauvaise odeur auprès de David. Hanun et les enfants d'Ammon, envoyèrent donc mille talents d'argent, pour prendre à leur solde des chars et des cavaliers chez les Syriens de Mésopotamie, et chez les Syriens de Maaca et de Tsoba;
Waamoni walipoona wamekuwa kikwazo kwa Daudi, Hanuni na Waamoni walituma talanta elfu moja za fedha kukodisha magari ya farasi kwa Waaremei na wanaume wa farasi kutoka Naharaimu, Maka, na Zoba.
7 Et ils prirent à leur solde trente-deux mille chars, et le roi de Maaca avec son peuple, lesquels vinrent et campèrent devant Médéba. Les enfants d'Ammon se rassemblèrent aussi de leurs villes, et vinrent pour combattre.
Waliwakodishia magari ya farasi elfu thelathini na mbili pamoja na mfalme wa Maka na watu wake, walio kuja na kueka kambi mbele ya Medeba. Waamoni walijikusanya pamoja kutoka miji yao, na wakaja kwa vita.
8 David l'apprit, et il envoya Joab et toute l'armée, les hommes vaillants.
Daudi alipo sikia, alimtuma Yoabu na wanajeshi wake wote.
9 Et les enfants d'Ammon sortirent et se rangèrent en bataille à l'entrée de la ville; et les rois qui étaient venus, étaient à part dans la campagne.
Watu wa Amoni walikuja na kupanga mstari kwa ajili ya pambano katika lango la mji, wafalme waliokuja walikuwa peke yao katika shamba.
10 Alors Joab, voyant que l'armée était tournée contre lui devant et derrière, choisit, de toutes les troupes d'élite d'Israël, des gens qu'il rangea contre les Syriens;
Yoabu alipoona mistari ya pambano imemzunguka mbele na nyuma, alichagua wapambanaji shupavu wa Israeli na kuwa panga dhidi ya Waaremi.
11 Et il donna la conduite du reste du peuple à Abishaï, son frère; et ils se rangèrent contre les enfants d'Ammon.
Wanajeshi wengine wote, aliwaeka chini ya Abishai kaka yake, akawapanga kwa mstari dhidi ya Amoni.
12 Et il dit: Si les Syriens sont plus forts que moi, tu viendras à mon secours; et si les enfants d'Ammon sont plus forts que toi, je te délivrerai.
Yoabu akasema, “Kama Waaremi wananguvu kunizidi, kisha wewe, Abishai, lazima uniokoe. Lakini kama jeshi la Waamoni lina nguvu kukuzidi, nitakuja kukuokoa.
13 Sois ferme, et montrons-nous vaillants pour notre peuple, et pour les villes de notre Dieu; et que l'Éternel fasse ce qui lui semblera bon!
Kuwa thabiti, natujionyeshe kwa watu wetu kuwa ni wenye nguvu na kwa miji ya Mungu wetu, kwa kuwa Yahweh ata fanya lililo jema kwa kusudi lake.”
14 Alors Joab, et le peuple qui était avec lui, s'approchèrent pour livrer bataille aux Syriens, et ils s'enfuirent devant lui.
Hivyo Yoabu na wanajeshi wasogea kwenye pambano dhidi ya Waaremi, walio lazimika kukimbia mbele ya jeshi la Waisraeli.
15 Et les enfants d'Ammon, voyant que les Syriens s'étaient enfuis, s'enfuirent aussi devant Abishaï, frère de Joab, et rentrèrent dans la ville. Et Joab revint à Jérusalem.
Jeshi la Waamoni walipoona kuwa Waaremi wamekimbia, wao pia wakamkimbia kaka yake Yoabu Abishai na kurudi mjini. Kisha Yoabu akarudi kutoka kwa watu wa Amoni na kurudi Yerusalemu.
16 Les Syriens, voyant qu'ils avaient été battus par Israël, envoyèrent des messagers, et firent venir les Syriens qui étaient de l'autre côté du fleuve; et Shophac, chef de l'armée de Hadarézer, était à leur tête.
Waaremi walipoona kuwa wanashindwa na Waisraeli, wakatuma msaada nyuma ya Mto Frati, na Shofaki mkuu wajeshi la Hadadezeri.
17 Cela fut rapporté à David, qui rassembla tout Israël, passa le Jourdain, vint vers eux, et se rangea en bataille contre eux. David rangea donc son armée en bataille contre les Syriens, et ils combattirent contre lui.
Daudi alipo ambiwa haya, akakusanya Israeli yote, akuvuka Yordani, na kuja juu yao. Alipanga jeshi kwa ajili ya pambano dhidi ya Waaremi, na wakapigana nao.
18 Mais les Syriens s'enfuirent devant Israël; et David tua aux Syriens les combattants de sept mille chars, et quarante mille hommes de pied, et mit à mort Shophac, chef de l'armée.
Waaremi waliwakimbia Waisraeli, na Daudi akaua waendesha magari ya farasi ya Waaremi elfu saba na wanajeshi wa miguu elfu arobaini. Pia alimuua Shopaki, mkuu wa jeshi.
19 Et les serviteurs de Hadarézer, voyant qu'ils avaient été battus par Israël, firent la paix avec David, et lui furent assujettis. Et les Syriens ne voulurent plus secourir les enfants d'Ammon.
Wafalme wote walio kuwa watumishi wa Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, walifanya amani na Daudi na kumtumikia. Hivyo watu wa Aramu hawakuwa tayari kuwasaidia Waamoni.

< 1 Chroniques 19 >