< Proverbes 21 >

1 Le cœur du Roi est en la main de l'Eternel [comme] des ruisseaux d'eaux, il l'incline à tout ce qu'il veut.
Moyo wa mfalme ni mfereji wa maji katika mkono wa Yehova; anaugeuza popote anakopenda.
2 Chaque voie de l'homme lui semble droite; mais l'Eternel pèse les cœurs.
Kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe, lakini ni Yehova anayeipima mioyo.
3 Faire ce qui est juste et droit, est une chose que l'Eternel aime mieux que des sacrifices.
Kutenda haki na adili hukubaliwa zaidi na Yehova kuliko sadaka.
4 Les yeux élevés, et le cœur enflé, est le labourage des méchants, qui n'est que péché.
Macho ya kiburi na moyo wa majivuno- taa ya waovu- ni dhambi.
5 Les pensées d'un homme diligent le conduisent à l'abondance, mais tout étourdi tombe dans l'indigence.
Mipango ya mwenye juhudi huelekea kwenye mafanikio tu, bali kila mtu anayetenda kwa haraka huelekea umasikini.
6 Travailler à avoir des trésors par une langue trompeuse, c'est une vanité poussée au loin par ceux qui cherchent la mort.
Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
7 Le fourragement des méchants les abattra, parce qu'ils auront refusé de faire ce qui est droit.
Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
8 Quand un homme marche de travers, il s'égare; mais l'œuvre de celui qui est pur, est droite.
Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.
9 Il vaut mieux habiter au coin d'un toit, que dans une maison spacieuse avec une femme querelleuse.
Bora kuishi kwenye kona ya juu darini kuliko katika nyumba pamoja na mke mgonvi.
10 L'âme du méchant souhaite le mal, et son prochain ne trouve point de grâce devant lui.
Hamu ya mwovu ni uchu wa mabaya; jirani yake haoni ukarimu katika macho yake.
11 Quand on punit le moqueur, le niais devient sage; et quand on instruit le sage, il reçoit la science.
Mwenye dhihaka anapoadhibiwa mjinga hupata busara, na mtu mwenye busara anapofundishwa, anaongeza maarifa.
12 Le juste considère prudemment la maison du méchant, quand les méchants sont renversés dans la misère.
Atendaye haki huilinda nyumba ya mwovu; huwashusha waovu kwenye uharibifu.
13 Celui qui bouche son oreille pour n'ouïr point le cri du chétif, criera aussi lui-même, et on ne lui répondra point.
Anayeziba masikio yake kwenye kilio cha masikini, pia atalia, lakini hatajibiwa.
14 Le don fait en secret apaise la colère, et le présent mis au sein apaise une véhémente fureur.
Zawadi ya siri hutuliza hasira na zawadi ya kificho hutuliza ghadhabu kuu.
15 C'est une joie au juste de faire ce qui est droit; mais c'est une frayeur aux ouvriers d'iniquité.
Haki ikitendeka, huleta furaha kwa mwenye kutenda wema, lakini huleta hofu kubwa kwa watenda mabaya.
16 L'homme qui se détourne du chemin de la prudence aura sa demeure dans l'assemblée des trépassés.
Yule anayezurura kutoka kwenye njia ya ufahamu, atapumzika kwenye kusanyiko la wafu.
17 L'homme qui aime à rire, sera indigent; et celui qui aime le vin et la graisse, ne s'enrichira point.
Anayependa raha atakuwa masikini; anayependa divai na mafuta hawezi kuwa tajiri.
18 Le méchant sera l'échange du juste; et le perfide, au lieu des hommes intègres.
Mtu mbaya ni fidia kwa yule atendaye haki, na mdanganyifu ni fidia kwa waaminifu.
19 Il vaut mieux habiter dans une terre déserte, qu'avec une femme querelleuse et qui se dépite.
Bora kuishi jangwani kuliko kuishi pamoja na mwanamke ambaye huchochea sana ugomvi na malalamiko.
20 La provision désirable, et l'huile, est dans la demeure du sage; mais l'homme fou l'engloutit.
Hazina yenye thamani na mafuta vipo nyumbani kwa mwenye busara, bali mtu mpumbavu huviharibu.
21 Celui qui s'adonne soigneusement à la justice, et à la miséricorde, trouvera la vie, la justice, et la gloire.
Mtu atendaye haki na mwema -huyu mtu hupata uzima, haki na heshima.
22 Le sage entre dans la ville des forts, et rabaisse la force de sa confiance.
Mtu mwenye busara huupima mji wa mashujaa, na huiangusha ngome wanayoitumaini.
23 Celui qui garde sa bouche et sa langue, garde son âme de détresse.
Anayelinda kinywa chake na ulimi wake hujilinda mwenyewe na taabu.
24 Un superbe arrogant s'appelle un moqueur, qui fait tout avec colère et fierté.
Mtu mwenye kiburi na maringo- “Dhihaka” ndilo jina lake - hutenda kwa majivuno na kujidai.
25 Le souhait du paresseux le tue; car ses mains ont refusé de travailler.
Shauku ya mtu mvivu itamuua, maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
26 Il y a tel qui tout le jour ne fait que souhaiter; mais le juste donne, et n'épargne rien.
Kwa siku nzima hupatwa na uchu na uchu zaidi, lakini atendaye haki hutoa na wala hazuii.
27 Le sacrifice des méchants est une abomination; combien plus s'ils l'apportent avec une méchante intention?
Sadaka ya mwovu ni chukizo; huwa ni chukizo zaidi anapoileta kwa nia mbaya.
28 Le témoin menteur périra; mais l'homme qui écoute, parlera avec gain de cause.
Shahidi wa uongo ataangamia, bali anayesikiliza ataongea kwa muda wote.
29 L'homme méchant a un air impudent; mais l'homme juste dresse ses voies.
Mtu mwovu huufanya uso wake kuwa mgumu, bali mtu mwadilifu ni thabiti juu ya njia zake.
30 Il n'y a ni sagesse, ni intelligence, ni conseil contre l'Eternel.
Hakuna hekima, hakuna ufahamu, na hakuna shauri linaloweza kusimama kinyume na Yehova.
31 Le cheval est équipé pour le jour de la bataille, mais la délivrance vient de l'Eternel.
Farasi hutayarishwa kwa siku ya mapigano, lakini ushindi hupatikana kwa Yehova.

< Proverbes 21 >