< Apocalypse 9 >
1 Alors le cinquième Ange sonna de la trompette, et je vis une étoile qui tomba du ciel en la terre, et la clef du puits de l'abîme lui fut donnée. (Abyssos )
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
2 Et il ouvrit le puits de l'abîme; et une fumée monta du puits comme la fumée d'une grande fournaise; et le soleil et l'air furent obscurcis de la fumée du puits. (Abyssos )
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos )
3 Et de la fumée du puits il sortit des sauterelles [qui se répandirent] par la terre, et il leur fut donné une puissance semblable à la puissance qu'ont les scorpions de la terre.
Ndani ya moshi nzige walitoka kuja juu ya dunia, nao walipewa nguvu kama ile ya nge juu ya dunia.
4 Et il leur fut dit, qu'elles ne nuisissent point à l'herbe de la terre, ni à aucune verdure, ni à aucun arbre, mais seulement aux hommes qui n'ont point la marque de Dieu sur leurs fronts.
Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti, isipokuwa tu watu ambao hawakuwa na muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao.
5 Et il leur fut permis non de les tuer, mais de les tourmenter durant cinq mois; et leurs tourments sont semblables aux tourments que donne le scorpion quand il frappe l'homme.
Hawakupewa ruhusa ya kuwaua hao watu, bali kuwatesa tu kwa miezi mitano. Uchungu wao ulikuwa kama ule wa kuumwa na nge amwumapo mtu.
6 Et en ces jours-là les hommes chercheront la mort, mais ils ne la trouveront point; et ils désireront de mourir, mais la mort s'enfuira d'eux.
Katika siku hizo watu watatafuta kifo, lakini hawatakipata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
7 Or la forme des sauterelles était semblable à des chevaux préparés pour la bataille, et sur leurs têtes il y avait comme des couronnes semblables à de l'or, et leurs faces étaient comme des faces d'hommes.
Nzige walifanana na farasi walioandaliwa kwa vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji ya dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8 Et elles avaient les cheveux comme des cheveux de femmes; et leurs dents étaient comme des dents de lions.
Walikuwa na nywele kama za wanawake na meno yao yalikuwa kama ya simba.
9 Et elles avaient des cuirasses comme des cuirasses de fer; et le bruit de leurs ailes était comme le bruit des chariots, quand plusieurs chevaux courent au combat.
Walikuwa na vifua kama vifua vya chuma na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari mengi ya vita na farasi wakimbiao kwenda vitani.
10 Et elles avaient des queues semblables [à des queues] de scorpions, et avaient des aiguillons en leurs queues; et leur puissance [était] de nuire aux hommes durant cinq mois.
Walikuwa na mikia inayouma kama nge; katika mikia yao walikuwa na nguvu ya kudhuru watu kwa miezi mitano.
11 Et elles avaient pour Roi au-dessus d'elles l'Ange de l'abîme, qui a nom en Hébreu, Abaddon, et dont le nom est en grec Apollyon. (Abyssos )
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos )
12 Un malheur est passé, et voici venir encore deux malheurs après celui-ci.
Ole ya kwanza imepita. Angalia! Baada ya hili kuna maafa mawili yaja.
13 Alors le sixième Ange sonna de sa trompette, et j'entendis une voix [sortant] des quatre cornes de l'autel d'or qui [est] devant la face de Dieu,
Malaika wa sita alipiga tarumbeta yake, na nikasikia sauti ikitoka katika pembe ya madhabahu ya dhahabu ambayo iko mbele za Mungu.
14 Laquelle dit au sixième Ange qui avait la trompette: Délie les quatre Anges qui sont liés sur le grand fleuve Euphrate.
Sauti ilimwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta, “Waachie malaika wanne ambao wamefungwa katika mto mkubwa Efrata.”
15 On délia donc les quatre Anges qui étaient prêts pour l'heure, le jour, le mois et l'année; afin de tuer la troisième partie des hommes.
Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa saa hiyo maalumu, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo, waliachiwa wawaue theluthi ya wanadamu.
16 Et le nombre de l'armée à cheval était de deux cents millions: car j'entendis [que c'était là] leur nombre.
Idadi ya maaskari waliokuwa juu ya farasi ilikuwa 200, 000, 000. Nilisikia idadi yao.
17 Et je vis aussi dans la vision les chevaux, et ceux qui étaient montés dessus, ayant des cuirasses de feu, d'hyacinthe et de soufre; et les têtes des chevaux [étaient] comme des têtes de lions; et de leur bouche sortait du feu, de la fumée et du soufre.
Hivi ndivyo nilivyoona farasi katika maono yangu na wale waliopanda juu yao: Vifua vyao vilikuwa vyekundu kama moto, bluu iliyoiva na njano isiyoiva. Vichwa vya farasi vilifanana na vichwa vya simba, na midomoni mwao ulitoka moto, moshi na salfa.
18 La troisième partie des hommes fut tuée par ces trois choses, [savoir] par le feu, par la fumée, et par le soufre qui sortaient de leur bouche.
Theluthi ya wanadamu waliuawa na haya mapigo matatu: moto, moshi, na salfa iliyotoka katika midomo yao.
19 Car leur puissance était dans leur bouche et dans leurs queues; et leurs queues [étaient] semblables à des serpents, et elles avaient des têtes par lesquelles elles nuisaient.
Kwa kuwa nguvu ya farasi ilikuwa katika midomo yao na katika mikia yao—kwa kuwa mikia yao ilikuwa kama nyoka, na walikuwa na vichwa ambavyo walitumia kuwatia majeraha wanadamu.
20 Mais le reste des hommes qui ne furent point tués par ces plaies, ne se repentit pas des œuvres de leurs mains, pour ne point adorer les Démons, les idoles d'or, d'argent, de cuivre, de pierre, et de bois, qui ne peuvent ni voir, ni ouïr, ni marcher.
Watu waliobaki, wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya, hawakutubia matendo yao waliyokuwa wamefanya, wala hawakuacha kuabudu mapepo na miungu ya dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti—vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea.
21 Ils ne se repentirent point aussi de leurs meurtres, ni de leurs empoisonnements, ni de leur impudicité, ni de leurs larcins.
Wala hawakutubia uuaji wao, uchawi wao, uasherati wao au njia zao za wizi.