< Jérémie 37 >
1 Or le Roi Sédécias, fils de Josias, régna en la place de Chonja fils de Jéhojakim, et il fut établi pour Roi sur le pays de Juda par Nébucadnetsar Roi de Babylone.
Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
2 Mais il n'obéit point, ni lui, ni ses serviteurs, ni le peuple du pays, aux paroles de l'Eternel, qu'il avait prononcées par le moyen de Jérémie le Prophète.
Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
3 Toutefois le Roi Sédécias envoya Jéhucal fils de Sélemja, et Sophonie fils de Mahaséja Sacrificateur, vers Jérémie le Prophète, pour lui dire: fais, je te prie, requête pour nous à l'Eternel notre Dieu;
Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
4 (Car Jérémie allait et venait parmi le peuple, parce qu'on ne l'avait pas encore mis en prison.)
Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
5 Alors l'armée de Pharaon sortit d'Egypte, et quand les Caldéens, qui assiégeaient Jérusalem, en ouïrent les nouvelles, ils se retirèrent de devant Jérusalem.
Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
6 Et la parole de l'Eternel fut [adressée] à Jérémie le Prophète, en disant:
Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
7 Ainsi a dit l'Eternel, le Dieu d'Israël: vous direz ainsi au Roi de Juda, qui vous a envoyés pour m'interroger: voici, l'armée de Pharaon, qui est sortie à votre secours, s'en va retourner en son pays d'Egypte.
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
8 Et les Caldéens reviendront, et combattront contre cette ville, et la prendront, et la brûleront au feu.
Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
9 Ainsi a dit l'Eternel: ne vous abusez point vous-mêmes, en disant: les Caldéens se retireront certainement de nous; car ils ne s'en retireront point.
Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
10 Même quand vous auriez battu toute l'armée des Caldéens qui combattent contre vous, et qu'il n'y aurait de reste entre eux que des gens percés de blessures, ils se relèveront pourtant chacun dans sa tente, et brûleront cette ville au feu.
Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
11 Or il arriva que quand l'armée des Caldéens se fut retirée de devant Jérusalem, à cause de l'armée de Pharaon;
Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
12 Jérémie sortit de Jérusalem pour s'en aller au pays de Benjamin, se glissant hors de là à travers le peuple.
kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
13 Mais quand il fut à la porte de Benjamin, il y avait là un capitaine de la garde, duquel le nom était Jireija, fils de Sélemja, fils de Hanania, qui saisit Jérémie le Prophète, en [lui] disant: Tu te vas rendre aux Caldéens.
Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
14 Et Jérémie répondit: cela n'est point; je ne vais point me rendre aux Caldéens; mais il ne l'écouta point, et Jireija prit Jérémie, et l'amena vers les principaux.
Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
15 Et les principaux se mirent en colère contre Jérémie, et le battirent, et le mirent en prison dans la maison de Jéhonathan le Secrétaire, car ils en avaient fait un lieu de prison.
Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
16 Et ainsi Jérémie entra dans la fosse, et dans les cachots; et Jérémie y demeura plusieurs jours.
Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
17 Mais le Roi Sédécias y envoya, et l'en tira, et il l'interrogea en secret dans sa maison, et lui dit: y a-t-il quelque parole de par l'Eternel? Et Jérémie répondit: il y en a; et lui dit: tu seras livré entre les mains du Roi de Babylone.
Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
18 Puis Jérémie dit au Roi Sédécias: quelle faute ai-je commise contre toi, et envers tes serviteurs, et envers ce peuple, pour m'avoir mis en prison?
Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
19 Mais où sont vos Prophètes qui vous prophétisaient, en disant: le Roi de Babylone ne reviendra point contre vous, ni contre ce pays?
Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
20 Or écoute maintenant, je te prie, ô Roi mon Seigneur! et que maintenant ma supplication soit reçue devant ta face, et ne me renvoie point dans la maison de Jéhonathan le Secrétaire, de peur que je n'y meure.
Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
21 C'est pourquoi le Roi Sédécias commanda qu'on gardât Jérémie dans la cour de la prison, et qu'on lui donnât tous les jours un pain de la place des boulangers, jusqu’à ce que tout le pain de la ville fût consumé. Ainsi Jérémie demeura dans la cour de la prison.
Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.