< Jérémie 28 >
1 Il arriva aussi en cette même année, au commencement du règne de Sédécias Roi de Juda, [savoir] en la quatrième année, au cinquième mois, que Hanania fils de Hazur Prophète, qui était de Gabaon, me parla dans la maison de l'Eternel, en la présence des Sacrificateurs et de tout le peuple, en disant:
Ilitokea katika mwaka ule, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa nne na mwezi wa tano, Hanania mwana wa Azuri nabii, alikuwa wa Gibeoni, alisema kwangu katika nyumba ya Yahwe mbele za makuhani na watu wote. Alisema,
2 Ainsi a dit l'Eternel des armées, le Dieu d'Israël: j'ai rompu le joug du Roi de Babylone.
“Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nimeivunja nira iliyowekwa na mfalme wa Babeli.
3 Dans deux ans accomplis je ferai rapporter en ce lieu-ci tous les vaisseaux de la maison de l'Eternel, que Nébucadnetsar Roi de Babylone a emportés de ce lieu, et transportés à Babylone.
Ndani ya miaka miwili nitavirudisha katika sehemu hii vyombo vyote vya nyumba ya Yahwe ambavyo Nebukadreza mfalme wa Babeli livichukua kutoka sehemu hii na kuvisafirisha hadi Babeli.
4 Et je ferai revenir en ce lieu-ci, dit l'Eternel, Jéchonias fils de Jéhojakim Roi de Juda, et tous ceux qui ont été transportés de Juda en Babylone; car je romprai le joug du Roi de Babylone.
Kisha nitawarudisha katika sehemu hii Yekonia mwana wa Yehotakimu, mfalme wa Yuda, na mateka wote wa Yuda ambao walipelekwa Babeli—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.”
5 Alors Jérémie le Prophète parla à Hanania le Prophète, en la présence des Sacrificateurs, et en la présence de tout le peuple qui assistaient dans la maison de l'Eternel.
Kwa hiyo Yeremia nabii akasema kwa Hanania nabii mbele ya makuhani na kwa watu wote waliosimama katika nyumba ya Yahwe.
6 Et Jérémie le Prophète dit: ainsi soit-il; qu'ainsi fasse l'Eternel; que l'Eternel mette en effet tes paroles que tu as prophétisées, afin qu'il fasse revenir de Babylone en ce lieu-ci les vaisseaux de la maison de l'Eternel, et tous ceux qui ont été transportés à Babylone.
Yeremia nabii akasema, “Yahwe afanye hivi! Yahwe ayathibitishe maneno ambayao ulitabiri na kuvirudisha katika sehemsu hii vyombo vya nyumb a ya Yahwe, na mateka wote kutoka Babeli.
7 Toutefois écoute maintenant cette parole que je prononce, toi et tout le peuple l'entendant.
Vile vile, sikilizeni neno ambaloo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote.
8 Les Prophètes qui ont été avant moi et avant toi dès longtemps, ont prophétisé contre plusieurs pays, et contre de grands Royaumes, la guerre, et l'affliction, et la mortalité.
Manabii ambao walikuwepo mbele yangu na na mbele yenu muda mrefu uliopita pia walitabiri kuhusu mataifa mengi na juu ya falme kuu, kuhusu vita, njaa, na mapigo.
9 Le Prophète qui aura prophétisé la paix, quand la parole de ce Prophète sera accomplie, ce Prophète-là sera reconnu pour avoir été véritablement envoyé par l'Eternel.
Kwa hiyo nabii anayetabiri kwamba kutakuwa na amani—kama neno lake litatimia, basi itajulikana kwamba yeye ni nabii kweli aliyetumwa na Yahwe.”
10 Alors Hanania le Prophète prit le joug de dessus le cou de Jérémie le Prophète, et le rompit.
Lakini Hanania nabii akaichukua nira kutoka kwenye shingo ya Yeremia na kuivunja.
11 Puis Hanania parla en la présence de tout le peuple, en disant: ainsi a dit l'Eternel: entre ci et deux ans accomplis, je romprai ainsi le joug de Nébucadnetsar Roi de Babylone de dessus le cou de toutes les nations. Et Jérémie le Prophète s'en alla son chemin.
Kisha Hanania akanena mbele ya watu wote na kusema, “Yahwe anasema hivi: Kama hivi tu, ndani ya miaka miwili nitaivunja nira iliyowekwa na Nebukadreza mfalme wa Babeli kutoka kwenye shingo ya kila taifa.” Kisha Yeremia nabii akaenda njia yake.
12 Mais la parole de l'Eternel fut adressée à Jérémie, après que Hanania le Prophète eut rompu le joug de dessus le cou de Jérémie le Prophète, en disant:
Baada ya Hanania nabii kuivunja nira kutoka kwenye shingo ya Yeremia nabii, neno la Yahwe likamjia Yeremia. likisema,
13 Va, et parle à Hanania, en disant: ainsi a dit l'Eternel: tu as rompu les jougs qui étaient de bois, mais au lieu de ceux-là, fais-en qui soient de fer.
Nenda na ukaseme kwa Hanania na useme, Yahwe anasema hivi: Uliivunja nira ya mbao, lakini badala yake nitafanya nira ya chuma.'
14 Car ainsi a dit l'Eternel des armées, le Dieu d'Israël: j'ai mis un joug de fer sur le cou de toutes ces nations, afin qu'elles soient asservies à Nébucadnetsar Roi de Babylone, car elles lui seront asservies, et je lui ai aussi donné les bêtes des champs.
Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nimeweka nira ya chuma shingoni mwa mataifa haya yote ili wamtumikea Nebukadreza mfalme wa Babeli, na watamtumikia. Pia nimempa wanyama wa mashambani awatawale.”
15 Puis Jérémie le Prophète dit à Hanania le prophète: écoute maintenant, ô Hanania! l'Eternel ne t'a point envoyé, mais tu as fait que ce peuple s'est confié au mensonge.
Kisha nabii Yeremia akamwambia Hanania nabii, “Sikiliza Hanania! Yahwe hajakutuma, bali wewe mwenyewe umewasababisha watu hawa kuamini katika uongo.
16 C'est pourquoi ainsi a dit l'Eternel, voici, je te chasserai de dessus la terre, [et] tu mourras cette année; car tu as parlé de révolte contre l'Eternel.
Kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kukutuma nje ya dunia. Mwaka huu utakufa.”
17 Et Hanania le prophète mourut cette année-là au septième mois.
Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, Hanania nabii akafa.