< Psaumes 111 >
1 Louez l'Eternel. [Aleph] Je célébrerai l'Eternel de tout mon cœur, [Beth.] dans la compagnie des hommes droits, et dans l'assemblée.
Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
2 [Guimel.] Les œuvres de l'Eternel sont grandes, [Daleth.] Elles sont recherchées de tous ceux qui y prennent plaisir.
Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
3 [He.] Son œuvre n'est que majesté et magnificence, [Vau.] et sa justice demeure à perpétuité.
Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
4 [Zaïn.] Il a rendu ses merveilles mémorables. [Heth.] L'Eternel est miséricordieux et pitoyable.
Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
5 [Tet.] Il a donné à vivre à ceux qui le craignent; [Jod.] il s'est souvenu à toujours de son alliance.
Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
6 [Caph.] Il a manifesté à son peuple la force de ses œuvres, [Lamed.] en leur donnant l'héritage des nations.
Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
7 [Mem.] Les œuvres de ses mains ne sont que vérité et équité; [Nun.] tous ses commandements sont véritables;
Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
8 [Samech.] Appuyés à perpétuité et à toujours, [Hajin.] étant faits avec fidélité et droiture.
Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
9 [Pe.] Il a envoyé la rédemption à son peuple; [Tsade.] il lui a donné une alliance éternelle; [Koph.] son nom est saint et terrible.
Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
10 [Resh.] Ce qu'il y a de capital dans la sagesse c'est la crainte de l'Eternel: [Scin.] tous ceux qui s'adonnent à faire ce qu'elle prescrit sont bien sages; [Thau.] sa louange demeure à perpétuité.
Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.