< Psaumes 29 >
1 Psaume de David. Fils de Dieu, rendez à l’Éternel, Rendez à l’Éternel gloire et honneur!
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Rendez à l’Éternel gloire pour son nom! Prosternez-vous devant l’Éternel avec des ornements sacrés!
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 La voix de l’Éternel retentit sur les eaux, Le Dieu de gloire fait gronder le tonnerre; L’Éternel est sur les grandes eaux.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 La voix de l’Éternel est puissante, La voix de l’Éternel est majestueuse.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 La voix de l’Éternel brise les cèdres; L’Éternel brise les cèdres du Liban,
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 Il les fait bondir comme des veaux, Et le Liban et le Sirion comme de jeunes buffles.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 La voix de l’Éternel fait jaillir des flammes de feu.
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 La voix de l’Éternel fait trembler le désert; L’Éternel fait trembler le désert de Kadès.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 La voix de l’Éternel fait enfanter les biches, Elle dépouille les forêts. Dans son palais tout s’écrie: Gloire!
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 L’Éternel était sur son trône lors du déluge; L’Éternel sur son trône règne éternellement.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 L’Éternel donne la force à son peuple; L’Éternel bénit son peuple et le rend heureux.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.