< Psaumes 34 >

1 Psaume de David, sur ce qu'il changea son extérieur en la présence d'Abimélec, qui le chassa, et il s'en alla. [Aleph.] Je bénirai l'Eternel en tout temps, sa louange sera continuellement en ma bouche.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 [Beth.] Mon âme se glorifiera en l'Eternel; les débonnaires l'entendront, et s'en réjouiront.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 [Guimel.] Magnifiez l'Eternel avec moi, et exaltons son Nom tous ensemble.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 [Daleth.] J'ai cherché l'Eternel, et il m'a répondu, et m'a délivré de toutes mes frayeurs.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 [He. Vau.] L'a-t-on regardé? on en est illuminé, et leurs faces ne sont point confuses.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 [Zain.] Cet affligé a crié, et l'Eternel l'a exaucé, et l'a délivré de toutes ses détresses.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 [Heth.] L'Ange de l'Eternel se campe tout autour de ceux qui le craignent, et les garantit.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 [Teth.] Savourez, et voyez que l'Eternel est bon; ô que bienheureux est l'homme qui se confie en lui!
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 [Jod.] Craignez l'Eternel vous ses Saints; car rien ne manque à ceux qui le craignent.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 [Caph.] Les lionceaux ont disette, ils ont faim; mais ceux qui cherchent l'Eternel n'auront besoin d'aucun bien.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 [Lamed.] Venez, enfants, écoutez-moi; je vous enseignerai la crainte de l'Eternel.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 [Mem.] Qui est l'homme qui prenne plaisir à vivre, [et] qui aime la longue vie pour voir du bien?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 [Nun.] Garde ta langue de mal, et tes lèvres de parler avec tromperie.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 [Samech.] Détourne-toi du mal, et fais le bien; cherche la paix et la poursuis.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 [Hajin.] Les yeux de l'Eternel sont sur les justes, et ses oreilles sont attentives à leur cri.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 [Pe.] La face de l'Eternel est contre ceux qui font le mal, pour exterminer de la terre leur mémoire.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 [Tsade.] Quand les justes crient, l'Eternel les exauce, et il les délivre de toutes leurs détresses.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 [Koph.] L'Eternel [est] près de ceux qui ont le cœur déchiré [par la douleur], et il délivre ceux qui ont l'esprit abattu.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 [Res.] Le juste a des maux en grand nombre, mais l'Eternel le délivre de tous.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 [Scin.] Il garde tous ses os, [et] pas un n'en est cassé.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 [Thau.] La malice fera mourir le méchant; et ceux qui haïssent le juste seront détruits.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 [Pe.] L'Eternel rachète l'âme de ses serviteurs; et aucun de ceux qui se confient en lui, ne sera détruit.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Psaumes 34 >