< Proverbes 27 >
1 Ne te vante point du jour de demain; car tu ne sais pas quelle chose le jour enfantera.
Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
2 Qu'un autre te loue, et non pas ta bouche; que ce soit l'étranger, et non pas tes lèvres.
Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
3 La pierre est pesante, et le sablon est accablant; mais le dépit du fou est plus pesant que tous les deux.
Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
4 Il y a de la cruauté dans la fureur, et du débordement dans la colère; mais qui pourra subsister devant la jalousie?
Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
5 La correction ouverte vaut mieux qu'un amour secret.
Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
6 Les plaies faites par celui qui aime, sont fidèles, et les baisers de celui qui hait, sont à craindre.
Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
7 L'âme rassasiée foule les rayons de miel; mais à l'âme qui a faim, toute chose amère est douce.
Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
8 Tel qu'est un oiseau s'écartant de son nid, tel est l'homme qui s'écarte de son lieu.
Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
9 L'huile et le parfum réjouissent le cœur, et il en est ainsi de la douceur d'un ami, laquelle vient d'un conseil cordial.
Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
10 Ne quitte point ton ami, ni l'ami de ton père, et n'entre point en la maison de ton frère au temps de ta calamité; [car] le voisin qui est proche, vaut mieux que le frère qui est loin.
Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
11 Mon fils sois sage, et réjouis mon cœur, afin que j'aie de quoi répondre à celui qui me fait des reproches.
Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
12 L'homme bien avisé prévoit le mal, et se tient caché; [mais] les niais passent outre, et ils en payent l'amende.
Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
13 Quand quelqu'un aura cautionné pour l'étranger, prends son vêtement, et prends gage de lui pour l'étrangère.
vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
14 Celui qui bénit son ami à haute voix, se levant de grand matin, sera tenu comme s'il le maudissait.
Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
15 Une gouttière continuelle au temps de la grosse pluie, et une femme querelleuse, c'est tout un.
Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
16 Celui qui la veut retenir, retient le vent; et elle se fera connaître [comme] un parfum qu'il aurait dans sa main droite.
kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
17 [Comme] le fer aiguise le fer, ainsi l'homme aiguise la face de son ami.
Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
18 [Comme] celui qui garde le figuier, mangera de son fruit; ainsi celui qui garde son maître sera honoré.
Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
19 Comme dans l'eau le visage [répond] au visage, ainsi le cœur de l'homme [répond] à l'homme.
Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
20 Le sépulcre et le gouffre ne sont jamais rassasiés; aussi les yeux des hommes ne sont jamais satisfaits. (Sheol )
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
21 Comme le fourneau est pour éprouver l'argent, et le creuset l'or; ainsi est à l'homme la bouche qui le loue.
Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
22 Quand tu pilerais le fou au mortier parmi du grain qu'on pile avec un pilon, sa folie ne se départira point de lui.
Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
23 Sois soigneux à reconnaître l'état de tes brebis, et mets ton cœur aux parcs.
Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
24 Car le trésor ne dure point à toujours, et la couronne n'est pas d'âge en âge.
maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
25 Le foin se montre, et l'herbe paraît, et on amasse les herbes des montagnes.
Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
26 Les agneaux sont pour te vêtir, et les boucs sont le prix d'un champ;
Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
27 Et l'abondance du lait des chèvres [sera] pour ton manger, pour le manger de ta maison, et pour la vie de tes servantes.
Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.