< Isaïe 59 >
1 Voici, la main de l'Eternel n'est pas raccourcie pour ne pouvoir pas délivrer, et son oreille n'est pas devenue pesante, pour ne pouvoir pas ouïr.
Tazama, mkono wa Yahwe sio mfupi ambao hautweza kukuokoa wewe; wala sikio lake sio zito, ambalo haliwezi kusikia.
2 Mais ce sont vos iniquités qui ont fait séparation entre vous et votre Dieu; et vos péchés ont fait qu'il a caché [sa] face de vous, afin qu'il ne vous entende point.
Matendo yako ya dhambi, hata hivyo, zimekutenga wewe na Mungu, na dhambi zenu zimemfanya aufiche uso wake msimuone wala kumsikia yeye.
3 Car vos mains sont souillées de sang, et vos doigts d'iniquité; vos lèvres ont proféré le mensonge, [et] votre langue a prononcé la perversité.
Maana mikono yenu ina madoa ya damu na vidole vyenu vimejaa dhambi. Midomo yenu inazungumza uongo na ulimi wenu unazungumza kwa nia mbaya.
4 Il n'y a personne qui crie pour la justice, et il n'y a personne qui plaide pour la vérité; on se fie en des choses de néant, et on parle vanité; on conçoit le travail, et on enfante le tourment.
Hakuna hata mmoja aitae haki, na hakuna anayewasihi kesi yake katika haki. Wanayamini maneno yasiyo ya haki, maneno ya uongo; wanashika matatizo na kuzaa dhambi.
5 Ils ont éclos des œufs de basilic, et ils ont tissu des toiles d'araignée; celui qui aura mangé de leurs œufs en mourra; et si on les écrase, il en sortira une vipère.
Wanetotoa mayai ya nyoka wenye sumu na hufuma mtandao wa buibui. Yeyote alaye mayai yake atakufa, na ikiwa yai litavunjika, litatotoa nyoka mwenye sumu.
6 Leurs toiles ne serviront point à faire des vêtements, et on ne se couvrira point de leurs ouvrages; car leurs ouvrages sont des ouvrages de tourment, et il y a en leurs mains des actions de violence.
Mitando yao haitatumika kama mavazi, wala hawawezi kujifukia wenyewe kwa kazi yao. Kazi zao ni kazi za dhambi, na matendo ya vurugu yako mikononi mwao.
7 Leurs pieds courent au mal, et se hâtent pour répandre le sang innocent; leurs pensées sont des pensées de tourment; le dégât et la calamité est dans leurs voies.
Miguu yao inakimbilia uovu, na wanakimbilia kumwaga damu isiyo na hatia. Mawazo yao ni mawazo ya dhambi; vurugu na uharibifu ndio njia yao.
8 Ils ne connaissent point le chemin de la paix, et il n'y a point de jugement dans leurs ornières, ils se sont pervertis dans leurs sentiers, tous ceux qui y marchent ignorent la paix.
Njia ya amani hawaijuyui, na hakuna haki katika njia zao. Wametengeneza njia njia zlizopotoka; yeyote atakaye safiri kupitia njia hizi njia hizi hazijui amani.
9 C'est pourquoi le jugement s'est éloigné de nous, et la justice ne vient point jusques à nous; nous attendions la lumière, et voici les ténèbres; la splendeur, [et] nous marchons dans l'obscurité.
Hivyo basi haki iko mbali a sisi, wala haki haijatufikia sisi. Tunasubiri mwanga tunaona giza; tunatafuta mwangaza, lakini tunatembea gizani. Tunapapasa kwenywe ukuta kama kipofu, kama wale wasiona,
10 Nous avons tâtonné après la paroi comme des aveugles; nous avons, dis-je, tâtonné comme ceux qui sont sans yeux; nous avons bronché en plein midi comme sur la brune, [et nous avons été] dans les lieux abondants comme [y seraient] des morts.
Tuna mashaka mchana kweupe kama kwenye mwanga unaofifia; miongoni mwa wenye nguvu tuko kama watu waliokufa.
11 Nous rugissons tous comme des ours, et nous ne cessons de gémir comme des colombes; nous attendions le jugement, et il n'y en a point; la délivrance, et elle s'est éloignée de nous.
Sisi tunaunguruma kama dubu na kuomboleza kama njiwa; tunasubiria haki, lakini hakuna kitu; kwa ukombozi, lakini uko mbali na sisi.
12 Car nos forfaits se sont multipliés devant toi, et chacun de nos péchés a témoigné contre nous; parce que nos forfaits sont avec nous, et nous connaissons nos iniquités;
Maana makosa yetu mengi yako mbele zako, na dhambi zetu zinatushuhudia sisi; maana makosa yako pamoja na sisi.
13 Qui sont de pécher et de mentir contre l'Eternel, de s'éloigner de notre Dieu, de proférer l'oppression et la révolte; de concevoir et prononcer du cœur des paroles de mensonge.
Tumeaasi, kumkana Yahwe na kuacha kumfuata Mungu. Tulizungumzia ulafi kujeuka nyuma, na kuanza kulalamika kutoka moyoni na maneno ya uongo.
14 C'est pourquoi le jugement s'est éloigné et la justice s'est tenue loin; car la vérité est tombée par les rues, et la droiture n'y a pu entrer.
Haki imerudishwa nyuma, wenye haki wamesimama mbali sana; maana ukweli uko mashakani katika mraba wa umma, haki haiwezi kuja.
15 Même la vérité a disparu, et quiconque se retire du mal est exposé au pillage; l'Eternel l'a vu, et cela lui a déplu, parce qu'il n'y a point de droiture.
Waaminifu wamenda zao, na yeyote anayegeuka mbali na maovu anajiathiri mwenyewe. Yahwe aliliona hilo na hakupendezwa maana hakuna haki.
16 Il a vu aussi qu'il n'[y avait] point d'homme [qui soutînt l'innocence] et il s'est étonné que personne ne se mettait à la brèche; c'est pourquoi son bras l'a délivré, et sa propre justice l'a soutenu.
Aliona kwamba hakuna mtu, na akastaajabu kwamba hakuna mtu wa kuoma. Hivyo basi mkono wake uliletao wakovu kwake, na haki yake unamtosheleza yeye.
17 Car il s'est revêtu de la justice comme d'une cuirasse, et le casque du salut a été sur sa tête; il s'est revêtu des habits de la vengeance [comme] d'un vêtement, et s'est couvert de jalousie comme d'un manteau.
Huivaa haki kama ngao kifuani na kofia ya chuma ya wokovu kichwani mwake. Anajivika mwenyewe kwa mavazi ya kisasi na kuvaa vazi la bidii.
18 Comme pour les rétributions, et comme quand quelqu'un veut rendre la pareille, [savoir] la fureur à ses adversaires, et la rétribution à ses ennemis; il rendra ainsi la rétribution aux Iles.
Analipa tena kwa kilichotokea, hukumu ya hasira kwa adui zake na kwa adui atairidisha adhabu ya kisiwa kama zawadi yao.
19 Et on craindra le Nom de l'Eternel depuis l'Occident; et sa gloire depuis le Soleil levant; car l'ennemi viendra comme un fleuve, [mais] l'Esprit de l'Eternel lèvera l'enseigne contre lui.
Hivyo wataliogopa jina la Yahwe kutoka magharibi na utukufu wake kutoka mashariki; maana atakuja kama mkondo wa mto, inaendeshwa na pumzi ya Yahwe.
20 Et le Rédempteur viendra en Sion, et vers ceux de Jacob qui se convertissent de leur péché, dit l'Eternel.
Mkombozi atakuja Sayuni na wale watkaojeuka kutoka matendo yao ya uasi katika nyumba ya Yakobo- Hili ni tamko la Yahwe.
21 Et quant à moi; c'est ici mon alliance que je ferai avec eux, a dit l'Eternel; mon Esprit qui est sur toi, et mes paroles que j'ai mises en ta bouche, ne bougeront point de ta bouche, ni de la bouche de ta postérité, ni de la bouche de la postérité de ta postérité, a dit l'Eternel, dès maintenant et à jamais.
Na kama mimi, hili ni agano langu pamoja nao- asema Yahwe- Roho yangu iliyo juu yenu, na maneno yangu niliyoyaweka kinywani mwenu, hayataondoka midomo mwenu au kuodoka mbali na midomo wajukuu wenu, au kwenda mbali asema Yahwe- kuanziia sasa na hata milele.''