< Isaïe 13 >
1 La charge de Babylone, qu'Esaïe fils d'Amots a vue.
Tamko kuhusu Babeli, ambalo Isaya mtoto wa Amozi alipokea:
2 Elevez l'enseigne sur la haute montagne, élevez la voix vers eux, remuez la main, et qu'on entre dans les portes des magnifiques.
Kwenye mlima wa wazi imewekwa bendera ya ishara, lia kwa sauti kwao, wapungie mikono waende kwenye lango la wenye vyeo.
3 C'est moi qui ai donné charge à ceux qui me sont dévoués, et j'ai appelé pour [exécuter] ma colère mes hommes forts, qui s'égayent à cause de ma grandeur.
Nimewamuru watakatifu wangu, ndio, nimewaita watu wangu wenye nguvu kutekeleza asira yangu, na hata watu wangu wanojigmba na kujiinua wenyewe.
4 Il y a sur les montagnes un bruit d'une multitude, tel qu'est celui d'un grand peuple, un bruit d'un son éclatant des Royaumes des nations assemblées; l'Eternel des armées fait la revue de l'armée pour le combat.
Kelele za umati wa watu kwenye milima, za watu wengi! Kelele za ghasiaza ufalme kama mataifa mengi yamekusanyika pamoja! Yahwe wa majeshi anapanga jeshi kwa vita.
5 L'Eternel et les instruments de son indignation viennent d'un pays éloigné, du bout des cieux, pour détruire tout le pays.
Wametoka katika nchi ya mbali, kutoka juu ya upeo wa macho. Ni Yahwe na silaha zake za hukumu, kuhiharibu nchi yetu.
6 Hurlez; car la journée de l'Eternel est proche, elle viendra comme un dégât [fait] par le Tout-Puissant.
Omboleza maana siku ya Yahwe imekaribia; itakuja na uharibifu kutoka kwa Mwenyenzi.
7 C'est pourquoi toutes les mains deviendront lâches, et tout cœur d'homme se fondra.
Hivyo basi mikono ining'inizwe kama kiwete, na kila moyo ulioyeyuka.
8 Ils seront épouvantés, les détresses et les douleurs les saisiront, ils seront en travail comme celle qui enfante, chacun s'étonnera [regardant] vers son prochain, leurs visages seront comme des visages enflammés.
Itawatisha; maumivu na uchungu atawapa wao, kama mwanamke ambaye anajifungua. Watangalia kwa kushangaa kwa kila mmoja mmoja; nyuso zao zitakuwa kama moto.
9 Voici, la journée de l'Eternel vient, elle est cruelle, elle n'est que fureur et ardeur de colère, pour réduire le pays en désolation, et il en exterminera les pécheurs.
Tazama, siku za Yahwe zinakuja na laana kali wingi wa hasira, kuifanya nchi yenye ukiwa na kuharibu wenye dhambi katika nchi.
10 Même les étoiles des cieux et leurs astres ne feront point luire leur clarté; le Soleil s'obscurcira quand il se lèvera, et la Lune ne fera point resplendir sa lueur.
Nyota ya mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake. Jua litakuwa giza na hata mwenzi hautaangaza.
11 Je punirai le monde habitable à cause de sa malice, et les méchants à cause de leur iniquité; je ferai cesser l'arrogance de ceux qui se portent fièrement, et j'abaisserai la hauteur de ceux qui se font redouter.
Nitaihadhibu nchi kwa maovu yake na makosa ya uovu wao. Nitamaliza kiburi cha majivuno na nitawashusha wenye kiburi wasiwe makali.
12 Je ferai qu'un homme sera plus précieux que le fin or; et une personne, plus que l'or d'Ophir.
Nitawafanya watu kuwa nadra zaidi ya dhahabu nzuri na watu kuwa vigumu kupatikana zaidi ya dhahabu safi ya Ofiri.
13 C'est pourquoi je ferai crouler les cieux, et la terre sera ébranlée de sa place, à cause de la fureur de l'Eternel des armées, et à cause du jour de l'ardeur de sa colère.
Hivyo basi nitazifanya mbingu kutingishika, na dunia itayumba kutoka sehemu iliyoko, Kwa hasira ya Yahwe wa majeshi, na siku ya hasira yake.
14 Et [chacun] sera comme un chevreuil qui est chassé, et comme une brebis que personne ne retire; chacun tournera visage vers son peuple, et chacun s'enfuira vers son pays.
Kama Paa anayewindwa au kama kondoo wasio na mchungaji, kila mtu atageukia watu wake na kukimbia kwenye nchi yake.
15 Quiconque sera trouvé, sera transpercé; et quiconque s'y sera joint, tombera par l'épée.
Kwa yeyote atakayeonekana atauliwa, na yeyote atakayekamatwa atauliwa kwa upanga.
16 Et leurs petits enfants seront écrasés devant leurs yeux, leurs maisons seront pillées, et leurs femmes violées.
Watoto wao watakatwa vipandevipande mbele ya macho yao. Nyumba zao zitavamiwa na wake zao watabakwa.
17 Voici, je vais susciter contre eux les Mèdes, qui ne feront aucune estime de l'argent, et qui ne s'arrêteront point à l'or.
Tazama, ninakaribia kuwakoroga Wamede ili wawavamie wao, ambao hawaoni maana ya fedha wala furaha ya dhahabu.
18 Leurs arcs écraseront les jeunes gens, et ils n'auront point de pitié du fruit du ventre, leur œil n'épargnera point les enfants.
Mishale yao itawachoma vijana wadogo. Hakutakuwa na shimo kwa watoto wao na hawatawacha watoto wao.
19 Ainsi Babylone, la noblesse des Royaumes, l'excellence de l'orgueil des Chaldéens, sera comme quand Dieu renversa Sodome et Gomorrhe.
Na Babali ufalme unaovutia zaidi, fahari ya mapambo ya wakaldyo, itaangamizwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
20 Elle ne sera point habitée à jamais, elle ne sera point habitée de génération en génération, même les Arabes n'y dresseront point leurs tentes, ni les bergers n'y mettront point leurs parcs.
Hapatakuwa na wenyeji wala wakazi kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine. Mwarabu atapiga hema lake uko wala wachungaji hawatalaza mifugo yao pale.
21 Mais les bêtes sauvages des déserts y auront leurs repaires; et leurs maisons seront remplies de fouines, les chats-huants y habiteront, et les chouettes y sauteront.
Lakini wanyama pori wa jangwani watalala pale. Nyumba zao zitajaa bundi; na mbuni watakaa huko na mbuzi pori wataruka pale.
22 Et [les bêtes sauvages des] Iles s'entre-répondront les unes aux autres dans ses palais désolés, et les dragons dans ses châteaux de plaisance; son temps est même prêt à venir, et ses jours ne seront point prolongés.
Fisi watalia kwenye ngome yao, na mbeha katika maeneo yao mazuri. Mda wao umekaribia, na siku zao hazitachelewa.