< Psaumes 2 >
1 Pourquoi se mutinent les nations, et pourquoi les peuples projettent-ils des choses vaines?
Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
2 Les Rois de la terre se trouvent en personne, et les Princes consultent ensemble contre l'Eternel, et contre son Oint.
Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
3 Rompons, [disent-ils], leurs liens, et jetons loin de nous leurs cordes.
“Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
4 Celui qui habite dans les cieux se rira d'eux; le Seigneur s'en moquera.
Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
5 Alors il leur parlera en sa colère, et il les remplira de terreur par la grandeur de son courroux.
Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
6 Et moi, [dira-t-il], j'ai sacré mon Roi sur Sion, la montagne de ma Sainteté.
“Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Je vous réciterai quel a été ce sacre; l'Eternel m'a dit: tu es mon Fils, je t'ai aujourd'hui engendré.
Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
8 Demande-moi, et je te donnerai pour ton héritage les nations, et pour ta possession les bouts de la terre.
Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
9 Tu les briseras avec un sceptre de fer, et tu les mettras en pièces comme un vaisseau de potier.
Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10 Maintenant donc, ô Rois! ayez de l'intelligence; Juges de la terre, recevez instruction.
Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11 Servez l'Eternel avec crainte, et égayez-vous avec tremblement.
Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12 Baisez le Fils, de peur qu'il ne s'irrite, et que vous ne périssiez dans cette conduite, quand sa colère s'embrasera tant soit peu. Ô que bienheureux sont tous ceux qui se confient en lui!
Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.