< Isaïe 31 >

1 Malheur à ceux qui descendent en Egypte, pour avoir de l'aide, et qui s'appuient sur les chevaux, et qui mettent leur confiance en leurs chariots, quand ils sont en grand nombre; et en leurs gens de cheval, quand ils sont bien forts; et qui n'ont point regardé au Saint d'Israël, et n'ont point recherché l'Eternel.
Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada, wale wategemeao farasi, wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita, na katika nguvu nyingi za wapanda farasi, lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, wala hawatafuti msaada kwa Bwana.
2 Et cependant, c'est lui qui est sage; et il fait venir le mal, et ne révoque point sa parole; il s'élèvera contre la maison des méchants, et contre ceux qui aident aux ouvriers d'iniquité.
Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa, wala hayatangui maneno yake. Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu, dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.
3 Or les Egyptiens sont des hommes, et non pas le [Dieu] Fort; et leurs chevaux ne sont que chair, et non pas esprit; l'Eternel donc étendra sa main, et celui qui donne du secours sera renversé; et celui à qui le secours est donné tombera; et eux tous ensemble seront consumés.
Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu, farasi wao ni nyama, wala si roho. Wakati Bwana atakaponyoosha Mkono wake, yeye anayesaidia atajikwaa, naye anayesaidiwa ataanguka, wote wawili wataangamia pamoja.
4 Mais ainsi m'a dit l'Eternel; Comme le lion et le lionceau rugit sur sa proie, et quoiqu'on appelle contre lui un grand nombre de bergers, il n'est point effrayé pour leur cri, et ne s'abaisse point pour leur bruit; ainsi l'Eternel des armées descendra pour combattre en faveur de la montagne de Sion, et de son coteau.
Hili ndilo Bwana analoniambia: “Kama vile simba angurumavyo, simba mkubwa juu ya mawindo yake: hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo huitwa pamoja dhidi yake, hatiwi hofu na kelele zao wala kusumbuliwa na ghasia zao; ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote atakavyoshuka kufanya vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya vilele vyake.
5 Comme les oiseaux volent, ainsi l'Eternel des armées garantira Jérusalem, la garantissant et la délivrant, passant outre, et la sauvant.
Kama ndege warukao, Bwana Mwenye Nguvu Zote ataukinga Yerusalemu; ataukinga na kuuokoa, atapita juu yake na kuufanya salama.”
6 Retournez vers celui de qui les enfants d'Israël se sont étrangement éloignés.
Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.
7 Car en ce jour-là chacun rejettera les idoles de son argent, et les idoles de son or, lesquelles vos mains vous ont faites pour vous faire pécher.
Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
8 Et l'Assyrien tombera par l'épée, qui ne [sera] point l'épée d'un [vaillant] homme, et l'épée qui ne sera point [une épée] d'homme le dévorera, et il s'enfuira de devant l'épée, et ses jeunes gens d'élite seront rendus tributaires.
“Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu; upanga usio wa kibinadamu utawaangamiza. Watakimbia mbele ya upanga na vijana wao wa kiume watafanyizwa kazi kwa lazima.
9 Et saisi de frayeur il s'en ira à sa forteresse, et ses capitaines seront effrayés à cause de la bannière, dit l'Eternel, duquel le feu est dans Sion, et le fourneau dans Jérusalem.
Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu; kwa kuona bendera ya vita, majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,” asema Bwana, ambaye moto wake uko Sayuni, nayo tanuru yake iko Yerusalemu.

< Isaïe 31 >