< 1 Chroniques 12 >

1 Voici ceux qui allèrent à Tsiklag, vers David, lorsqu'il était encore éloigné de la présence de Saül, fils de Kis. Ils faisaient partie des hommes vaillants qui l'aidaient à la guerre,
Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
2 Armés de l'arc, lançant des pierres de la main droite et de la main gauche, et tirant des flèches avec l'arc. Ils étaient de Benjamin, d'entre les frères de Saül.
Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
3 Le chef Achiézer et Joas, enfants de Shémaa, de Guibea; Jéziel et Pélet, enfants d'Azmaveth; Béraca; Jéhu, d'Anathoth;
Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
4 Jishmaeja, Gabaonite, vaillant entre les trente, et au-dessus des trente; Jérémie; Jachaziel; Jochanan; Jozabad, Guédérothite;
Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
5 Éluzaï; Jérimoth; Béalia; Shémaria; Shéphatia, Haruphien;
Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
6 Elkana; Jishija; Azaréel; Joézer et Jashobeam, Corites;
Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
7 Joéla et Zébadia, enfants de Jérocham, de Guédor.
Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
8 D'entre les Gadites, se retirèrent vers David, dans la forteresse, au désert, de vaillants guerriers propres à la guerre, maniant le bouclier et la lance, semblables à des lions, et aussi prompts que des gazelles sur les montagnes:
Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
9 Ézer, le chef; Obadia, le second; Éliab, le troisième;
Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
10 Mishmanna, le quatrième; Jérémie, le cinquième;
Mishimana wanne, Yeremia watano,
11 Atthaï, le sixième; Éliel, le septième;
Atai wasita, Elieli wasaba,
12 Jochanan, le huitième; Elzabad, le neuvième;
Yohana wanane, Elizabadi watisa,
13 Jérémie, le dixième; Macbannaï, le onzième.
Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
14 Ils étaient d'entre les enfants de Gad, chefs de l'armée; un seul, le moindre, en valait cent, et le plus grand, mille.
Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
15 Ce sont ceux qui passèrent le Jourdain au premier mois, quand il déborde sur toutes ses rives, et qui mirent en fuite tous les habitants des vallées, à l'orient et à l'occident.
Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
16 Il vint aussi des enfants de Benjamin et de Juda, vers David, à la forteresse.
Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
17 David sortit au-devant d'eux et, prenant la parole, il leur dit: Si vous êtes venus dans un esprit de paix vers moi pour m'aider, mon cœur s'unira à vous; mais si c'est pour me tromper au profit de mes ennemis, bien que je ne sois coupable d'aucune violence, que le Dieu de nos pères le voie, qu'il fasse justice!
Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
18 Alors Amasaï, chef de ceux qui combattent sur des chars, fut revêtu de l'Esprit, et il dit: Nous sommes à toi, David, et avec toi, fils d'Isaï! Paix, paix à toi! Et paix à celui qui te secourt, car ton Dieu t'a secouru! Et David les reçut, et les plaça parmi les chefs de ses troupes.
Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
19 De Manassé, il y en eut aussi qui passèrent à David, quand il vint avec les Philistins pour combattre contre Saül. Mais David et ses gens ne les aidèrent point, parce que les princes des Philistins, après délibération, le renvoyèrent, en disant: Il passerait à son seigneur Saül, au péril de nos têtes.
Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
20 Quand il retourna à Tsiklag, Adna, Jozabad, Jédiaël, Micaël, Jozabad, Élihu et Tsiléthaï, chefs des milliers de Manassé, passèrent à lui.
Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
21 Ils aidèrent David contre les bandes des Amalécites; car ils étaient tous de vaillants guerriers, et ils furent chefs dans l'armée.
Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
22 Et journellement il venait des gens vers David pour l'aider, jusqu'à former un grand camp, comme un camp de Dieu.
Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
23 Voici le nombre des hommes équipés pour l'armée, qui vinrent vers David à Hébron, pour lui transférer la royauté de Saül, selon l'ordre de l'Éternel:
Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
24 Enfants de Juda, portant le bouclier et la javeline, six mille huit cents, équipés pour l'armée.
Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
25 Des enfants de Siméon, vaillants guerriers pour l'armée, sept mille cent.
Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
26 Des enfants de Lévi, quatre mille six cents;
Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
27 Et Jéhojada, prince d'Aaron, et avec lui trois mille sept cents hommes;
Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
28 Et Tsadok, jeune homme, fort et vaillant, et la maison de son père: vingt-deux chefs.
Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
29 Des enfants de Benjamin, frères de Saül, trois mille; car jusqu'alors la plus grande partie d'entre eux était restée attachée à la maison de Saül.
Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
30 Des enfants d'Éphraïm, vingt mille huit cents, vaillants guerriers, hommes de renom d'après les maisons de leurs pères.
Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
31 De la demi-tribu de Manassé, dix-huit mille, qui furent désignés par leurs noms pour aller établir David roi.
Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
32 Des enfants d'Issacar, qui savaient discerner les temps, pour savoir ce qu'Israël devait faire, deux cents de leurs chefs, et tous leurs frères sous leurs ordres.
Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
33 De Zabulon, cinquante mille, allant à l'armée, équipés pour le combat, de toutes les armes de guerre, pour se ranger en bataille d'un cœur sans partage.
Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
34 De Nephthali, mille chefs, et avec eux trente-sept mille hommes, portant le bouclier et la lance.
Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
35 Des Danites équipés pour la guerre, vingt-huit mille six cents.
Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
36 D'Asser, allant à l'armée pour se ranger en bataille, quarante mille.
Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
37 Et d'au delà du Jourdain: des Rubénites, des Gadites, et de la demi-tribu de Manassé, avec toutes les armes d'une armée en guerre, cent vingt mille.
Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
38 Tous ceux-là, gens de guerre, rangés en bataille, vinrent avec un cœur sincère à Hébron, pour établir David roi sur tout Israël. Or, tout le reste d'Israël était unanime aussi pour établir David roi.
Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
39 Et ils furent là, avec David, mangeant et buvant pendant trois jours; car leurs frères leur avaient préparé des vivres;
Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
40 Et même ceux qui étaient les plus près d'eux, jusqu'à Issacar, à Zabulon et à Nephthali, apportaient des vivres sur des ânes, sur des chameaux, sur des mulets et sur des bœufs; des aliments de farine, des masses de figues sèches et de raisins secs, du vin, de l'huile, des bœufs et des brebis en abondance; car il y avait de la joie en Israël.
Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea

< 1 Chroniques 12 >