< Néhémie 11 >
1 Et les principaux du peuple s'habituèrent a Jérusalem, mais tout le reste du peuple jeta le sort, afin qu'une des dix parties s'habituât à Jérusalem la sainte Cité, et que les neuf [autres] parties demeurassent dans les [autres] villes.
Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
2 Et le peuple bénit tous ceux qui se présentèrent volontairement pour s'habituer à Jérusalem.
Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
3 Or ce sont ici les principaux de la province qui s'habituèrent à Jérusalem; les autres s'étant habitués dans les villes de Juda, chacun dans sa possession, selon leurs villes, [savoir] les Israélites, les Sacrificateurs, les Lévites, les Néthiniens, et les enfants des serviteurs de Salomon.
Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
4 Ceux de Juda et de Benjamin s'habituèrent donc à Jérusalem; des enfants de Juda Hathaja fils d'Huzija, fils de Zacharie, fils d'Amaria, fils de Séphatia, fils de Mahalaléel, d'entre les enfants de Pharès.
Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
5 Et Mahaséja fils de Baruc, fils de Colhozé, fils de Hazaja, fils d'Hadaja, fils de Jojarib, fils de Zacharie, fils de Siloni.
Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
6 Tous ceux-là étaient enfants de Pharès, qui s'habituèrent à Jérusalem, quatre cent soixante-huit, vaillants hommes.
Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
7 Et ceux-ci étaient d'entre les enfants de Benjamin; Sallu, fils de Mésullam, fils de Johed, fils de Pédaja, fils de Kolaja, fils de Mahaséja, fils d'Ithiel, fils d'Esaïe;
Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
8 Et après lui Gabbaï, Sallaï, neuf cent vingt-huit.
Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
9 Et Joël fils de Zicri était commis sur eux; et Juda fils de Sénua était Lieutenant de la ville.
Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
10 Des Sacrificateurs: Jéhahia, fils de Jojarib, Jakin,
Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
11 Séraja, fils de Hilkija, fils de Mésullam, fils de Tsadok, fils de Mérajoth, fils d'Ahitub, Conducteur de la maison de Dieu;
Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
12 Et leurs frères, qui faisaient le service de la maison, huit cent vingt-deux. Et Hodaja fils de Jéroham, fils de Pélalja, fils d Amtsi, fils de Zacharie, fils de Pashur, fils de Malkija.
na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
13 Et ses frères, les Chefs des pères, deux cent quarante-deux. Et Hamassaï, fils d'Hazaréel, fils d'Ahzaï, fils de Mésillémoth, fils d'Immer;
Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
14 Et leurs frères, forts et vaillants, cent vingt-huit; et Zabdiel, fils de Guédolim, [était] commis sur eux.
na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
15 Et des Lévites: Sémahja, fils de Hasub, fils d'Hazrikam, fils de Hasabia, fils de Bunni.
Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
16 Et Sabbethaï et Jozabad étaient commis sur le travail de dehors pour la maison de Dieu, [étant] d'entre les Chefs des Lévites.
na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
17 Et Mattania, fils de Mica, fils de Zabdi, fils d'Asaph, était le principal [des chantres], qui commençait le premier à chanter les louanges dans la prière. Et Bakbukia était le second d'entre ses frères, puis Habda, fils de Sammuah, fils de Galal, fils de Jéduthun.
Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18 Tous les Lévites [qui s'établirent dans] la sainte Cité, étaient deux cent quatre-vingt-quatre.
Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
19 Et des portiers, Hakkub, Talmon, et leurs frères qui gardaient les portes, cent soixante et douze.
Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
20 Et le reste des Israélites, des Sacrificateurs, et des Lévites fut dans toutes les villes de Juda, chacun en son héritage.
Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
21 Mais les Néthiniens habitèrent à Hophel; et Tsiha et Guispa étaient commis sur les Néthiniens.
Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
22 Et celui qui avait la charge des Lévites à Jérusalem, était Huzi fils de Bani, fils de Hasabia, fils de Mattania, fils de Mica, d'entre les enfants d'Asaph, chantres, pour l'ouvrage de la maison de Dieu.
Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
23 Car il y avait aussi un commandement du Roi qui les regardait, et il y avait un état assuré pour les chantres chaque jour.
Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
24 Et Péthahia, fils de Mésézabéel, d'entre les enfants de Zara, fils de Juda, était commissaire du Roi, dans tout ce qui était à faire envers le peuple.
Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
25 Or quant aux bourgades avec leurs territoires, quelques-uns des enfants de Juda habitèrent à Kiriath-Arbah, et dans les lieux de son ressort; à Dibon, et dans les lieux de son ressort; à Jékabtséel, et dans les lieux de son ressort;
Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
26 A Jésuah, à Molada, à Beth-Pélet.
Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
27 A Hatsar-Sual, à Béer-Sébah, et dans les lieux de son ressort;
Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
28 A Tsiklag, à Mécona, et dans les lieux de son ressort;
Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
29 A Hen-rimmon, à Tsorah, à Jarmuth,
Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
30 A Zanoah, à Hadullam, et dans leurs bourgades; à Lakis, et dans ses territoires; et à Hazeka, et dans les lieux de son ressort. Et ils habitèrent depuis Béer-Sébah jusqu'à la vallée de Hinnom.
Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
31 Et les enfants de Benjamin [habitèrent] depuis Guébah, à Micmas, Haja, Bethel, et dans les lieux de son ressort;
Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
32 A Hanathoth, Nob, Hanania,
Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
33 Hatsor, Rama, Guittajim,
Hazori, Rama, Gitaimu,
34 Hadid, Tsébohim, Néballat,
Hadidi, Seboimu, Nebalati,
35 Lod, et Ono, la vallée des manœuvres.
Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
36 Et quelques-uns des Lévites [habitèrent] dans leurs partages de Juda et de Benjamin.
Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.