< Ézéchiel 25 >

1 Puis la parole de l'Eternel me fut [adressée], en disant:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Fils d'homme, tourne ta face vers les enfants de Hammon, et prophétise contre eux.
“Mwanadamu, weka uso wako juu ya watu wa Amoni na tabiri juu yao.
3 Et dis aux enfants de Hammon: écoutez la parole du Seigneur l'Eternel. Parce que vous avez dit: ha! ha! contre mon Sanctuaire, à cause qu'il était profané; et contre la terre d'Israël, parce qu'elle était désolée; et contre la maison de Juda, parce qu'ils allaient en captivité;
Waambie watu wa Amoni, 'Sikiliza neno la Bwana Yahwe. Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Kwa sababu umesema, “Aha!” juu ya patakatifu pangu wakati palipotiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli wakati ilipokuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda wakati walipoenda utumwani,
4 A cause de cela voici, je m'en vais te donner en héritage aux enfants d'Orient, et ils bâtiront des palais dans tes villes, et ils demeureront chez toi; ils mangeront tes fruits et boiront ton lait.
kwa hiyo, tazama, nitakupatia kwa watu katika mashariki kama milki yao. Watafanya kambi juu yako na kuweka mahema miongoni mwako. Watakula matunda yako na watakunywa maziwa yako.
5 Et je livrerai Rabba pour être le repaire des chameaux, et [le pays] des enfants de Hammon pour être le gîte des brebis; et vous saurez que je suis l'Eternel.
Nitamfanya Raba malisho ya ngamia na watu wa Amoni shamba la mifugo. Kisha utajua yakwamba mimi ni Yahwe.
6 Car ainsi a dit le Seigneur l'Eternel: parce que tu as frappé des mains, et que tu as battu des pieds, et que tu t'es réjouie de bon cœur dans tout le mépris que tu as eu pour la terre d'Israël.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Umepigia makofi mikono yako na kupiga chapa miguu yako, na kufurahi pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli.
7 A cause de cela voici, j'ai étendu ma main sur toi, et je te livrerai pour être pillée par les nations, et je te retrancherai d'entre les peuples, je te ferai périr d'entre les pays; je te détruirai; et tu sauras que je suis l'Eternel.
Kwa hiyo, tazama! Nitanyoosha mkono wangu na kukupatia kama mateka kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka watu na kukuangamiza kutoka miongoni mwa nchi! Nitakuharibu, na utajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
8 Ainsi a dit le Seigneur l'Eternel: parce que Moab et Séhir ont dit: voici, la maison de Juda est comme toutes les autres nations.
Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu Moabu na Seiri husema “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama kila taifa jingine.”
9 A cause de cela voici, je m'en vais ouvrir le quartier de Moab du côté des villes, du côté, dis-je, de ses villes frontières, la noblesse du pays de Bethjésimoth, de Bahal-Méhon et de Kirjathajim,
Kwa hiyo, tazama! ntafungua miteremko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka-uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu-
10 Aux enfants d'Orient, qui sont au delà du pays des enfants de Hammon, lequel je leur ai donné en héritage, afin qu'on ne se souvienne plus des enfants de Hammon parmi les nations.
kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni. Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa.
11 J'exercerai aussi des jugements contre Moab, et ils sauront que je suis l'Eternel.
Hivyo nitafanya hukumu juu ya Moabu, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
12 Ainsi a dit le Seigneur l'Eternel: à cause de ce qu'Edom a fait quand il s'est inhumainement vengé de la maison de Juda, et parce qu'il s'est rendu fort coupable en se vengeant d'eux.
Bwana Yahwe asema hivi, Edomu amelipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na amefanya makosa katika kufanya hivyo.
13 A cause de cela, le Seigneur l'Eternel dit ainsi: j'étendrai ma main sur Edom, j'en retrancherai les hommes et les bêtes, et je le réduirai en désert; depuis Théman et de devers Dédan ils tomberont par l'épée.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu na kumharibu kila mtu na wanyama huko. Nitawaharibu, sehemu ya ukiwa, kutoka Temani hata Dedani. Wataanguka kwa upanga.
14 J'exercerai ma vengeance sur Edom à cause de mon peuple d'Israël, et on traitera Edom selon ma colère, et selon ma fureur, et ils sentiront ce que c'est que de ma vengeance, dit le Seigneur l'Eternel.
Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli, na watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu, na wakitajua kisasi changu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
15 Ainsi a dit le Seigneur l'Eternel: à cause que les Philistins ont agi par vengeance, et qu'ils se sont inhumainement vengés avec plaisir [et] avec mépris, jusqu'à [tout] détruire par une inimitié immortelle;
Bwana Yahwe asema hivi, 'Wafilisti wamelipiza kisasi pamoja na uovu na kutoka ndani yao wamejaribu kuiharibu Yuda tena na tena.
16 A cause de cela le Seigneur l'Eternel dit ainsi: voici, je m'en vais étendre ma main sur les Philistins, j'exterminerai les Kéréthiens, et je ferai périr le reste de [leurs] ports de mer.
Basi hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Tazam! Nitanyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, na nitakalia mbali Wakerethi na kuwaharibu mabaki yaliyobaki karibu na pwani.
17 Et je déploierai sur eux de grandes vengeances par des châtiments de fureur; et ils sauront que je suis l'Eternel, quand j'aurai exécuté sur eux ma vengeance.
Kwa kuwa nitalipiza kisasi kikubwa dhidi yao pamoja na matendo ya ghadhabu kubwa ya adhabu, hivyo watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapolipiza kisasi juu yao.”'

< Ézéchiel 25 >